Ona jinsi wakristo wanavyoteseka nchini Nigeria na jeshi liko upande wa islamist

Ona jinsi wakristo wanavyoteseka nchini Nigeria na jeshi liko upande wa islamist

Wakina FaizaFoxy Accumen Mo na Ritz wanasema hayo ni makundi yaliyoundwa na Marekani!
Hiyo ni university campus ,achana na page za udaku hiyo taarifa ipo kabisa ...Hao majeruhi ni wanafunzi hakuna target ya wakristo mtakuja kupigana kwa ujinga wenu ..

Soma taarifa kamili acha kumeza chuki, chuki hakuna kitu utfanya maana uongo hauwezi kushinda milele...Nakuambia hawana mlengo wa kidini ila wanaoshambuliwa na jeshi la Fulani ni wanafunzi
 
Hiyo ni university campus ,achana na page za udaku hiyo taarifa ipo kabisa ...Hao majeruhi ni wanafunzi hakuna target ya wakristo mtakuja kupigana kwa ujinga wenu ..

Soma taarifa kamili acha kumeza chuki, chuki hakuna kitu utfanya maana uongo hauwezi kushinda milele...Nakuambia hawana mlengo wa kidini ila wanaoshambuliwa na jeshi la Fulani ni wanafunzi
Umeelewa hiyo habari hapo mwanzo au umepovuka tu kisa imetaja dini yako?
 
Umeelewa hiyo habari hapo mwanzo au umepovuka tu kisa imetaja dini yako?
Una akili kweli? Neno islamist au hutambui? Nigeria kuna udini mkubwa sana jeshi hilo ni sehemu ya serikali hao ni wanafunzi sa chuo ,hiko kijiji unasema ndio kipo targeted wakati ni wanafunzi wa campus 😂😂.

Wewe unakariri tu ujinga ,hiyo habari kaanza na neno islamist .
 
Waislam wakiwa wengi kwenye nchi ama state yenye mamlaka, wale wasio waislam hunyanyaswa sababu nchi au state inageuka kuwa dola ya kiislam na kuwaona wasio waislam ni maadui wanaotakiwa kuangamizwa, hawapaswi kupewa haki zao kiimani, inabidi wafuate sheria za kiislam, n.k. wao huwaita "MAKAFIRI"

Ni nadra sana kukuta vinginevyo, mfano Senegal

Ndio maana hata waislam hukimbia nchi zenye dola ya kiislam kukimbilia nchi zenye uhuru wa kiimani hasa za kikristo, huko wataruhusiwa kujenga misikiti ilhali kwao hairuhusiwi kujenga makanisa, wataruhusiwa kuvaa kanzu na hijab ilhali kwao hulazimisha kila mtu kuvaa wanavyovaa, wataruhusiwa kula wakati wa mifungo ya kwaresma ilhali kwao ni lazima kila mtu afunge ramadan, wataruhusiwa kubadili dini ilhali kwao hakuna huo uhuru kuna ni kosa lenye adhabu kali sana, n.k.

ajabu wakifika huko wanaanza tena itikadi za kuifanya nchi hio iwe dola ya kiislam kama nchi walizozikimbia.

Kuna mdau aliweka uzi humu uislam ukijaa sehemu hauwezi ku co-exist na wasio waislam, sio maneno tu kaweka ushahidi wa kutosha
 
Una akili kweli? Neno islamist au hutambui? Nigeria kuna udini mkubwa sana jeshi hilo ni sehemu ya serikali hao ni wanafunzi sa chuo ,hiko kijiji unasema ndio kipo targeted wakati ni wanafunzi wa campus 😂😂.

Wewe unakariri tu ujinga ,hiyo habari kaanza na neno islamist .
Kwani hao terrorist sio islam Au unaumwa tumbo la kuhara ugaidi wenu ukiwa wazi?
Nguruwe mweusi
 
Kwani hao terrorist sio islam Au unaumwa tumbo la kuhara ugaidi wenu ukiwa wazi?
Nguruwe mweusi
😂😂Hiyo source ni propagandist wa US ,eti scandal 😆😆 wakristo na waislamu wanauliwa na hilo ni jeshi sehemu ya serikali.

Hizi propaganda tangu miaka ya 80's ,basi uislimu ungekufa ila ukweli utabaki pale pale..

Miaka kadhaa waliua watu hao wakadai ni mistake kama hapo


20240421_163926.jpg


Screenshot_20240421-164402.png



Screenshot_20240421-163259.png
 
Hizo commet za mabot zinafanya hoja yako iwe relevant?
Kumbe hujitambui
Huyo aliyepost ni kibaraka wa US ,angalia hiyo paga yake...Hiyo page inajulikana uliona wapi wamesema wanaua waislam

Hapo chini nyingine ni ISIS ,kama ulikuwa unajua ISIS ni waislamu basi wanapigana mpaka na Hamas ,kutetea israel 🤣🤣

20240421_192504.jpg
 
Back
Top Bottom