Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
Labda swaumu kali
Halazimishwi kufunga aliye safarini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda swaumu kali
Wametia aibu kivip sasa?![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
hatari sana.
wana diaspora wa marekani mmetia aibu ya mwaka!!
Wachafu kivipi wakati naona hapo wamevaa casual. Au ulikua unataka waandamane na suit?!Ndio maana najiuliza kwanini wale waandamanaji walikuja wakiwa wachafu?
Ni mbinu ya kuandamana au walitaka wapate sababu ya kukataliwa kuingia kwenye mkutano?
Kwani mimi nimefiwa na mkuu wa sukuma gang?Mbona kama vile haujiamini?
Machozi yanakulenga lenga?
Aliogopa kwa usalama wake, unajuaje walikuwa wameficha 'mawe' mfukoni ?Easy peasy!
Sasa nasikia amekula kona kupitia mlango wa uani 🤣🤣.
Anaogopa nini?
So insecure.
Ukiongea Tanzania manake zenji ipo humo..kaa kutulia wewe.Jamii ya Diaspora Tanzania ( isipokuwa Zanzibar) Ni useless bunch of hooligans.
Hakuna mtu wua maana huko.
Ndio maana Maisha magumu na hali mbayaaaaa mpaka wanaolewa huko, na wengine wanaishia mitandaoni kupotea siku.
KabisaAngetoka akaongea nao tena angekusanya mabango akapiga na picha ya pamoja na waandamanaji then game ingeishia hapo
Machogo mnataka kudandia maendeleo ya Wazanzibari wa diaspora?Ukiongea Tanzania manake zenji ipo humo..kaa kutulia wewe.
#MaendeleoHayanaChama
Kweli Albert Einstein huna muda wa kupoteza, good Albert!Sina muda wa kupoteza mimi.
Hapa umeongea vema kabisaHata kuongea na kuwasikiliza Watanzania wenye maoni na mitazamo tofauti hakuna kilicho kibaya.
Pata picha kama hapo ingekuwa ni Tanzania….kuna watu wangeumizwa na vyombo vya dola!
Tunaongozwa na watu wasio na akili kabisa.
Hao diaspora wa zenji wamefanya nini..je walilipa hela ya umeme wa tanesko mliopewa msamaha na jpm baada ya kushindwa kulipa..Machogo mnataka kudandia maendeleo ya Wazanzibari wa diaspora?
Kweli watu mnajua kujibuKwamba walichofanya hao wazalendo ni kupoteza muda? Mbona umetumia muda wako kuandika habari za waliopoteza muda?
EhRais hawezi kunifanya chochote anachotaka.
Hana mamlaka hayo.
Hawakuwa katika ratiba so hakujiandaa.Easy peasy!
Sasa nasikia amekula kona kupitia mlango wa uani [emoji1787][emoji1787].
Anaogopa nini?
So insecure.
Hivi bongo maendamano yana ruhusiwaAisee hiyo spidi aliyotoka hapo.