Ondoa ''misconception'' kuhusu Wanyarwanda

We nawe usiwe kichwa kigumu.duniani pote wapo watu wa aina zote.unapokomalia watanzania wabadilike as if huko Rwanda wanaishi malaika nakushangaa .eboo. Haya hizo tabia wanazowasema sijui Watusi naamini si wote wako hivyo so tusipende kugeneralize. Kumasimita
 
Ninacho gundua tz ni wivu umewajaa hasa wadada wa bongo hawapendi kabisa wanayarwanda maana waliwafunika mbali sana kisura kiumbo wale watoto wazuri kuanzia nywele hadi unyayo tabia ni misconception tu mwakani naoa mtusi
hahahaaa, utakufa ww, daah totoz za kitutsi ni noma
 
Usikimbie.jibu maswali aliyokuuliza
 
Kaka kuna watu wameurlewa ujumbe wangu. Usitake nilazimike kurudia kitu kile kile muda wote.
 
Usikimbie.jibu maswali aliyokuuliza
Heshima kitu cha bure ndugu yangu, siwezi kuongea the same thing two days in a row. Siwezi kukimbia kwa mambo hayo madogo, kero kwangu ni mtu kuja kutaka niongee naye kwa muda ambao yeye yupo comfortable na mimi sipo tayari kuongea naye.
 
Heshima kitu cha bure ndugu yangu, siwezi kuongea the same thing two days in a row. Siwezi kukimbia kwa mambo hayo madogo, kero kwangu ni mtu kuja kutaka niongee naye kwa muda ambao yeye yupo comfortable na mimi sipo tayari kuongea naye.
Haya kalale.kumaasimita
 
Haya kalale.kumaasimita
Kuzungumzia issue moja sio kibali cha mtu mmoja kujenga ukaribu kupita kiasi, jaribu kujichukulia kama mtu mzima. Pengine unaweza ukawa unaongea na mtu mwenye umri mmoja na mzazi wako. Be careful the way you are talking my friend.
 
Kwa hiyo facts huwa ni positive tu, zikiwa negative sio facts bali mihemuko? Doh umenishinda tena.
we unaziona ni facts lakin kiuhalisia sio facts, ndo maana nikasema facts gani za vile? elewa zile sio facts positively wala negatively bali ni mihemuko yako tu ya kila siku hapa jukwaani
 
Bukililo ni mtanzania Mnyarwanda...ana damu ya Kitutsi, anaongozwa na ukabila ulioko moyoni.
 
Umeandika mema na mazuri na ukweli mtupu. Rwanda ni nuru katika eneo la maziwa makuu. Wanaoitukana Rwanda hapa ni mahasimu wa Kagame au masalia na washabiki wa FDLR au waswahili wasiojua kinachoendelea Rwanda. Aidha, kuna wenye kuchukia Tutsi bila sababu za msingi.
 
umesahau kuuliza kwa nn anawabagua wahutu, mfano hoteli uliyo lala wahudumu wote ni watusi.
 
Bukililo ni mtanzania Mnyarwanda...ana damu ya Kitutsi, anaongozwa na ukabila ulioko moyoni.
Laiti ungenijua wala usingeandika maneno kama haya, ujumbe wangu ni mpana kuliko huu unaosomeka moja kwa moja. Lengo langu ni jema kwa Tanzania na watanzania wenzangu kwa ujumla wetu.
 
Plse i just cant read end of most reply which are typicaly Tanzanian as usual ukitaka mbongo akuchukie mwambie ukweli! And wanasema "WHERE IGNORANCE IS BLISS IT IS FOOLISH TO BE WISE" am so much suprised na wote wanao bisha ati Kagame!Rwanda hajafanya lolote kweli? Kindly ingia just you tube andika city of Kigali ukishatazama then andika Rwanda! Mh ndo u will have the smooth eye opener of what Kagame has done to Rwandans despite the Genocide of 1994 which many of u have used as a weapon to lash back to Rwandans,such unmerceful Souls ur! kwanza a good example Rwanda air! je muna shirika la Taifa la ndege Tanzania?Mumewai ona usafiri wao wa mabasi ulivo wa kisasa?na wenyewe walivo wastaarbu? Mabus sio ya kupgania kama bongo! My God in years to come almost wanya Rwanda wote wanaongea ENGLISH/FRENCH/KINYARWANDA/KISWAILI! Perfectly?KAGAME very clever after kuhama Francophone (french)na kuenda Anglophone basicaly kutumia English(worlds widely used language)alichukua best teachers toka Kenya and Uganda! Wao wamejiandaa kuuzika kimataifa kielimu very well! Huezi pata mafake ya kichina ovyo Rwanda just 1grade toka China! Vitambulisho vyao nice kama va bank do u have IDC ? si pesa imeliwa yote? Kila mtoto anapozaliwa ana pasport Rwanda! do u do that in Tanzania? Nimempenda ukifanya ushenzi kwa serikali yake no discusns justice take its path then jail! And KAGAME hana masihara what a leader!
kwa informatn walifanya referendum na asilimia 94 ya wanyarwanda walimpendekeza aendelee kuongoza manake amewabadilishia nchi sana! Huduma za afya clasic! Jamani pendeni kugoogle to know the facts! Last point ingia you tube andika Thikahighways/Kenya another eye opener finaly yotube andika city of Malabo/Guenea Equatorial kanchi kadogo kama pemba ila uchumi matata! Finaly youtube City of Port au Prince/Mauricious wanategemea utalii only ka nchi size ya Zanzibar another eye opener kote huko good governance kama ya Kagame!after then! U can just challenge a motion tabled kwa JF with concreate examples!kuna wakati MTN RWANDA(vodacom ya kwao) wakawa mara networkdown/call ended/mara mtandao haupatikani/mara network busy/KAGAME aliwambia wasouthafrica anawapa 48hrs hataki kuona such ushenzi ama sivo watoe mitambo yao alete a best kampan ya simu toka Europe mbona wakawa perfect hao MTN RWANDA hata siku moja hamna manetwork error/problem tuliozoea Bongo kwa kampun zao za sim !lastly umeme hakunaga kukatika ovyo ovyo kama bongo!kuna dharura wanatangaza! Umeme wao hau pungui mara kuongezeka ghafla kama wa bongo upo stable always! Wow the Next SOUTH AFRICA of East Africa!
 
umesahau kuuliza kwa nn anawabagua wahutu, mfano hoteli uliyo lala wahudumu wote ni watusi.

Ukiwa Mtusi ni rahisi kujua kama hotelini kuna mtusi au mhutu, na ukiwa mhutu hali kadhalika mpaka hapo labda na wewe ni miongoni mwao, Kabila huambatana na Lugha ya kabila husika, Rwanda ni ya wanyarwanda na wanaongea kinyarwanda hakuna lugha ya kitusi au ya kihutu... wengi wetu huangalia maumbile ili kuwatofautisha na ukiwa sio mbaguzi huwezi kuwajua kwa kuwatofautisha.... kama ni urefu hotel niliyolala wako wafupi na warefu sasa jijajua kama niwatusi au wahutu
 
Eti dada zenu!!!!
 
Tukiachana na Kagame kuijenga Rwanda lakin spirit yao haija badirika. Na haita badirika. Maana vita haijahisha. Kuna Mtoto Wa Abyalimana aliyetoroka na ndege za kijeshi bado wanaishi. Wakimbizi Wa kambi za maeneo ya kigoma walitoroshwa na ndege waliko kwenda hatujuhi. Kuna mambo mengi ukitaka kuyajua jitahidi kufuatilia.
 
......Wengi wenu kama sio wote mnadhani kuwa wanyarwanda ni watu ''wasio poa'' au ni wenye majivuno labda wengine mnadhani eti hawatupendi Watanzania.
.........huyu mzee alijua mimi ni Mkongo,
Ndugu yangu hapa HUELEWEKI kabisa. Unachosema NININI? Kuwa wanyaRwanda hawawapendi watanzania? Upendo ulioupata ulikuwa FEKI kwa sababu WEWEMwenyewe ULIFEKI maisha yako kwa dhana hiyohiyo ya woga. Ulijifanya Mkongomani. Je, unadhani huyo muzee angekununulia thubu kama angejua hakika wewe ni Mtz?
Maelezo mengine uliyotoa..(mf. namba 2 mpaka 5) hayana MAUDHUI ya kichwa cha habari yako...
Nakushauri ukirudi tena Rwanda (kama umeshatoka huko) ujitambulishe kama Mtanzania na uone watakavyo kuchukulia, kisha utwandikie kutupa mrejesho...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…