Onesha mapenzi yako wazi wazi kwa umpendaye

Ulweso πŸ’—πŸ’—πŸ’—πŸ’—πŸ’—πŸ’—πŸ’—πŸ’—πŸ’—πŸ’—πŸ’—πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜kuna gwara za kutosha Mrs
 
Unaandika mwenyewe halafu unakuja kujitekenya eti mdogo wakoπŸ˜‚πŸ€Έ
Ahahahahahah..Yan ephen_ mdogo angu sijui nikusaidiaje unielewe kuwa sisi ni watu tofaut wenye ukaribu sana. Falsasa zetu kwa namna flan zinaendana na ndio chanzo cha kujuana hapa jf. Huyu nataman nimtag dada ako mmoja mzuri mzuri hapa aje kukuthibitishia hilo sema tu tika niwe Ivan sijawah pemda ajue hii id ila yeye angekuambia we r two different persons.
 
Tatizo tunachukuliana poa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Sa kwanini mtu afungue ID mpya na ajisifie? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Si ndo hapo sasa, halafu anajijua kabisa kuwa hata Kiswahili chake humu ni cha kipekee sana kama lilivyo jina lake πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
@cacuteeπŸ₯°
 
Wewe mtag huyo dada unayemsifia mzuri mzuri🀸
 
Wa kulaumiwa ni hii hali ya hewa, hakuna zaidi. Hali ya hewa inaamsha waliolala, yaani labda uwe impotent...
 
Mwenyewe na topic zake zile zile za kila siku 🀣🀣🀣
Kashindwa kubadilisha hata muandiko atudanganye wenzie πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Ila Nahisi kuna watu wanamvuruga humu anaona abadilishe ID labda watamzingatia
 
Si ndo hapo sasa, halafu anajijua kabisa kuwa hata Kiswahili chake humu ni cha kipekee sana kama lilivyo jina lake πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Akipost uzi hata mtu akikusomea unajua mwandishi ni nani
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Akipost uzi hata mtu akikusomea unajua mwandishi ni nani
Anazingua sana, huu uzi ataukimbia tu subiri πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…