Ona wanachonifanyia malaya kila nikiwachukua


Kwani sasa hivi unaishi wapi?
 
Sasa alichokosea mdau ni kipi? Machangudoa wapo na wana wateja wa kutosha tu. Usilazimishe kila mtu aishi kama wewe unavyotaka. Hili jukwaa halina ubaguzi
 
Watu kweli hawaogopi ukimwi.Msiwaze maishaa ya leo kuna kesho mjari afya zenu
 

Tafadhari msaidie mleta uzi
 
Last edited by a moderator:
Pole sana mkuu siku nyingine usiende kwa hao walio na vyumba vyao. We andaa hela ya guest na chukua wanaojiuza maeneo ya wazi.

Ila na hao huwa wanaanza kwa mkwara ukiwa na g.house lakini nawe ukimchimba mkwara ananywea.
 

Ni vizuri km ni hvyo, ila tambua ukimwi upo mita chache toka mahali ulipo, ucwe na mawazo kuwa wanao nunua ndo watapata ila wewe unaekopa kwa watoto wajirani upo salama. Fanya utafiti wengi waliambukizwa ukimwi na watu walio waamini mfano maboss wao, au masecretary wao, maafisa elimu au dereva wa oficini, majiran, marafiki n.k. Kununua hata ulaya ipo na unakuwa makini kwakuwa humwamini na co rafiki yako. Na zaidi ya 90% ukimwi unatokana na mapenzi bila kinga na % ndogo kinywani.
Ss unaweza chukuwa malaya bila kinga? Hapo utakua umeamua mwenyewe, au unaweza kuomba denda kwa kahaba? Ukimwi tunapata kwa watu tulio shawishika kwasababu zetu binafsi na kuwaamini, kuwa nifanye utakavyo, au ukitaka nitafune nimeze (kuzama ktk penzi na michepuko).
 
sexologist
kwa nini unapenda kutumia hash ( # ) ukitaka kuniita huwanga sikupati haraka jaribu kuwa unafanya hivi unaandika Shy land ukianza na "s" kubwa hafu mwazoni weka hii @
 
Last edited by a moderator:

Nani kasema nani yupo salama?
 
Mkuu John Ezekiel uwe unaranduka kwanza plus na pombe na unawapiga biti kweli
 
Last edited by a moderator:

Asante sana mkuu...jib lako imebidi nireply. Umenifungua.
 

Wagombanao ndio wapatanao, wape muda utashangaa. Hao ni waarabu wa pemba
 
sexologist
kwa nini unapenda kutumia hash ( # ) ukitaka kuniita huwanga sikupati haraka jaribu kuwa unafanya hivi unaandika Shy land ukianza na "s" kubwa hafu mwazoni weka hii @

hahaha nshajifunza bana... si kuna sredi hapa ya mwaka 2012 imefufuliwa jana ndo na mi nimeona... ila shida nikifanya hivyo haliji jina kamili... inakuja shy tu land inabaki...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…