Onesha mapenzi yako wazi wazi kwa umpendaye

Onesha mapenzi yako wazi wazi kwa umpendaye

Ulweso πŸ’—πŸ’—πŸ’—πŸ’—πŸ’—πŸ’—πŸ’—πŸ’—πŸ’—πŸ’—πŸ’—πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜kuna gwara za kutosha Mrs
 
Unaandika mwenyewe halafu unakuja kujitekenya eti mdogo wakoπŸ˜‚πŸ€Έ
Ahahahahahah..Yan ephen_ mdogo angu sijui nikusaidiaje unielewe kuwa sisi ni watu tofaut wenye ukaribu sana. Falsasa zetu kwa namna flan zinaendana na ndio chanzo cha kujuana hapa jf. Huyu nataman nimtag dada ako mmoja mzuri mzuri hapa aje kukuthibitishia hilo sema tu tika niwe Ivan sijawah pemda ajue hii id ila yeye angekuambia we r two different persons.
 
Tatizo tunachukuliana poa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Sa kwanini mtu afungue ID mpya na ajisifie? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Si ndo hapo sasa, halafu anajijua kabisa kuwa hata Kiswahili chake humu ni cha kipekee sana kama lilivyo jina lake πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Shikamooni wote maana ninajua wote mmenizidi umri (hii sio hoja ya huu Uzi kwa hiyo ma anko na ma aunty msifanye kesi).

Mapenzi ni matamu Sana pale unapopendwa na unapompenda mtu wako kwa dhati bila mipaka.

Yani ni kwamba mjiachie mjipe nafasi ya kutosha kufurahia kila wakati ambao nyie wawili mmejipatia kwa ajili ya kila mmoja.

Kama bado mwenzi wako abakuwekea mipaka na kukuficha kama arv basi kuna namna.

Raha ya kupendana wote muwe huru sio mnapita mtaa flani mwenza wako anakuambia tangulia kwanza me ndo Nije. A see huu sio mpango kabisa.

Kama una mtu wako unampenda na mmeshibana iwe hapa JF au nje ya JF mtaje kwa majina yake au kwa I'd yake ya JF ili kuonesha kwamba mahaba yamejaa Hadi yanamwagika.

Kama unaye wa hapa jf alafu hata kumtaja huwezi jua iko namna. Naskia wa JF kwa kugonganisha magari ndo wenyewe. Kuna haja ya siku za usoni kuweka taa ili kuepusha magari kugongana hapa JF.

Haya vibabu na vibibi, wajomba na ma aunty mje...

Unique Flower 🌺🌻🌹🌷 njoo dadangu umlete shemeji na maua yake.
@cacuteeπŸ₯°
 
Ahahahahahah..Yan ephen_ mdogo angu sijui nikusaidiaje unielewe kuwa sisi ni watu tofaut wenye ukaribu sana. Falsasa zetu kwa namna flan zinaendana na ndio chanzo cha kujuana hapa jf. Huyu nataman nimtag dada ako mmoja mzuri mzuri hapa aje kukuthibitishia hilo sema tu tika niwe Ivan sijawah pemda ajue hii id ila yeye angekuambia we r two different persons.
Wewe mtag huyo dada unayemsifia mzuri mzuri🀸
 
Wa kulaumiwa ni hii hali ya hewa, hakuna zaidi. Hali ya hewa inaamsha waliolala, yaani labda uwe impotent...
 
Mwenyewe na topic zake zile zile za kila siku 🀣🀣🀣
Kashindwa kubadilisha hata muandiko atudanganye wenzie πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Ila Nahisi kuna watu wanamvuruga humu anaona abadilishe ID labda watamzingatia
 
Si ndo hapo sasa, halafu anajijua kabisa kuwa hata Kiswahili chake humu ni cha kipekee sana kama lilivyo jina lake πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Akipost uzi hata mtu akikusomea unajua mwandishi ni nani
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Akipost uzi hata mtu akikusomea unajua mwandishi ni nani
Anazingua sana, huu uzi ataukimbia tu subiri πŸ˜…
 
Back
Top Bottom