elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,261
- 9,733
maybe kama ina jin jingine,mimi najua impecable mkuuMkuu, unamaanisha a lot of wishes au?
Yaaan kayumba mno.nadhani kaanguka kabida.nas na j .z wa kitambo sana.ni sawa na useme humsikii dugu au proffesor j.Hapo kwa Jay Z na Nas umeyumba mkuu... Ali nakubali.
Kuna P the mc, Gheto ambassodor, MalleHao ndo wana hip hop sio wakina Darasa kuna stereo kuna One kuna Pide MC kuna Nash MC kuna jamaa anaitwa Songa kuna Mtu anaitwa Kadigo Kuna niki mbishi Aisee One ni hatari kama nyukria
ahh cassper kashamfunika A.k.a ndo maana anafanya show kwny uwanja wa mpira na unajaaaSio bongo tu...hata
Kenya...watu kama kina khaligraph..oxido.. unawasikia kwa mbali.
Ukienda south...Rick ricky..L- tido.. casper.hawaskiki kama jamaa aka
Njoo state..brother ali..nas..Jay Z mwenyewe hasikiki kama drake na kina tyga...
Haya Cameron anasikika Stanley...
Ila mziki sio Ukali wa mistari tu brother kuna technik kibao za kuteka soko
Unju hamna kituNapenda flow ya stereo but lyrics za one ni gumzo. Binafsi wote hawa nawaona ni wadogo zake unju