Ona CRDB Dodoma aibu, teller wapo 8 halafu watatu tu ndio wanatoa hudumu kwingine kutupu

Ona CRDB Dodoma aibu, teller wapo 8 halafu watatu tu ndio wanatoa hudumu kwingine kutupu

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Jioneeni wenyewe katika picha hii nimefika hapa takribani dakika 30 nasubiri foleni ya kupata huduma kwa bank teller.

Wamejenga teller 8 ajabu tano zipo tupu, waiting line/ que ni kubwa sana takriban watu 60 wengine wamekaa.

Kwanini inakuwa hivi, huyu meneja ana kazi gani? Teller 5 zipo tupu toka asubuhi, si wakodishe watu waweke hata mgahawa katika hizo tela tupu.

Mabenki yanaudhi watu wazi wazi, ifike mahala wakubali wabadilike.

Halafu sasa katika hayo mateller matatu, moja la mawakala wa simu tu, halafu hayo mawili anahudumia mteja mmoja wa foleni halafu vimemo vyake vitatu vya mkononi, so unakuta mnadhani anawahudumia nyie wa foleni kumbe anazo zake.
 
Jioneeni wenyewe katika picha hii nimefika hapa takribani dakika 30 nasubiri foleni ya kupata huduma kwa bank teller.

Wamejenga teller 8 ajabu tano zipo tupu, waiting line/que ni kubwa sana takriban watu 60 wengine wamekaa.

Kwanini inakuwa hivi, huyu meneja ana kazi gani? Teller 5 zipo tupu toka asubuhi, si wakodishe watu waweke hata mgahawa katika hizo tela tupu.

Mabenki yanaudhi watu wazi wazi, ifike mahala wakubali wabadilike.

Halafu sasa katika hayo mateller matatu, moja la mawakala wa simu tu, halafu hayo mawili anahudumia mteja mmoja wa foleni halafu vimemo vyake vitatu vya mkononi, so unakuta mnadhani anawahudumia nyie wa foleni kumbe anazo zake.

View attachment 1334020
Sasa why uende bank wakat mawakala kibao wa Crdb... ! Uzembe wako huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila cku ni hvo hvo wana utaratibu mbovu hapafai kwenda hapo
 
Hivi Tanzania hii bado watu wanapoteza muda kwenye foleni za bank kwaajili ya huduma za kifedha...!!??
Huyu jamaa hana lolote sijui alitaka leo Jumapili wamhudumieje?
kwanza km ana kadi aende nje, lkn kwa ndani madirisha yanatosha kabisa, hatachukua muda kuweka vijisenti vyake, km ana gunia hapangi foleni lipo dirisha maalum kwa wateja wa namna hiyo
sijajua lengo lake, maana CRDB dodoma ina matawi kibao, UDOM, Mazengo, Sokoni Majengo, IRDP
Lkn kushusha Mada kuwa dirisha hazifanyi kz ni kuwadhalilisha, huyo Teller anayekunywa supu Hajusha aendelee tu jamaa atadeposit ndani ya dk 1
Ubarinolutu
 
Sababu za kiusalama hazikuruhusu kupiga picha sehemu kama hio ya bank. Mkija kubanawa baadae humu JF itoe taarifa zenu mfunguliwe mashtaka mnaanza kulalamika.
Kuna utaratibu wa kufuata hapo hapo ulipo haukua na haja ya kupiga picha, hapo bank kuna customer relations, kuna sanduku la maoni, kuna manager wa tawi pia.
 
Jioneeni wenyewe katika picha hii nimefika hapa takribani dakika 30 nasubiri foleni ya kupata huduma kwa bank teller.

Wamejenga teller 8 ajabu tano zipo tupu, waiting line/que ni kubwa sana takriban watu 60 wengine wamekaa.

Kwanini inakuwa hivi, huyu meneja ana kazi gani? Teller 5 zipo tupu toka asubuhi, si wakodishe watu waweke hata mgahawa katika hizo tela tupu.

Mabenki yanaudhi watu wazi wazi, ifike mahala wakubali wabadilike.

Halafu sasa katika hayo mateller matatu, moja la mawakala wa simu tu, halafu hayo mawili anahudumia mteja mmoja wa foleni halafu vimemo vyake vitatu vya mkononi, so unakuta mnadhani anawahudumia nyie wa foleni kumbe anazo zake.

View attachment 1334020
Hiyo kofia imekupendeza bwashee!
 
Back
Top Bottom