Onesha kosa moja la Kafulila nami nioneshe makosa 10 ya January Makamba

Onesha kosa moja la Kafulila nami nioneshe makosa 10 ya January Makamba

Paulsylvester

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2021
Posts
1,464
Reaction score
3,379
Kuna mambo Kwa sasa ukitumia akili kufikiri, utajiridhisha kwamba,

Kwa sasa utawalala huu hauhitaji watu wenye weledi katika kusukuma gurudumu la maendeleo ya nchi hii, isipokuwa ni kubebana tu ili mtoto wa aliyekuwa Fulani serikalini ale.

Na wakati mwingine ukitizama saaana kwa jicho la mwewe unaweza kudhani na ama kubaini kuwa ukiwa mtu ambaye umepewa nafasi ya juu na wananchi wakakuamini na wewe kama kiongozi ukaanza kukemea mambo ambayo kwako wewe uliyaona kama yana mwelekeo fulani hivi wa dini tulizoletetwa na wazungu pamoja na waarabu kwamba kulikuwepo na kamwelekeo hako ka kupendelea watu wa dini Fulani na wa dini Fulani kuachwa.

Kama kiongozi ukaingia kukemea jambo hili ni jambo la maana sana, lakini haitoshi tu kukemea, bali pia ni kusimamia kwa nguvu zote siku zote bila kuonesha tena upendeleo wa ama kimakosa, ama kwa makusudi!

Naomba kuoneshwa makosa ya Kafulila na Mimi nitawaonyesha makosa ya January Makamba.
 
Kuna mambo Kwa sasa ukitumia akili kufikiri, utajiridhisha kwamba,

Kwa sasa utawalala huu hauhitaji watu wenye weledi katika kusukuma gurudumu la maendeleo ya nchi hii, isipokuwa ni kubebana tuu ili mtoto wa aliyekuwa Fulani serikalini ale

Na wakati mwingine ukitizama saaana Kwa jicho la mwewe, unaweza kudhani na ama kubaini kuwa, Ukiwa mtu ambaye umepewa nafasi ya juu na wananchi wakakuamini, na wewe kama kiongozi, ukaanza kukemea mambo ambayo kwako wewe uliyaona kama yana mwelekeo Fulani hivi wa dini tulizoletetwa na wazungu pamoja na waarabu kwamba, kulikuwepo na kamwelekeo hako, ukaingia Kwa kukemea, ni jambo jema sana, lakini haitoshi tu kukemea, Bali pia ni kuyasimamia Kwa nguvu zote siku zote bila kuonesha tena upendeleo wa ama kimakosa, ama Kwa kusudi!

Naomba kuoneshwa makosa ya Kafulila na Mimi nitawaonyesha makosa ya January makamba
anajiandaa kwa teuzi kubwa zaidi
 
Kwanini usitufahamishe kuhusu kazi alizopewa kufanya, PI zake na nini amefanya ili tusitumie msuriii kumpima na mtu mwingine kabla ya kumpima mwenyewe internally.
 
... Kafulila hana kosa lolote. Mnapoambiwa kikatiba madaraka ya mamlaka za uteuzi ni makubwa mno muwe basi mnaelewa. Tatizo ukiwa kwenye uteuzi huwezi kuyaona hadi "yakufike". Nafasi kama hizi zilitakiwa ziwe za kuomba badala ya hisani ya mtu! Hisani ya mtu wengine wataonekana saa ngapi?
 
kuondolewa kwny uongozi wa kisiasa sio lazima uwe na kosa

Hayati Baba wa Taifa anasema mwaka 1983 alimuita aliekuwa Waziri Mkuu wake Ndugu Rashid Kawawa akamwambia amejisikia kumtoa kwny nafasi ya Uwaziri Mkuu na Makamu wa pili wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania japo hana kosa lolote akamtaka amsaidie kumshauri nahi anafaa kuchukua nafasi yake

Mzee Kawawa akapendekeza nafasi ile apewe Hayati Edward Sokoine na Nyerere akaridhia

Hata January Makamba alipoondolewa Wizarani na JPM hatukuambiwa kosa
 
Hakuwa na mizizi CCM sisiemu ina wenyewe.

Wenyewe ndio hao panya buku

Baba panya,mama panya ukoo mzima panya
 
Taja 2 x technical problems za January.

Makamba ni JIZI kama mababa zake MAJIZI akina Kikwete and Mizoga family Company Limited.

Huyo ni MUHALIFU ndani ya ushirika wa MAGENGE YA UHALIFU yanayoongoza nchi hii.

Adhabu pekee anayostahili ni kuchapwa bakora za makalio na kufungiwa jiwe shingoni kisha kutupwa katikati ya MTO NILE akapambane na CROCODILES.
 
Back
Top Bottom