Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawez kubaliNi haya kutokujibu chochote maana neno lolote linaweza kutumika dhidi yangu katika point ya makutanio "posta" ☺
Hahaa
Kuanzia sasa nimekubali na tofauti yenu nishaiona eyce ana nywele na bado kijanaHawez kubali
Nina hamu ya kitimoto na ndizi.. So, jipangeni tu maana kikao bila menyu ni sawa na emailHawez kubali
Kuanzia sasa nimekubali na tofauti yenu nishaiona eyce ana nywele na bado kijana
Ivan ni mzee ana kipara
Sitaki nimuudhi Ivan Stepanov kuanzia sasa nimeamini nyie ni tofauti
Ohooo bhasi usiwaze.. Kuna exchange ya mbuzi hapo huwa inafanyikaHicho kikao hamnitaki nishaona
Unataka kitimoto na ndizi wakati mimi situmii
Tulia tu, akikubali yote yamoNina hamu ya kitimoto na ndizi.. So, jipangeni tu maana kikao bila menyu ni sawa na email
How, umejuaje?Kuanzia sasa nimekubali na tofauti yenu nishaiona eyce ana nywele na bado kijana
Ivan ni mzee ana kipara
Tutakula pilau njegere na kachumbari usijali 😁Mimi situmii nyama😔
Id zenuHow, umejuaje?
Yeah! Pilau njegere ni tamu tutakula hilo😍Tutakula pilau njegere na kachumbari usijali 😁
🤣🤣🤣🤣 Acha kabisaaWapite nae kama kishada!Tena mleta Uzi Nina mashaka nae maana nyuzi za hivi anazipenda sana 😂
🤣🤣🤣🤣Kashindwa kubadilisha hata muandiko atudanganye wenzie 😂😂😂😂. Ila Nahisi kuna watu wanamvuruga humu anaona abadilishe ID labda watamzingatia
achiiachiiShikamooni wote maana ninajua wote mmenizidi umri (hii sio hoja ya huu Uzi kwa hiyo ma anko na ma aunty msifanye kesi).
Mapenzi ni matamu Sana pale unapopendwa na unapompenda mtu wako kwa dhati bila mipaka.
Yani ni kwamba mjiachie mjipe nafasi ya kutosha kufurahia kila wakati ambao nyie wawili mmejipatia kwa ajili ya kila mmoja.
Kama bado mwenzi wako abakuwekea mipaka na kukuficha kama arv basi kuna namna.
Raha ya kupendana wote muwe huru sio mnapita mtaa flani mwenza wako anakuambia tangulia kwanza me ndo Nije. A see huu sio mpango kabisa.
Kama una mtu wako unampenda na mmeshibana iwe hapa JF au nje ya JF mtaje kwa majina yake au kwa I'd yake ya JF ili kuonesha kwamba mahaba yamejaa Hadi yanamwagika.
Kama unaye wa hapa jf alafu hata kumtaja huwezi jua iko namna. Naskia wa JF kwa kugonganisha magari ndo wenyewe. Kuna haja ya siku za usoni kuweka taa ili kuepusha magari kugongana hapa JF.
Haya vibabu na vibibi, wajomba na ma aunty mje...
Unique Flower 🌺🌻🌹🌷 njoo dadangu umlete shemeji na maua yake.
Hapa ni kama unapiga gita kwenye maji maana hapa Bongo hakuna mapenzi japo tunajitahidi kuiga lakini wapi, kazi bure tu. Si wanawake wala wanaume wote ni mahenga wa kuruka njia na kusalitiana na bahati mbaya siku hizi wanawake ndiyo wanaongoza kusaliti mahusiano yao.Shikamooni wote maana ninajua wote mmenizidi umri (hii sio hoja ya huu Uzi kwa hiyo ma anko na ma aunty msifanye kesi).
Mapenzi ni matamu Sana pale unapopendwa na unapompenda mtu wako kwa dhati bila mipaka.
Yani ni kwamba mjiachie mjipe nafasi ya kutosha kufurahia kila wakati ambao nyie wawili mmejipatia kwa ajili ya kila mmoja.
Kama bado mwenzi wako abakuwekea mipaka na kukuficha kama arv basi kuna namna.
Raha ya kupendana wote muwe huru sio mnapita mtaa flani mwenza wako anakuambia tangulia kwanza me ndo Nije. A see huu sio mpango kabisa.
Kama una mtu wako unampenda na mmeshibana iwe hapa JF au nje ya JF mtaje kwa majina yake au kwa I'd yake ya JF ili kuonesha kwamba mahaba yamejaa Hadi yanamwagika.
Kama unaye wa hapa jf alafu hata kumtaja huwezi jua iko namna. Naskia wa JF kwa kugonganisha magari ndo wenyewe. Kuna haja ya siku za usoni kuweka taa ili kuepusha magari kugongana hapa JF.
Haya vibabu na vibibi, wajomba na ma aunty mje...
Unique Flower 🌺🌻🌹🌷 njoo dadangu umlete shemeji na maua yake.
Yah🥲🥲🤣🤣
Kwamba baba mzazi?
I hate you too, my fav enemy.I hate you, my favorite rival 🤒