Onesha kosa moja la Kafulila nami nioneshe makosa 10 ya January Makamba

Kwahiyo Chalamila amefanya zuri lipi mpaka aliyemtumbua awali kumrudisha?. Hizi tabia za kufikiri kutolewa nafasi uliyopo ni kosa mnazitoa wapi?.
 
Wakuu wa mikoa na wilaya hawana tofauti na magavana wa kikokoloni,
Vyeo anbavyo Rais akijiskia anaweza kukuteua na kukutengua muda wowote kwa sababu anazoona yeye.
Inaweza kuwa hata nguo unazovaa hazimpendezi anakutimua,
 

kila mtu ni mwizi katika dunia hii, Muumba ndiye pekee anajua kiwango cha wizi kwa kila mtu.

Hata ukiiba Tsh50 nawe ni mwizi tu, ukiiba 1000 nawe ni mwizi tu ni vile hujapata nafasi aka umezidiwa na maarifa tu.

Magenge yakiharifu ndio yanatawala dunia, yanatofautiana malengo na vipaumbele tu. Na ili ulinde watu wako na maslahi ya watu wako duniani hapa lazima nawewe ujue namna ya kupambana na hayo magenge kihalifu.
 
Huyo ameambiwa akae ale kwanza akizovuna ili wenzao nao wale.

Atarudi tena kwa nyazifa nyingine. Si unaona Chalamila? Alipopigwa chini bavicha wakaanza kubinua viuno eti sukuma gang inakomeshwa, wakasahau kwamba ccm wana chain yao ya kula kwa zamu
 
Hawatakaa waelewe wenye vichwa vigumu
 
Wabongo ni wepesi wa kusahau Sana wengi wanafikiri kafulila amepigwa chini huyu jamaa ameandaliwa cheo kingine kikubwa serikalini
 
Mtajuana wenyewe, Nan alimtuma aende CCM?

Tupambanie KATIBA mpya baas.
 
Sukuma Gang kubalini matokeo wacheni kulialia kama mataahira

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
watu humu wengi wana roho mbaya tu.kafulila yuko vzr tu mm sioni mapungufu yake.
 
Tafuta kibarua ufanye, kumchukia January hakuwezi kuondoa njaa zako zilizokupanda kichwani dada yangu!
 
Kabisaaa
Mpk yawafike ndo wanayaona
 
Uchapakazi wake umewakera walamba asali!ni kana kwamba alikuwa anawachongea KWA WANANCHI!!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA""!
 
Hata tukikuonyesha itasaidia nini?
 
Mkuu unamfananisha Tumbili na Mtakatifu mwenye heri,the knowledgeable and untouchable Electrical Engineer and Taifa Gas Distribution Manager Professor Kipara January Makamba 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…