Kwaiyo unarasimisha uwizi wako sio. We pu.mbu kwelikila mtu ni mwizi katika dunia hii, Muumba ndiye pekee anajua kiwango cha wizi kwa kila mtu.
Hata ukiiba Tsh50 nawe ni mwizi tu, ukiiba 1000 nawe ni mwizi tu ni vile hujapata nafasi aka umezidiwa na maarifa tu.
Magenge yakiharifu ndio yanatawala dunia, yanatofautiana malengo na vipaumbele tu. Na ili ulinde watu wako na maslahi ya watu wako duniani hapa lazima nawewe ujue namna ya kupambana na hayo magenge kihalifu.
Maropes atakua nakubendishaTafuta kibarua ufanye, kumchukia January hakuwezi kuondoa njaa zako zilizokupanda kichwani dada yangu!
Kwaiyo unarasimisha uwizi wako sio. We pu.mbu kweli
Anaweza chukua nafasi ya prof.Kihyarara aliyekuwa Katibu Mkuu Viwanda na Biashara..Huwezijua pengine anataka kupewa nafasi kubwa zaidi.
Good pointsAnaweza chukua nafasi ya prof.Kihyarara aliyekuwa Katibu Mkuu Viwanda na Biashara..
Kafulira anaweza na ile itamfaa Sana maana anajua siasa na uchumi Kwa pamoja na isitoshe amewahi kuwa Katibu Tawala yaani RAS..
Kazi za RAS na Katibu Mkuu wa Wizara zinafanana kwa sehemu kubwa.
Ukuu wa mkoa siyo nafasi ya kudumuKuna mambo Kwa sasa ukitumia akili kufikiri, utajiridhisha kwamba,
Kwa sasa utawalala huu hauhitaji watu wenye weledi katika kusukuma gurudumu la maendeleo ya nchi hii, isipokuwa ni kubebana tu ili mtoto wa aliyekuwa Fulani serikalini ale.
Na wakati mwingine ukitizama saaana kwa jicho la mwewe unaweza kudhani na ama kubaini kuwa ukiwa mtu ambaye umepewa nafasi ya juu na wananchi wakakuamini na wewe kama kiongozi ukaanza kukemea mambo ambayo kwako wewe uliyaona kama yana mwelekeo fulani hivi wa dini tulizoletetwa na wazungu pamoja na waarabu kwamba kulikuwepo na kamwelekeo hako ka kupendelea watu wa dini Fulani na wa dini Fulani kuachwa.
Kama kiongozi ukaingia kukemea jambo hili ni jambo la maana sana, lakini haitoshi tu kukemea, bali pia ni kusimamia kwa nguvu zote siku zote bila kuonesha tena upendeleo wa ama kimakosa, ama kwa makusudi!
Naomba kuoneshwa makosa ya Kafulila na Mimi nitawaonyesha makosa ya January Makamba.
Sasa rais kaona anaweza kufanya ka:i vyema na January sio kavulila inashangaza .tu unatoka huko unalazimisha rais afanye kazi nanani!!! Huu ujinga hauwaishi kwani kiongozi gani huwa hana mapungufu? Labda sio dunia hii... Rais kampumzisha mtu kama kunamtu anampenda sana ampe kazi nyumbani kwakeKuna mambo Kwa sasa ukitumia akili kufikiri, utajiridhisha kwamba,
Kwa sasa utawalala huu hauhitaji watu wenye weledi katika kusukuma gurudumu la maendeleo ya nchi hii, isipokuwa ni kubebana tu ili mtoto wa aliyekuwa Fulani serikalini ale.
Na wakati mwingine ukitizama saaana kwa jicho la mwewe unaweza kudhani na ama kubaini kuwa ukiwa mtu ambaye umepewa nafasi ya juu na wananchi wakakuamini na wewe kama kiongozi ukaanza kukemea mambo ambayo kwako wewe uliyaona kama yana mwelekeo fulani hivi wa dini tulizoletetwa na wazungu pamoja na waarabu kwamba kulikuwepo na kamwelekeo hako ka kupendelea watu wa dini Fulani na wa dini Fulani kuachwa.
Kama kiongozi ukaingia kukemea jambo hili ni jambo la maana sana, lakini haitoshi tu kukemea, bali pia ni kusimamia kwa nguvu zote siku zote bila kuonesha tena upendeleo wa ama kimakosa, ama kwa makusudi!
Naomba kuoneshwa makosa ya Kafulila na Mimi nitawaonyesha makosa ya January Makamba.
Unaona Sasa! Yaan njaa inakufanya huwe na matusi bibieMaropes atakua nakubendisha
Kazuia michomoko ndo kosa kubwa na kuwa jeuri kwa wana CCM wa SIMIYU,japo mie nilifurahia alivyopiga marufuku michomokoKuna mambo Kwa sasa ukitumia akili kufikiri, utajiridhisha kwamba,
Kwa sasa utawalala huu hauhitaji watu wenye weledi katika kusukuma gurudumu la maendeleo ya nchi hii, isipokuwa ni kubebana tu ili mtoto wa aliyekuwa Fulani serikalini ale.
Na wakati mwingine ukitizama saaana kwa jicho la mwewe unaweza kudhani na ama kubaini kuwa ukiwa mtu ambaye umepewa nafasi ya juu na wananchi wakakuamini na wewe kama kiongozi ukaanza kukemea mambo ambayo kwako wewe uliyaona kama yana mwelekeo fulani hivi wa dini tulizoletetwa na wazungu pamoja na waarabu kwamba kulikuwepo na kamwelekeo hako ka kupendelea watu wa dini Fulani na wa dini Fulani kuachwa.
Kama kiongozi ukaingia kukemea jambo hili ni jambo la maana sana, lakini haitoshi tu kukemea, bali pia ni kusimamia kwa nguvu zote siku zote bila kuonesha tena upendeleo wa ama kimakosa, ama kwa makusudi!
Naomba kuoneshwa makosa ya Kafulila na Mimi nitawaonyesha makosa ya January Makamba.
Kiongozi wa malaika ataenda kumpa cheo kingine kwani na yeye huko alipo anaendelea kupanga safu yake.Huwezijua pengine anataka kupewa nafasi kubwa zaidi.
Nadhani kawawa alikuwa na Moyo wa aina yakekuondolewa kwny uongozi wa kisiasa sio lazima uwe na kosa
Hayati Baba wa Taifa anasema mwaka 1983 alimuita aliekuwa Waziri Mkuu wake Ndugu Rashid Kawawa akamwambia amejisikia kumtoa kwny nafasi ya Uwaziri Mkuu na Makamu wa pili wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania japo hana kosa lolote akamtaka amsaidie kumshauri nahi anafaa kuchukua nafasi yake
Mzee Kawawa akapendekeza nafasi ile apewe Hayati Edward Sokoine na Nyerere akaridhia
Hata January Makamba alipoondolewa Wizarani na JPM hatukuambiwa kosa
Ng'ombe aliyekatwa mkia - unaukumbuka huu msemo wa JPM?Tumbili kaonewa Kwa kweli
kuondolewa kwny uongozi wa kisiasa sio lazima uwe na kosa
Hayati Baba wa Taifa anasema mwaka 1983 alimuita aliekuwa Waziri Mkuu wake Ndugu Rashid Kawawa akamwambia amejisikia kumtoa kwny nafasi ya Uwaziri Mkuu na Makamu wa pili wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania japo hana kosa lolote akamtaka amsaidie kumshauri nahi anafaa kuchukua nafasi yake
Mzee Kawawa akapendekeza nafasi ile apewe Hayati Edward Sokoine na Nyerere akaridhia
Hata January Makamba alipoondolewa Wizarani na JPM hatukuambiwa kosa