Onesha kosa moja la Kafulila nami nioneshe makosa 10 ya January Makamba

Onesha kosa moja la Kafulila nami nioneshe makosa 10 ya January Makamba

Kwahiyo Chalamila amefanya zuri lipi mpaka aliyemtumbua awali kumrudisha?. Hizi tabia za kufikiri kutolewa nafasi uliyopo ni kosa mnazitoa wapi?.
 
kuondolewa kwny uongozi wa kisiasa sio lazima uwe na kosa

Hayati Baba wa Taifa anasema mwaka 1983 alimuita aliekuwa Waziri Mkuu wake Ndugu Rashid Kawawa akamwambia amejisikia kumtoa kwny nafasi ya Uwaziri Mkuu na Makamu wa pili wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania japo hana kosa lolote akamtaka amsaidie kumshauri nahi anafaa kuchukua nafasi yake

Mzee Kawawa akapendekeza nafasi ile apewe Hayati Edward Sokoine na Nyerere akaridhia

Hata January Makamba alipoondolewa Wizarani na JPM hatukuambiwa kosa
Wakuu wa mikoa na wilaya hawana tofauti na magavana wa kikokoloni,
Vyeo anbavyo Rais akijiskia anaweza kukuteua na kukutengua muda wowote kwa sababu anazoona yeye.
Inaweza kuwa hata nguo unazovaa hazimpendezi anakutimua,
 
Makamba ni JIZI kama mababa zake MAJIZI akina Kikwete and Mizoga family Company Limited.

Huyo ni MUHALIFU ndani ya ushirika wa MAGENGE YA UHALIFU yanayoongoza nchi hii.

Adhabu pekee anayostahili ni kuchapwa bakora za makalio na kufungiwa jiwe shingoni kisha kutupwa katikati ya MTO NILE akapambane na CROCODILES.

kila mtu ni mwizi katika dunia hii, Muumba ndiye pekee anajua kiwango cha wizi kwa kila mtu.

Hata ukiiba Tsh50 nawe ni mwizi tu, ukiiba 1000 nawe ni mwizi tu ni vile hujapata nafasi aka umezidiwa na maarifa tu.

Magenge yakiharifu ndio yanatawala dunia, yanatofautiana malengo na vipaumbele tu. Na ili ulinde watu wako na maslahi ya watu wako duniani hapa lazima nawewe ujue namna ya kupambana na hayo magenge kihalifu.
 
Huyo ameambiwa akae ale kwanza akizovuna ili wenzao nao wale.

Atarudi tena kwa nyazifa nyingine. Si unaona Chalamila? Alipopigwa chini bavicha wakaanza kubinua viuno eti sukuma gang inakomeshwa, wakasahau kwamba ccm wana chain yao ya kula kwa zamu
 
Hawatakaa waelewe wenye vichwa vigumu
... Kafulila hana kosa lolote. Mnapoambiwa kikatiba madaraka ya mamlaka za uteuzi ni makubwa mno muwe basi mnaelewa. Tatizo ukiwa kwenye uteuzi huwezi kuyaona hadi "yakufike". Nafasi kama hizi zilitakiwa ziwe za kuomba badala ya hisani ya mtu! Hisani ya mtu wengine wataonekana saa ngapi?
 
Wabongo ni wepesi wa kusahau Sana wengi wanafikiri kafulila amepigwa chini huyu jamaa ameandaliwa cheo kingine kikubwa serikalini
 
Kuna mambo Kwa sasa ukitumia akili kufikiri, utajiridhisha kwamba,

Kwa sasa utawalala huu hauhitaji watu wenye weledi katika kusukuma gurudumu la maendeleo ya nchi hii, isipokuwa ni kubebana tuu ili mtoto wa aliyekuwa Fulani serikalini ale

Na wakati mwingine ukitizama saaana Kwa jicho la mwewe, unaweza kudhani na ama kubaini kuwa, Ukiwa mtu ambaye umepewa nafasi ya juu na wananchi wakakuamini, na wewe kama kiongozi, ukaanza kukemea mambo ambayo kwako wewe uliyaona kama yana mwelekeo Fulani hivi wa dini tulizoletetwa na wazungu pamoja na waarabu kwamba, kulikuwepo na kamwelekeo hako ka kupendelea watu wa dini Fulani na wa dini Fulani kuachwa, kama kiongozi ukaingia kukemea jambo hill, ni jambo la maana sana, lakini haitoshi tu kukemea, Bali pia ni kusimamia Kwa nguvu zote siku zote bila kuonesha tena upendeleo wa ama kimakosa, ama Kwa makusudi!

Naomba kuoneshwa makosa ya Kafulila na Mimi nitawaonyesha makosa ya January makamba
Mtajuana wenyewe, Nan alimtuma aende CCM?

Tupambanie KATIBA mpya baas.
 
Kuna mambo Kwa sasa ukitumia akili kufikiri, utajiridhisha kwamba,

Kwa sasa utawalala huu hauhitaji watu wenye weledi katika kusukuma gurudumu la maendeleo ya nchi hii, isipokuwa ni kubebana tuu ili mtoto wa aliyekuwa Fulani serikalini ale

Na wakati mwingine ukitizama saaana Kwa jicho la mwewe, unaweza kudhani na ama kubaini kuwa, Ukiwa mtu ambaye umepewa nafasi ya juu na wananchi wakakuamini, na wewe kama kiongozi, ukaanza kukemea mambo ambayo kwako wewe uliyaona kama yana mwelekeo Fulani hivi wa dini tulizoletetwa na wazungu pamoja na waarabu kwamba, kulikuwepo na kamwelekeo hako ka kupendelea watu wa dini Fulani na wa dini Fulani kuachwa, kama kiongozi ukaingia kukemea jambo hill, ni jambo la maana sana, lakini haitoshi tu kukemea, Bali pia ni kusimamia Kwa nguvu zote siku zote bila kuonesha tena upendeleo wa ama kimakosa, ama Kwa makusudi!

Naomba kuoneshwa makosa ya Kafulila na Mimi nitawaonyesha makosa ya January makamba
Sukuma Gang kubalini matokeo wacheni kulialia kama mataahira

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Kuna mambo Kwa sasa ukitumia akili kufikiri, utajiridhisha kwamba,

Kwa sasa utawalala huu hauhitaji watu wenye weledi katika kusukuma gurudumu la maendeleo ya nchi hii, isipokuwa ni kubebana tuu ili mtoto wa aliyekuwa Fulani serikalini ale

Na wakati mwingine ukitizama saaana Kwa jicho la mwewe, unaweza kudhani na ama kubaini kuwa, Ukiwa mtu ambaye umepewa nafasi ya juu na wananchi wakakuamini, na wewe kama kiongozi, ukaanza kukemea mambo ambayo kwako wewe uliyaona kama yana mwelekeo Fulani hivi wa dini tulizoletetwa na wazungu pamoja na waarabu kwamba, kulikuwepo na kamwelekeo hako ka kupendelea watu wa dini Fulani na wa dini Fulani kuachwa, kama kiongozi ukaingia kukemea jambo hill, ni jambo la maana sana, lakini haitoshi tu kukemea, Bali pia ni kusimamia Kwa nguvu zote siku zote bila kuonesha tena upendeleo wa ama kimakosa, ama Kwa makusudi!

Naomba kuoneshwa makosa ya Kafulila na Mimi nitawaonyesha makosa ya January makamba
watu humu wengi wana roho mbaya tu.kafulila yuko vzr tu mm sioni mapungufu yake.
 
Kuna mambo Kwa sasa ukitumia akili kufikiri, utajiridhisha kwamba,

Kwa sasa utawalala huu hauhitaji watu wenye weledi katika kusukuma gurudumu la maendeleo ya nchi hii, isipokuwa ni kubebana tuu ili mtoto wa aliyekuwa Fulani serikalini ale

Na wakati mwingine ukitizama saaana Kwa jicho la mwewe, unaweza kudhani na ama kubaini kuwa, Ukiwa mtu ambaye umepewa nafasi ya juu na wananchi wakakuamini, na wewe kama kiongozi, ukaanza kukemea mambo ambayo kwako wewe uliyaona kama yana mwelekeo Fulani hivi wa dini tulizoletetwa na wazungu pamoja na waarabu kwamba, kulikuwepo na kamwelekeo hako ka kupendelea watu wa dini Fulani na wa dini Fulani kuachwa, kama kiongozi ukaingia kukemea jambo hill, ni jambo la maana sana, lakini haitoshi tu kukemea, Bali pia ni kusimamia Kwa nguvu zote siku zote bila kuonesha tena upendeleo wa ama kimakosa, ama Kwa makusudi!

Naomba kuoneshwa makosa ya Kafulila na Mimi nitawaonyesha makosa ya January makamba
Tafuta kibarua ufanye, kumchukia January hakuwezi kuondoa njaa zako zilizokupanda kichwani dada yangu!
 
... Kafulila hana kosa lolote. Mnapoambiwa kikatiba madaraka ya mamlaka za uteuzi ni makubwa mno muwe basi mnaelewa. Tatizo ukiwa kwenye uteuzi huwezi kuyaona hadi "yakufike". Nafasi kama hizi zilitakiwa ziwe za kuomba badala ya hisani ya mtu! Hisani ya mtu wengine wataonekana saa ngapi?
Kabisaaa
Mpk yawafike ndo wanayaona
 
Uchapakazi wake umewakera walamba asali!ni kana kwamba alikuwa anawachongea KWA WANANCHI!!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA""!
 
Kuna mambo Kwa sasa ukitumia akili kufikiri, utajiridhisha kwamba,

Kwa sasa utawalala huu hauhitaji watu wenye weledi katika kusukuma gurudumu la maendeleo ya nchi hii, isipokuwa ni kubebana tu ili mtoto wa aliyekuwa Fulani serikalini ale.

Na wakati mwingine ukitizama saaana kwa jicho la mwewe unaweza kudhani na ama kubaini kuwa ukiwa mtu ambaye umepewa nafasi ya juu na wananchi wakakuamini na wewe kama kiongozi ukaanza kukemea mambo ambayo kwako wewe uliyaona kama yana mwelekeo fulani hivi wa dini tulizoletetwa na wazungu pamoja na waarabu kwamba kulikuwepo na kamwelekeo hako ka kupendelea watu wa dini Fulani na wa dini Fulani kuachwa.

Kama kiongozi ukaingia kukemea jambo hili ni jambo la maana sana, lakini haitoshi tu kukemea, bali pia ni kusimamia kwa nguvu zote siku zote bila kuonesha tena upendeleo wa ama kimakosa, ama kwa makusudi!

Naomba kuoneshwa makosa ya Kafulila na Mimi nitawaonyesha makosa ya January Makamba.
Hata tukikuonyesha itasaidia nini?
 
Kuna mambo Kwa sasa ukitumia akili kufikiri, utajiridhisha kwamba,

Kwa sasa utawalala huu hauhitaji watu wenye weledi katika kusukuma gurudumu la maendeleo ya nchi hii, isipokuwa ni kubebana tu ili mtoto wa aliyekuwa Fulani serikalini ale.

Na wakati mwingine ukitizama saaana kwa jicho la mwewe unaweza kudhani na ama kubaini kuwa ukiwa mtu ambaye umepewa nafasi ya juu na wananchi wakakuamini na wewe kama kiongozi ukaanza kukemea mambo ambayo kwako wewe uliyaona kama yana mwelekeo fulani hivi wa dini tulizoletetwa na wazungu pamoja na waarabu kwamba kulikuwepo na kamwelekeo hako ka kupendelea watu wa dini Fulani na wa dini Fulani kuachwa.

Kama kiongozi ukaingia kukemea jambo hili ni jambo la maana sana, lakini haitoshi tu kukemea, bali pia ni kusimamia kwa nguvu zote siku zote bila kuonesha tena upendeleo wa ama kimakosa, ama kwa makusudi!

Naomba kuoneshwa makosa ya Kafulila na Mimi nitawaonyesha makosa ya January Makamba.
Mkuu unamfananisha Tumbili na Mtakatifu mwenye heri,the knowledgeable and untouchable Electrical Engineer and Taifa Gas Distribution Manager Professor Kipara January Makamba 🤣
 
Back
Top Bottom