On Second Thought

On Second Thought

That line is kind of convoluted, ebu elaborate plse

Wanapenda watu wa ndio sana na wa bure bure tu,uniite popote nije,unilaze popote mi sawa tu,unipeleke dinner popote mi sawa tu,unijibu vyovyote mi nikubali tu,unidanganye mara 70 mi nimchekee tu,huna msaada kwangu mi nikukumbatie tu na mwili wangu nikupe,unapotaka sex mi kama sex toy wako lazima niwe tayari la sivyo utaenda kwa kwengine,nikitaka kwenda piga soga na wanaume marafiki zangu,we ukasirike unitishie kuniacha mi nisiende,unipe kazi za kukupasia na kukufulia hata kama nimechoka nifanye tu?Unichagulie kazi ya kufanya na mahali pa kufanya hiyo kazi mi nikubali tu.......In short GFM,if you can not make me a better person and there is nothing am gaining not financially but in many perspective then i simply tell men to bug off,if they have nothing to offer except their sperms and ego.............they can look for those who need 'just" a man.....................LOL
 
Wanapenda watu wa ndio sana na wa bure bure tu,uniite popote nije,unilaze popote mi sawa tu,unipeleke dinner popote mi sawa tu,unijibu vyovyote mi nikubali tu,unidanganye mara 70 mi nimchekee tu,huna msaada kwangu mi nikukumbatie tu na mwili wangu nikupe,unapotaka sex mi kama sex toy wako lazima niwe tayari la sivyo utaenda kwa kwengine,nikitaka kwenda piga soga na wanaume marafiki zangu,we ukasirike unitishie kuniacha mi nisiende,unipe kazi za kukupasia na kukufulia hata kama nimechoka nifanye tu?Unichagulie kazi ya kufanya na mahali pa kufanya hiyo kazi mi nikubali tu.......In short GFM,if you can not make me a better person and there is nothing am gaining not financially but in many perspective then i simply tell men to bug off,if they have nothing to offer except their sperms and ego.............they can look for those who need 'just" a man.....................LOL

whisper pls
 
Wanapenda watu wa ndio sana na wa bure bure tu,uniite popote nije,unilaze popote mi sawa tu,unipeleke dinner popote mi sawa tu,unijibu vyovyote mi nikubali tu,unidanganye mara 70 mi nimchekee tu,huna msaada kwangu mi nikukumbatie tu na mwili wangu nikupe,unapotaka sex mi kama sex toy wako lazima niwe tayari la sivyo utaenda kwa kwengine,nikitaka kwenda piga soga na wanaume marafiki zangu,we ukasirike unitishie kuniacha mi nisiende,unipe kazi za kukupasia na kukufulia hata kama nimechoka nifanye tu?Unichagulie kazi ya kufanya na mahali pa kufanya hiyo kazi mi nikubali tu.......In short GFM,if you can not make me a better person and there is nothing am gaining not financially but in many perspective then i simply tell men to bug off,if they have nothing to offer except their sperms and ego.............they can look for those who need 'just" a man.....................LOL
No comments maana hawa unaowazungumzia hapa nadhani ni rare type uncommon in the place i live.
Kama wote wako hivyo hata dada zangu ningewakataza kuolewa
 
Wanapenda watu wa ndio sana na wa bure bure tu,uniite popote nije,unilaze popote mi sawa tu,unipeleke dinner popote mi sawa tu,unijibu vyovyote mi nikubali tu,unidanganye mara 70 mi nimchekee tu,huna msaada kwangu mi nikukumbatie tu na mwili wangu nikupe,unapotaka sex mi kama sex toy wako lazima niwe tayari la sivyo utaenda kwa kwengine,nikitaka kwenda piga soga na wanaume marafiki zangu,we ukasirike unitishie kuniacha mi nisiende,unipe kazi za kukupasia na kukufulia hata kama nimechoka nifanye tu?Unichagulie kazi ya kufanya na mahali pa kufanya hiyo kazi mi nikubali tu.......In short GFM,if you can not make me a better person and there is nothing am gaining not financially but in many perspective then i simply tell men to bug off,if they have nothing to offer except their sperms and ego.............they can look for those who need 'just" a man.....................LOL

You are one in a million. Wewe ni mwanamke wa kweli, unajitambua.

Kudos.
 
orait.......what if we make that limbwata kwenye form ambayo wataenjoy.......

(nimecheka sana kabla ya kuandika hii sentence)
(najaribu kufikiria lingekuwa halina madhara afu linawekwa kupitia mlango wa tigo............. Sijui wangapi wangeliomba wenyewe tena kwa kulilia!!)

wengi sanaaa,maana eti cku hizo tigo imekuwa fashion.
Mm cku akijisahau tu
 
BAK ni kweli mapenzi hayana dawa but on second thought.................... why dont you think this way...macare na malavidavi upewayo ni limbwata la aina yake?.........lol why utizame limbwata lenyewe na usizingatie nia na madhumuni ya yeye kukulimbwata?

Miye siamini kabisa kama kuna dawa ya mapenzi vinginevyo katika Tanzania mahusiano kati ya mke na mume, BF & GF yangekuwa yanashamiri kila siku na kuachana kungekuwa labda ni 1% ya mahusiano yote, lakini tunaambiwa mahusiano yanayovunjika ndani ya ndoa ni karibu 50% sasa kama hilo limbwata lipo kwanini lisisaidie katika kuboresha mahusiano hayo na kupunguza kuvunjiak kwa ndoa?

Watu wanajali sana mambo ya madawa na kusahau kabisa kuhusu kuwajali wenzao, kuwaheshimu kuwaonyesha mapenzi ya hali ya juu na badala yake wanapoteza muda mwingi katika mambo yanayochangia kuvunjika kwa ndoa/mahusiano yao. Wanaoamini kwamba kuna dawa ya mapenzi duniani (limbwata au sijui linini) kila la heri lakini kikubwa ni nyama ya ulimi na vikorombwezo vingine ndivyo ambavyo vitadumisha mahusiano yenu.

 
Ngoja nitamwambia wa kwangu na yeye aniwekee limbwata nione kama kutakuwa na mabadiliko yoyote
 
on second thot, thanks luv 4 zis posht
niseme 2 kwamba kwa vile limbwata linawekwa bila mhusika kujua, na wakati mwingine kwa nia mbaya, iyo inaondoa maana nzima,
limwbata la kweli liwepo kwa njia za kawaida za mapenzi, mapishi, maufundi, etc
njoo ufanyiwe maombi!
 
Kina kitu kinaitwa tego...nadhani inafanana kimtizamo na limbwata, ila mara nyingi inatumika kwa wanawake.....
Sidhani kama kuna mwanamke atafurahia akijua mme wake amemwekea tego (ili asitoke au akitoka akamatwe akitoka nje ya uhusiano yake).....hii ina maana rahisi ya kutoaminiana!
In any case hatupaswi ku-modify mapenzi!
 
Mjukuu salama? Leo limbwata siyo?

Hebu ngoja: Hivi limbwata ni nini? Ni dawa ya kiasili? Ni ushirikina? Ni imani? Linahusisha jinsia zote? Makabila yote?

Kwangu mimi, siamini katika limbwata. watu wanakamatika bila limbwata. Tena kirahisi tu.

Penda, jali, jitoe, linda, amini na shirikisha.....hilo ni limbwata tosha kwa babu.

Babu anarudi kitandani kuota Limbwata.
 
On second thought jamani........

Babu hiyo signature yako mh............
 
Kina kitu kinaitwa tego...nadhani inafanana kimtizamo na limbwata, ila mara nyingi inatumika kwa wanawake.....
Sidhani kama kuna mwanamke atafurahia akijua mme wake amemwekea tego (ili asitoke au akitoka akamatwe akitoka nje ya uhusiano yake).....hii ina maana rahisi ya kutoaminiana!
In any case hatupaswi ku-modify mapenzi!
...Afu na wewe umeniletea kitu ingine hapa.......hivi mwanaume anapomwekea mkewe/mpenziwe tego ..........anampenda kweli???!!
Kwa nini asizuie badala ya kuharibu? Yaani badala ya kumwekea tego si amwekee limbwata tu ili asione wanaume wengine??

Mimi Tego silifananishi na limbwata ...................Babu R.R Shikamoo
 
on second thot, thanks luv 4 zis posht
niseme 2 kwamba kwa vile limbwata linawekwa bila mhusika kujua, na wakati mwingine kwa nia mbaya, iyo inaondoa maana nzima,
limwbata la kweli liwepo kwa njia za kawaida za mapenzi, mapishi, maufundi, etc
njoo ufanyiwe maombi!
Orait.......orait
 
...Afu na wewe umeniletea kitu ingine hapa.......hivi mwanaume anapomwekea mkewe/mpenziwe tego ..........anampenda kweli???!!
Kwa nini asizuie badala ya kuharibu? Yaani badala ya kumwekea tego si amwekee limbwata tu ili asione wanaume wengine??

Mimi Tego silifananishi na limbwata ...................Babu R.R Shikamoo

Nadhani wanaume hawana limbwata....wana tego....
Hebu elezea hisia za mwanamke akigundua amewekewa tego...ni wazi kwamba atajua haaminiki....na kukiwa na hisia za kukosa uaminifu basi mapenzi yanaingia nyongo....
Marahaba mjukuu.......nimeishiwa kabisa ugoro....
 
jamani jamani mwanajamiione.....!

i think you are going too far
 
on second thot, LUV, hawa babu zako wanainclude na hao wa ujombani?
jioni kiuona kitaitaji limbwata!
 
Nadhani wanaume hawana limbwata....wana tego....
Hebu elezea hisia za mwanamke akigundua amewekewa tego...ni wazi kwamba atajua haaminiki....na kukiwa na hisia za kukosa uaminifu basi mapenzi yanaingia nyongo....
Marahaba mjukuu.......nimeishiwa kabisa ugoro....
Orait ....orait nimekuelewa Babu hasa hapo kwenye red ndo penyewe.

Mh Babu juzi tu nimekutumia wa mia tano ushamaliza? Au unamgaia na bibi?
 
on second thot, LUV, hawa babu zako wanainclude na hao wa ujombani?
jioni kiuona kitaitaji limbwata!

Hommie najua una hangover....huwa zinapenda sana kuandamana na migomo baridi.

Mnadani vipi? Shingo za wale wanyama zimeshatoa damu?...On sekand thot
 
jamani jamani mwanajamiione.....!

i think you are going too far
Babu Teamo..............how too far is it jamani??

Mind you am not advocating but just ......thinking.........tena si first ni second thought !!
 
Back
Top Bottom