Once-in-a-lifetime experience: Sayari ya Mshtarii na Zohali zinatarajiwa kuonekana kama umbo moja usiku wa leo

Once-in-a-lifetime experience: Sayari ya Mshtarii na Zohali zinatarajiwa kuonekana kama umbo moja usiku wa leo

Mi hata siwaelewi, huku nilipo ndio saa tatu asubuhi kwahiyo nami nisubiri au imekula kwangu?
 
Zilianza jana..Jana nimeona nyota zimekaribiana magharib nikajua TAYARIII
Yeah hata mimi jana niliona zipo karibu sema sikutilia maanani sana zilikuwa umbali kama futi moja hivi
 
View attachment 1655919

Baada ya zaidi ya miaka 400, leo usiku sayari mbili kubwa zaidi katika mfumo wetu wa jua, sayari ya Mshtarii (Jupiter) na Zohali (Saturn) zinatarajiwa kuonekana katika umbo moja kutoka duniani.

Tukio hili linalotokea mara moja katika muda wa uhai wa mwanadamu linafanya sayari hizo mbili kuonekana kama 'nyota' moja. Mara ya mwisho tukio kama hilo kuonekana ilikuwa zaidi ya miaka 400 iliyopita, Julai 16 mwaka 1623.

Si kweli kwamba sayari hizo mbili zitaungana na kuwa kitu kimoja, kuna umbali wa zaidi ya kilomita 733,205 kati ya sayari hizo mbili, na umbali wa kilomita 886,440 kati ya dunia na sayari ya Zohali, ila sayari zote mbili zitakuwa katika mstari mmoja wa mwonekano kutoka duniani.

Sayari hizi mbili kubwa zinaonekana kwa urahisi kutoka duniani, na tukio hili linaweza kuonekana katika maeneo mengi duniani. Tafuta sehemu nzuri usiku wa leo utazame upande wa Kaskazini Magharibi uweze kuona tukio hili ambalo hautaweza kuliona tena katika maisha yako.
Mimi nitaiangalia hii kitu kutoka dirisha la sebuleni kwangu. Nipo kilimani kuegemea upande wa kaskazi magharibi.

Bahati mbaya sina camera yenye lensi kali
 
Mimi nitaiangalia hii kitu kutoka dirisha la sebuleni kwangu. Nipo kilimani kuegemea upande wa kaskazi magharibi.

Bahati mbaya sina camera yenye lensi kali
Simu yako haina camera au unatumia Tecno..?
 
View attachment 1655919

Baada ya zaidi ya miaka 400, leo usiku sayari mbili kubwa zaidi katika mfumo wetu wa jua, sayari ya Mshtarii (Jupiter) na Zohali (Saturn) zinatarajiwa kuonekana katika umbo moja kutoka duniani.

Tukio hili linalotokea mara moja katika muda wa uhai wa mwanadamu linafanya sayari hizo mbili kuonekana kama 'nyota' moja. Mara ya mwisho tukio kama hilo kuonekana ilikuwa zaidi ya miaka 400 iliyopita, Julai 16 mwaka 1623.

Si kweli kwamba sayari hizo mbili zitaungana na kuwa kitu kimoja, kuna umbali wa zaidi ya kilomita 733,205 kati ya sayari hizo mbili, na umbali wa kilomita 886,440 kati ya dunia na sayari ya Zohali, ila sayari zote mbili zitakuwa katika mstari mmoja wa mwonekano kutoka duniani.

Sayari hizi mbili kubwa zinaonekana kwa urahisi kutoka duniani, na tukio hili linaweza kuonekana katika maeneo mengi duniani. Tafuta sehemu nzuri usiku wa leo utazame upande wa Kaskazini Magharibi uweze kuona tukio hili ambalo hautaweza kuliona tena katika maisha yako.
Itakuwa usiku saa ngapi
 
Nmeiona mkuu niipige picha?

Naishukuru sana serekali ya awamu ya 6 kwa tukio hili
 
Wanasayansi huwa hawakosi cha kusema. wanaita hili tukio Xmas star.Wanadai nyota ambayo wale mamajusi wanaozungumziwa kwenye biblia kuhusu tukio la kuzaliwa kwa Yesu kristu,ambao waliiona nyota mashariki na kuifuata,waliona tukio hili la jupiter na saturn kukaribiana. Xmas star imezungumziwa sana na vyombo vya habari vya kimartaifa ikidaiwa hiii ndio nyota walioiona wale mamajusi (Astronomers), na hutokea baada ya mamia ya miaka .
 
Back
Top Bottom