Hapo kwa Jay Z na Nas umeyumba mkuu... Ali nakubali.Sio bongo tu...hata
Kenya...watu kama kina khaligraph..oxido.. unawasikia kwa mbali.
Ukienda south...Rick ricky..L- tido.. casper.hawaskiki kama jamaa aka
Njoo state..brother ali..nas..Jay Z mwenyewe hasikiki kama drake na kina tyga...
Haya Cameron anasikika Stanley...
Ila mziki sio Ukali wa mistari tu brother kuna technik kibao za kuteka soko
Unajua hawa machalii wanaswaga zile za East Coast wakimwiga zaidi Nas kuanzia delivery, wordplay etc.... kiukweli wana skills kwenye mic lakini wote wana lyrical content mbovu.Hapa ni kama BIG N TUPAC...
Flow vs mashairi
Hiphop sikivu huelewi fatilia sebeneNdo kina nani hao?madiwan au wacheza soka?
Impecable n hatar Sana,msklze One kwny Debuty,uyu jamaa kikristu hakmsumbui kbsakuna ngoma yao kali sana inaitwa impeccable kama sijakosea wamechana kwa lugha ya malikia, one the incredible ana umombo ule wa uingereza haswaaa!! ila wote wanajua aiseee
Mkuu, unamaanisha a lot of wishes au?kuna ngoma yao kali sana inaitwa impeccable kama sijakosea wamechana kwa lugha ya malikia, one the incredible ana umombo ule wa uingereza haswaaa!! ila wote wanajua aiseee
Huyo mtoto wa dom? bado mchanga sana kwa hivyo vichwa viwili.jesus ndo noma hao wote mawhack
Unju bin unukiNapenda flow ya stereo but lyrics za one ni gumzo. Binafsi wote hawa nawaona ni wadogo zake unju