Onesha mapenzi yako wazi wazi kwa umpendaye

My brotha nailed it! This shit is real 100%
 
Wavuta mjani toka lini wakawa na principle kwenye mapenzi?? 🀣🀣🀣
Ww sema unatega nyavu hapa uvue papa na sangara
Oya, hivi unadhani kuna mtu anajua kuluv na kucare kama mimi..

Hapa mama watoto kaenda kwao kusalimia , siku ya 3 tu nimekopi wimbo wa akudo safari sio kifoo, nimemtumia zinga la barua πŸ˜‚
Nimetuma audio watsap wananiambia sijui kimeenda kimerudi nimetuma kwa maneno sasa.πŸ˜‚
 
Kwa mapenzi ya kibongo ni way better kuwa unpredictable and independent with your feelings over someone ili usimpe assurance ya 100% kuwa amekuweza. Ukifeli hapa unaanza kuwa bullied na narcissist behaviour ya unayemwita mpenzi.
 
You must have tied knots by now...Its too fragile kujiwekesha kwa mtu ambaye hamna mkataba wa aina yeyote for the sake ya mapenzi tu.
 
Binafsi niko kwenye state ambayo i take mapenzi non seriously sababu ya behaviour changes za binadamu. I reserve those feelings to myself ingawa tunaweza kuwa tupo kwenye serious relationship. Sitaki kujiskia like dead butteflies siku akitaka ku move on yeye aende tu. Haitachukua 24 hours i will be rocking on some other shit πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wanasema Ukiona mapenz hayakuumiz Tena ujue ushaanza kuwa ...... πŸ˜€
 
ishi nao kwa akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…