Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
vipi haliπ€£π€£π€£π€£ππΏ
He itakuwa we kweli bandidu kazini, una wapeleka watu mpela mpelaπ.Haki zinazobanwa na ndoa ni zipi hizo?π Matatizo yaliyopo lawama zake ziende kwa wanandoa bana...sio ndoa.
PS.
Nakataa kuitwa dictator nje ya kazi. π
Mimi nipige tu ila ntabaki na msimamo ule uleOya tuta kutana kwenye vitasa aiseeππ.
Sema ili noga, siku niliyo aga ikawa vita ya maji maji ππ€£Mimi nipige tu ila ntabaki na msimamo ule ule
Aaah Thubutuuuuu mtuibieπWatajeni hatuwanyakui πππ
Ana mbinu utasema Mondi anataka kuachia single bhanaπAlikua anajitishia kuolewa apate nafasi ya kupush ID mpya πππ
πππ Hatupendi ujinga!Kwamba mna Linda makoloni yenu ππ
Aisee ko Mna viziana tu π€£ ππππ Hatupendi ujinga!
Huyu ndio anatuvizia eti tuwataje,Ili apite nao shwaaaaaπ π tumemstukiaAisee ko Mna viziana tu π€£ π
Aisee endeleeni kukaa kimasta, sema uni ni kichwa Cha Aina yake π€£π€£Huyu ndio anatuvizia eti tuwataje,Ili apite nao shwaaaaaπ π tumemstukia
Kichwa NaziππππAisee endeleeni kukaa kimasta, sema uni ni kichwa Cha Aina yake π€£π€£
Poa...waendeleaje?vipi hali
Brotherhood ππΎππΎMy brotha nailed it! This shit is real 100%
Lizzy wewe ni special case na jamaa yupo very lucky kuwa na wewe kwa sababu mmeweza kuendana. Ila huku mtaani issue ni tofauti,Trust me...I'm talking about the same thing you are talking about.
I get what you are saying π―. Ni kweli kwamba kwa kiasi kikubwa watu huwa wanaabuse assurance wanayopewa na wenza wao kwasababu wanaamini huyo mwenza hana pakwenda/kimbilia. Kitu ambacho kinahalalisha watu kutopenda kujimwaga/kuonyesha hisia zao zote kiasi chakumfanya mwenzake ajue anapendwa kufa, and at that moment she/he means everything.
Personally, lack of assurance inafanya niwe very reserved. Siwezi kujitoa kwa asilimia zote 105 kwa mtu ambae nafasi yangu kwenye maisha yake sio ya kipekee, wala sioni sababu yakuwepo kwenye mahusiano hayo. Assurance inafanya nijue nafasi yangu, kujua nafasi yangu ndio kunapelekea niweze kuamua nijitoe kwa kiasi gani, na wakati gani nahitajika zaidi.
Kama sasa hivi...the amount of support I give my dude ili kumrahisishia maisha na kumpunguzia stress is above and beyond. Na hata sioni kama I'm giving too much kwababu assurance ipo, na ikibidi kujazia 90% kwenye 15% zangu nnapohitaji, na yeye anafanya bila hiyana.
WE kazanaDaah!!! Uliwahi kuzaa mwanangu!
Upo 30rd floor watoto wanne wifi nampa hongera zakeπ
Daah!!! Uliwahi kuzaa mwanangu!
Upo 30rd floor watoto wanne wifi nampa hongera zakeπ
Endeleen wadogo zanguBhana unanitishia maisha akati mimi naongea na Eyce π