Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,383
- 11,197
Mkuu kumbe leo ni JumamosiUlipaswa kushukuru benki kuwa wazi Jumapili
na jamaa kaenda leo, akidhani ni sokoni, pale mlangoni tu pameandikwa ZIMA SIMU
humo ndani CCTV kibao, jamaa anatamba hawamuoni
subiria nimewasiliana na meneja, jamaa hafiki mbali labda aweke Ada ya shuke na kusepa