Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani Rais apoteze muda kusikiliza hao wehu ili iweje? Hao ni wapuuzi tu kama wapuuzi wengine!Kweli Rais kazingua Sana hapo kama angewasikiliza angepata heshima kubwa Sana kama mtu anayetetea demokrasia,waliomshauri kula Kona wamemhalibia pakubwa sana ,ingempa political booster kama angewasikiliza na kuongea nao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aogopi chochote bali...kafanya sawasawa na wahuni wa team yake ya msogaEasy peasy!
Sasa nasikia amekula kona kupitia mlango wa uani [emoji1787][emoji1787].
Anaogopa nini?
So insecure.
Usikute ni teja hilo.Diaspora njaa itawaua, hata prsa za kununua viatu hawana aisee.
Hivi sijui kaokota Dampo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 2199148
Hapo ingekuwa ni Tanzania hakuna ambaye angethubutu kumbebea mabango Rais.
Na angejitokeza aliye jasiri wa kufanya hivyo, angechezea kichapo ambacho asingekisahau.
Lione li Mwigulu linavyojifanya linyenyekevu. Usanii mtupu!
Ila heko kwa hao waandamanaji. Wamemfanya Samia ale kona.
Sasa sijui Samia anaogopa nini?
Anawaogopa Watanzania wenzie waliopo diaspora?
Angekuwa ni mtu anayejiamini angeongea nao awasikilize. Hakuna ambacho angepoteza. Sana sana angejizolea pointi za kisiasa.
Hakuna kibaya walichokuwa wanakidai.
Shame on her and her handlers.
Sijataka kuaminisha lolote kuhusu Diaspora, Mimi mwenyewe ni mwana diaspora, mimi ni CCM na nisasupport katiba mpya!.Kwanini unataka kuaminisha watu kwamba Diaspora ni wapinzani?
Heshima ni kitu cha bure, watu na heshima zetu kutuita waongo, sio heshima!.Mkuu kwanini unapenda kusema uongo? Nani alimpigia kura Rais Samia?
Comment yako inasikitisha sana, imekosa hekima na busara! 🙏🙏🙏Mama anaupiga mwingi ndani ya ushungi.
Ametokomea kusikojulikana kwa spidi ya radi. Amekula kona (si ajabu alienda kujibanza kwa lile lizungu lake).
Hili libibi hata sio president material. Tunajilazimisha tu.
Sijui alipewaje wizara nyeti vile, akiwa home affairs watu wakiwa wanakotwa kwenye viloba alipoulizwa alijibu ni wahamiaji haramu .kutoka hapo hyo jamaa namuonaga hamnazo kabsaa.Mwigulu ni gunia la mavi. A demon in human form.
Akiwa uzunguni kumbe ananywea kama kifaranga cha kuku chenye mdondo.
Jitu hopeless kabisa!
Tufyiiakwaa!
Hapo ingekuwa ni Tanzania hakuna ambaye angethubutu kumbebea mabango Rais.
Na angejitokeza aliye jasiri wa kufanya hivyo, angechezea kichapo ambacho asingekisahau.
Lione li Mwigulu linavyojifanya linyenyekevu. Usanii mtupu!
Ila heko kwa hao waandamanaji. Wamemfanya Samia ale kona.
Sasa sijui Samia anaogopa nini?
Anawaogopa Watanzania wenzie waliopo diaspora?
Angekuwa ni mtu anayejiamini angeongea nao awasikilize. Hakuna ambacho angepoteza. Sana sana angejizolea pointi za kisiasa.
Hakuna kibaya walichokuwa wanakidai.
Shame on her and her handlers.
huna muda wa kupoteza wapi bwege wewe wakati umepoteza muda na bundle lako kuanzisha mjadala hapa jf unaohusu ziara ya samia huko US.Sina muda wa kupoteza mimi.
Viongozi walikuwa ni akina Nyerere na Mwinyi. Waliofuatia baada ya hapo, wamekuwa wakitutawala! badala ya kutuongoza.Kwani ni Watawala wetu au Viongozi wetu ?
Asante sana kwa Ufafanuzi. Hapo ndio nakupendea.Sijataka kuaminisha lolote kuhusu Diaspora, Mimi mwenyewe ni mwana diaspora, mimi ni CCM na nisasupport katiba mpya!.
P
Hapa nakuunga mkono.Hata Magufuli tukiacha ushabiki pembeni, hakuwa na sifa za kuwa Rais.
Huyo ni debe tupu anayeendeshwa na ukabila.Kama yeye zumbukuku kaona wanapoteza muda na yeye ni zumbukuku tu itakuja kuwa Rais wa Nchi?Kwamba walichofanya hao wazalendo ni kupoteza muda? Mbona umetumia muda wako kuandika habari za waliopoteza muda?
Hapo ingekuwa ni Tanzania hakuna ambaye angethubutu kumbebea mabango Rais.
Na angejitokeza aliye jasiri wa kufanya hivyo, angechezea kichapo ambacho asingekisahau.
Lione li Mwigulu linavyojifanya linyenyekevu. Usanii mtupu!
Ila heko kwa hao waandamanaji. Wamemfanya Samia ale kona.
Sasa sijui Samia anaogopa nini?
Anawaogopa Watanzania wenzie waliopo diaspora?
Angekuwa ni mtu anayejiamini angeongea nao awasikilize. Hakuna ambacho angepoteza. Sana sana angejizolea pointi za kisiasa.
Hakuna kibaya walichokuwa wanakidai.
Shame on her and her handlers.
You're missing the point.Mkuu Kalamu1 , formula ya ushindi wa uchaguzi Mkuu wetu ni simple majority, ambapo the winner takes it all. Mshindi anakuwa ameshinda wote ameshinda zote, uwe ulimchagua, hukumchagua, au hukupiga kura kabisa, utakatwa kodi yako utake usitake, na Kodi hiyo, itatumika kumlipa mshahara rais wako.
P