Ona CRDB Dodoma aibu, teller wapo 8 halafu watatu tu ndio wanatoa hudumu kwingine kutupu

Ona CRDB Dodoma aibu, teller wapo 8 halafu watatu tu ndio wanatoa hudumu kwingine kutupu

sishangai mateller watatu kati ya 8 kutoa huduma, nashangaa uliewezaje kupiga picha pale bank?[emoji52]

Sent using Jamii Forums mobile app

sishangai mateller watatu kati ya 8 kutoa huduma, nashangaa uliewezaje kupiga picha pale bank?[emoji52]

Sent using Jamii Forums mobile app
images.jpeg
images (1).jpeg
 
Sababu za kiusalama hazikuruhusu kupiga picha sehemu kama hio ya bank. Mkija kubanawa baadae humu JF itoe taarifa zenu mfunguliwe mashtaka mnaanza kulalamika.
Kuna utaratibu wa kufuata hapo hapo ulipo haukua na haja ya kupiga picha, hapo bank kuna customer relations, kuna sanduku la maoni, kuna manager wa tawi pia.

Bank Ni eneo la kawaida tu acha ufala, hata ikulu picha zinaigwa, gugo utaziona
images.jpeg
images.jpeg
images (1).jpeg
 
Sababu za kiusalama hazikuruhusu kupiga picha sehemu kama hio ya bank. Mkija kubanawa baadae humu JF itoe taarifa zenu mfunguliwe mashtaka mnaanza kulalamika.
Kuna utaratibu wa kufuata hapo hapo ulipo haukua na haja ya kupiga picha, hapo bank kuna customer relations, kuna sanduku la maoni, kuna manager wa tawi pia.
Habari bila picha ni kama masai bila sime, haifai na hainogi!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jioneeni wenyewe katika picha hii nimefika hapa takribani dakika 30 nasubiri foleni ya kupata huduma kwa bank teller.

Wamejenga teller 8 ajabu tano zipo tupu, waiting line/ que ni kubwa sana takriban watu 60 wengine wamekaa.

Kwanini inakuwa hivi, huyu meneja ana kazi gani? Teller 5 zipo tupu toka asubuhi, si wakodishe watu waweke hata mgahawa katika hizo tela tupu.

Mabenki yanaudhi watu wazi wazi, ifike mahala wakubali wabadilike.

Halafu sasa katika hayo mateller matatu, moja la mawakala wa simu tu, halafu hayo mawili anahudumia mteja mmoja wa foleni halafu vimemo vyake vitatu vya mkononi, so unakuta mnadhani anawahudumia nyie wa foleni kumbe anazo zake.

View attachment 1334020
CRDB siku hizi ni madudu matupu, kuna muhudumu mmoja anakaa dawati la kuhudumia kadi zilizoisha muda wake, ni wa hovyo balaa, anakuhudumia huku yupo bize anachart na cm, ukiingia tawi la crdb Nyerere sq, upande wa kushoto, manager tumbua huyo mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa hana lolote sijui alitaka leo Jumapili wamhudumieje?
kwanza km ana kadi aende nje, lkn kwa ndani madirisha yanatosha kabisa, hatachukua muda kuweka vijisenti vyake, km ana gunia hapangi foleni lipo dirisha maalum kwa wateja wa namna hiyo
sijajua lengo lake, maana CRDB dodoma ina matawi kibao, UDOM, Mazengo, Sokoni Majengo, IRDP
Lkn kushusha Mada kuwa dirisha hazifanyi kz ni kuwadhalilisha, huyo Teller anayekunywa supu Hajusha aendelee tu jamaa atadeposit ndani ya dk 1
Ubarinolutu
we jamaa uko nchi gani? Kwetu TZ ni jumamosi, hiyo jumapili ya wapi?
 
Bank Ni eneo la kawaida tu acha ufala, hata ikulu picha zinaigwa, gugo utazionaView attachment 1334249View attachment 1334249View attachment 1334250
Ushwahai kuingia ikulu? Usiongee usivyo vijua,Ikulu ukifika kwanza simu vicoin vyako,vitu vyote ulivyobeba,vinawekwa kwenye kidroo kinapitishwa kwenye scanner baadaye wewe mwenyewe unapita kwenye Scanner kama bado una kitu chochote Cha chuma utarudia rudia weee mpaka wasisikie mlio wa alarm.

Baada ya hapo unapewa vitu vyako simu unaiacha mapokezi.Sasa leta ujanja wako ndio utawajua WATU WASIOJULIKANA,ujanja wako fanya sehemu zote lkn sio ukulu utawapa tabu familia yako kwani kuna CCTV camera za kumwaga.
 
we jamaa uko nchi gani? Kwetu TZ ni jumamosi, hiyo jumapili ya wapi?
kumbe!!! maana TZ ni Nchi pekee maduka hayafunguliwi Jumamosi ati
basi kulikuwa hakuna haja ya kututumia picha wakati CRDB zote zilikuwa wazi na maajenti wao
mm nilifikiri ni Tawi moja tu la Kuu st ndio limemkwaza.
 
Ushwahai kuingia ikulu? Usiongee usivyo vijua,Ikulu ukifika kwanza simu vicoin vyako,vitu vyote ulivyobeba,vinawekwa kwenye kidroo kinapitishwa kwenye scanner baadaye wewe mwenyewe unapita kwenye Scanner kama bado una kitu chochote Cha chuma utarudia rudia weee mpaka wasisikie mlio wa alarm.

Baada ya hapo unapewa vitu vyako simu unaiacha mapokezi.Sasa leta ujanja wako ndio utawajua WATU WASIOJULIKANA,ujanja wako fanya sehemu zote lkn sio ukulu utawapa tabu familia yako kwani kuna CCTV camera za kumwaga.

Gugo utaona picha za ikulu, Sasa zimepatikanaje, acha ubwege, hakuna kitu Kama hicho
 
Gugo utaona picha za ikulu, Sasa zimepatikanaje, acha ubwege, hakuna kitu Kama hicho
Picha wanapiga kwa kibali maalum na kuna utaratibu wake wa kupiga picha,lkn sio ww utoke na simu yako ukapige picha ikulu,utapotezwa na wasiojulikana hawana masihala kama ww ulivyofanya bank husijaribu na husithubutu.
 
Sababu za kiusalama hazikuruhusu kupiga picha sehemu kama hio ya bank. Mkija kubanawa baadae humu JF itoe taarifa zenu mfunguliwe mashtaka mnaanza kulalamika.
Kuna utaratibu wa kufuata hapo hapo ulipo haukua na haja ya kupiga picha, hapo bank kuna customer relations, kuna sanduku la maoni, kuna manager wa tawi pia.
Dah..kwa teknolojia ya sasa hata JF haihitajiki....Kama akitakiwa dakika 0 tu wanamdaka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Beretta ARX 160
 
Jioneeni wenyewe katika picha hii nimefika hapa takribani dakika 30 nasubiri foleni ya kupata huduma kwa bank teller.

Wamejenga teller 8 ajabu tano zipo tupu, waiting line/ que ni kubwa sana takriban watu 60 wengine wamekaa.

Kwanini inakuwa hivi, huyu meneja ana kazi gani? Teller 5 zipo tupu toka asubuhi, si wakodishe watu waweke hata mgahawa katika hizo tela tupu.

Mabenki yanaudhi watu wazi wazi, ifike mahala wakubali wabadilike.

Halafu sasa katika hayo mateller matatu, moja la mawakala wa simu tu, halafu hayo mawili anahudumia mteja mmoja wa foleni halafu vimemo vyake vitatu vya mkononi, so unakuta mnadhani anawahudumia nyie wa foleni kumbe anazo zake.
Ulipaswa kushukuru benki kuwa wazi Jumapili
 
Back
Top Bottom