Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
vipi hali🤣🤣🤣🤣🙌🏿
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vipi hali🤣🤣🤣🤣🙌🏿
He itakuwa we kweli bandidu kazini, una wapeleka watu mpela mpela😁.Haki zinazobanwa na ndoa ni zipi hizo?🙄 Matatizo yaliyopo lawama zake ziende kwa wanandoa bana...sio ndoa.
PS.
Nakataa kuitwa dictator nje ya kazi. 😁
Mimi nipige tu ila ntabaki na msimamo ule uleOya tuta kutana kwenye vitasa aisee😁😂.
Sema ili noga, siku niliyo aga ikawa vita ya maji maji 😂🤣Mimi nipige tu ila ntabaki na msimamo ule ule
Aaah Thubutuuuuu mtuibie😁Watajeni hatuwanyakui 😂😂😜
Ana mbinu utasema Mondi anataka kuachia single bhana😁Alikua anajitishia kuolewa apate nafasi ya kupush ID mpya 😂😂😂
😂😂😂 Hatupendi ujinga!Kwamba mna Linda makoloni yenu 😁😂
Aisee ko Mna viziana tu 🤣 😂😂😂😂 Hatupendi ujinga!
Huyu ndio anatuvizia eti tuwataje,Ili apite nao shwaaaaa😅😅tumemstukiaAisee ko Mna viziana tu 🤣 😂
Aisee endeleeni kukaa kimasta, sema uni ni kichwa Cha Aina yake 🤣🤣Huyu ndio anatuvizia eti tuwataje,Ili apite nao shwaaaaa😅😅tumemstukia
Kichwa Nazi😁😁😁😁Aisee endeleeni kukaa kimasta, sema uni ni kichwa Cha Aina yake 🤣🤣
Poa...waendeleaje?vipi hali
Brotherhood 👊🏾👊🏾My brotha nailed it! This shit is real 100%
Lizzy wewe ni special case na jamaa yupo very lucky kuwa na wewe kwa sababu mmeweza kuendana. Ila huku mtaani issue ni tofauti,Trust me...I'm talking about the same thing you are talking about.
I get what you are saying 💯. Ni kweli kwamba kwa kiasi kikubwa watu huwa wanaabuse assurance wanayopewa na wenza wao kwasababu wanaamini huyo mwenza hana pakwenda/kimbilia. Kitu ambacho kinahalalisha watu kutopenda kujimwaga/kuonyesha hisia zao zote kiasi chakumfanya mwenzake ajue anapendwa kufa, and at that moment she/he means everything.
Personally, lack of assurance inafanya niwe very reserved. Siwezi kujitoa kwa asilimia zote 105 kwa mtu ambae nafasi yangu kwenye maisha yake sio ya kipekee, wala sioni sababu yakuwepo kwenye mahusiano hayo. Assurance inafanya nijue nafasi yangu, kujua nafasi yangu ndio kunapelekea niweze kuamua nijitoe kwa kiasi gani, na wakati gani nahitajika zaidi.
Kama sasa hivi...the amount of support I give my dude ili kumrahisishia maisha na kumpunguzia stress is above and beyond. Na hata sioni kama I'm giving too much kwababu assurance ipo, na ikibidi kujazia 90% kwenye 15% zangu nnapohitaji, na yeye anafanya bila hiyana.
WE kazanaDaah!!! Uliwahi kuzaa mwanangu!
Upo 30rd floor watoto wanne wifi nampa hongera zake😂
Daah!!! Uliwahi kuzaa mwanangu!
Upo 30rd floor watoto wanne wifi nampa hongera zake😂
Endeleen wadogo zanguBhana unanitishia maisha akati mimi naongea na Eyce 😔