johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wewe unaishi kwenye Ujima!Sababu za kiusalama hazikuruhusu kupiga picha sehemu kama hio ya bank. Mkija kubanawa baadae humu JF itoe taarifa zenu mfunguliwe mashtaka mnaanza kulalamika.
Kuna utaratibu wa kufuata hapo hapo ulipo haukua na haja ya kupiga picha, hapo bank kuna customer relations, kuna sanduku la maoni, kuna manager wa tawi pia.
Na hapo kumtrace aliyepiga picha ni rahis tu..Sababu za kiusalama hazikuruhusu kupiga picha sehemu kama hio ya bank. Mkija kubanawa baadae humu JF itoe taarifa zenu mfunguliwe mashtaka mnaanza kulalamika.
Kuna utaratibu wa kufuata hapo hapo ulipo haukua na haja ya kupiga picha, hapo bank kuna customer relations, kuna sanduku la maoni, kuna manager wa tawi pia.
Nina Hindi! Naweza kupata huduma huko?Sasa why uende bank wakat mawakala kibao wa Crdb... ! Uzembe wako huu
Sent using Jamii Forums mobile app
MKUU AWAKENGEE N WAKUHAMAAA NA.MBAYA MADEMU WENGI WAMEKUWA.N NDUGU AMA MAHUSIANO NA MABOSI WANATESAAA KINYAMAAAA SOLN N KUPUNGIZA WALIOKUWEPO NA KUAJORI UPYA WASAHAU MAZOEEAAJioneeni wenyewe katika picha hii nimefika hapa takribani dakika 30 nasubiri foleni ya kupata huduma kwa bank teller.
Wamejenga teller 8 ajabu tano zipo tupu, waiting line/ que ni kubwa sana takriban watu 60 wengine wamekaa.
Kwanini inakuwa hivi, huyu meneja ana kazi gani? Teller 5 zipo tupu toka asubuhi, si wakodishe watu waweke hata mgahawa katika hizo tela tupu.
Mabenki yanaudhi watu wazi wazi, ifike mahala wakubali wabadilike.
Halafu sasa katika hayo mateller matatu, moja la mawakala wa simu tu, halafu hayo mawili anahudumia mteja mmoja wa foleni halafu vimemo vyake vitatu vya mkononi, so unakuta mnadhani anawahudumia nyie wa foleni kumbe anazo zake.
View attachment 1334020
Nenda kwa wakala Kama mpunga hauzidi 5mPremier ni kwa wateja wenye kadi za aina hiyo. Wanazilipia kila mwezi
Si ajabu anaenda kudepodit laki 2 ya schools fees huyu
Siku hizi kuna mawakala kila kona, hakuna haja ya kwenda kupanga foleni bank kwa ajili ya kuweka kudeposit. Labda kama mzigo mkubwa kiasi.
Kisha wanatazama miamala yake yote,halafu anafinywa kimya kimyahapo wakitaka kukudaka easy tu wanacheki cctv nyuma ya hao watu wanakuona wewe na Ki tekno chako unapiga pcha kisir sir
Sent using Jamii Forums mobile app