Ondoa pattern, password ulizozisahau pasipo kuflash simu

Nilijua labda una mbinu nyingine kumbe vilevile sema wewe unawafundisha kufanya wenyewe. Tatizo wabongo vile vikalatasi vya simu huwa hatusomi ila vina mengi ya kutusaidia kutumia simu zetu
Simu zenyewe tunanunua mkononi a.k.a used hyo makaratasi tutayapata wapi!?
 
Sony xperia Z3 nafanyaje mkuu?msaada wako tafadhali
 
Unaharibu ajira za watu mkuu.
Anajitangazia yeye biashara lakin ndio anaharibu ajira za wengine . Kwanza hzi solution zimejaa google hvyo kama mtu n mvivu kusoma aache wanaosoma na waliosoma wapige kazi
 
Yaaaah live yan but hapo kweny kutupig makaratasi ndo shida kwa usawa huu wa mzee........
 
Sasa engefanyaje?? Ili asiharibu buisness za, watu??
Hakuna cha kufanya angeanza tu kujitangaza . Kwa maana licha yakuharibu business pia anoengeza uhalifu maana kama kwel ni fundi mtu kasahau pattern kwan ni lazima hadi vitu vipotee. Kwa baadhi ya simu unaweza kwenda kwa fundi akakutolea lock bila kupoteza vitu ila njia yake ni haribifu
 
ukifanya ivyo unakutana na kitu kinaitwa frp ndio utaelewa vizur kama pia umesahau e mail na password
 
ukifanya ivyo unakutana na kitu kinaitwa frp ndio utaelewa vizur kama pia umesahau e mail na password
Hapa si somo litaendelea mpaka hadi namna yakubypass!!!!!!!
 
Na kabla hujaweka post kama wewe ni mtu makini hebu cheki humu jf kama wenzako wenye uelewa kama wako hawajawahi kupost maana this might be just a revision bro/sis
 
Huu Uzi ni wakufutwa sababu mnachochea wizi kwa kuhalalisha kwa maneno Kama mmeokota
kwa simu za kisasa na models za security hii njia haifanyi kazi, ni ya zamani tumeitumia sana kutatua matatizo mbalimbali ya simu, ila siku hizi hola
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…