hata wewe ondoa hiyo misconception, mfano sie wasukuma tunasifika wa ukarimu sana hasa kwa watu walioishi usukumani, lakin majuzi nilikuwa mbinga ruvuma wamatengo wananiambia eti sie wasukuma ni wanafiki sio wapole wala wakarimu, kuuliza sababu naambiwa eti kisa tu huku kwetu ndo mauaji ya albino na vikongwe ndo yameshamili, ajabu waliosema hivyo hawajawahi kufika usukumani. ile ni misconception coz sie ni wakalim mno wanaofanya hayo mambo ni waharifu wachache tu.Mleta mada utafiti wako nimdogo sana. Ukiwajua vizuri wanyarwanda hasa Wa kitusi utaelewa. Japo niwatu smart. Lakini niwabaya kuliko. Najua ujaingia kuminanane zao utausoma mziki.
Basi acha asemwe maana wanaomsema wana sababu za kumsema.Ndugu yangu mimi sina tabia ya kuyachukulia mambo generally, kabla sijatoa maoni ninaangalia pande zote mbili za jambo fulani. Kama modo zilikuwepo enzi za Nyerere halafu zikawa ni kielelezo kibaya mbele ya jamii hata leo hii zikivaliwa zitakuwa na impact ile ile ya zamani. Kagame anayo haki ya kusemwa akifanya mambo ya kishenzi, pia anayo haki ya kusemwa anapofanya mambo ambayo yanamjengea heshima nje na ndani ya Afrika.
Maneno ya mkosajiAmazing...yaani unadhani wnakuhandle burebure tu...they always have their long term hidden agendas....kalia hivohivo eti wanakuhandle...
Hayo ya serukamba yamesemwa sana hapa jf . Nadhani kuna wanaofahamu zaidi kuhusu huyo mtu, ikiwa ni mtutsi kwanini aachwe agombee ubunge na kama sijakosea aliwahi kufikia hadi kupewa unaibu waziri? Pamoja na hayo isiwe labda ilikuwa ni maneno ya kisiasa tu kumbe si kweli.Kigoma kuna kijiji kinaitwa manyovu kipo wilaya ya kasulu.. Katika kijiji hicho kuna sehemu inaitwa utusini na wanaishi wao tu... Wana roho mbaya mpaka kwa watanzania..
Kuna rafiki yangu mmoja ni mtusi anatokea hicho kieneo aliwah kuniambia muda wowote anawaza kumuua
muhutu....
Mtoa mada huwajui vizuri watusi nakuomba ukae kimya... Me nimekuwa na kuishi na watusi nawajua saaaaaaaana.... Wana roho mbaya saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana... Siongei kinadharia kama unataka kuthibitisha hili muulize Mtanzania anaeishi kigoma wilaya za kasulu vijijin au kibondo watakupa Na kukusimulia mengi...
Nakumbuka mwaka 2005 kwenye uchaguzi wa mbunge wa kgoma mjini... Peter Serukamba kama sio Ccm alikuwa anapigwa chini kwa sababu mbunge wa chadema kipindi hicho Dr. Aman Walid kabourou alikuwa anawaonya watu kuwa jamaa ni mtusi na anajua lengo la ...... kumtaka awe mbunge... Jaribun kuulizia mpate vitu
Nishawahi kuleta uzi hapa unaozungumzia namna wasukuma tunavyoharibu sifa zetu kwa amani zetu za kishirikina na kuua vikongwe. Nikatoa mfano namna rafiki yangu mmoja mhaya alivyokosa amani baada ya kujiyamburisha kuwa mimi ni Msukuma. Walikuja kabila langu kunisakama kuwa nawadharirisha lkn meseji send. Tuache kuua vikongwe ukarimu wetu na upole wetu utakuwa level ya juu sana.hata wewe ondoa hiyo misconception, mfano sie wasukuma tunasifika wa ukarimu sana hasa kwa watu walioishi usukumani, lakin majuzi nilikuwa mbinga ruvuma wamatengo wananiambia eti sie wasukuma ni wanafiki sio wapole wala wakarimu, kuuliza sababu naambiwa eti kisa tu huku kwetu ndo mauaji ya albino na vikongwe ndo yameshamili, ajabu waliosema hivyo hawajawahi kufika usukumani. ile ni misconception coz sie ni wakalim mno wanaofanya hayo mambo ni waharifu wachache tu.
Huyo unayemjibu si msukuma, ni mtutsi anayeifahamu Tanzania.Nishawahi kuleta uzi hapa unaozungumzia namna wasukuma tunavyoharibu sifa zetu kwa amani zetu za kishirikina na kuua vikongwe. Nikatoa mfano namna rafiki yangu mmoja mhaya alivyokosa amani baada ya kujiyamburisha kuwa mimi ni Msukuma. Walikuja kabila langu kunisakama kuwa nawadharirisha lkn meseji send. Tuache kuua vikongwe ukarimu wetu na upole wetu utakuwa level ya juu sana.
nyanoko, lekaga ukwigusha na banhu abo utabamanile, angu 'unayemjibu si msukuma, ni mtutsi' nyanina ebe,Huyo unayemjibu si msukuma, ni mtutsi anayeifahamu Tanzania.
Na kwa bahati nzuri familia zote mbili hutu na Tutsi. Nimeishi nao. Mtoa mada ulichanganywa na supu ya ule mgahawa
Mkuu hongera kwa kutuhabarisha. Ukarimu huo kuupata Tanzania labda kwa wasukuma vijijini huko. Watanzania tumebakiwa na sifa ya Magufuri tu na kila Mtanzania kwa sasa kajivika uanaharakati yaani ni upuuzi mtupu. Vipi mkuu hujaopoa mtoto huko? Samahani lakini
Unajenga picha mbovu sana ya ubaguzi, kwa hiyo kama serukamba mtutsi uwezo wake usiisaidie jamii!!!, ubaguzi huo ulikuwa chanzo cha watu wengi kufa mwaka 1994. Kwa hiyo mtu kuzaliwa mtutsi ni kosa la jinai. Kaka unataka tuendelee kuishi katika karne hii tukiwa ndani ya fikra za kikabila!!. Kaka you are totally wrong. Akili za Hitler ndio kama hizi, alihalalisha kifo cha wayahudi kwa kujenga hoja, bahati mbaya waliozisikiliza na kuzitekeleza waliona eti zina msingi.Hayo ya serukamba yamesemwa sana hapa jf . Nadhani kuna wanaofahamu zaidi kuhusu huyo mtu, ikiwa ni mtutsi kwanini aachwe agombee ubunge na kama sijakosea aliwahi kufikia hadi kupewa unaibu waziri? Pamoja na hayo isiwe labda ilikuwa ni maneno ya kisiasa tu kumbe si kweli.
Unatumia avatar yenye picha ya einstein halafu unaongelea ubaguzi dhidi ya serukamba!!. Vitu viwili tofauti, huyo Eistein alikuwa myahudi, jamii ya watu ambao Hitler alitaka kuwamaliza wote duniani. Watu hao ni wahanga wa ubaguzi kama watutsi kule Rwanda. Jaribu kuoanisha mambo yako, ili ufanane na muonekano wa avatar yakoBasi acha asemwe maana wanaomsema wana sababu za kumsema.