Onesha mapenzi yako wazi wazi kwa umpendaye

Kashindwa kubadilisha hata muandiko atudanganye wenzie πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Ila Nahisi kuna watu wanamvuruga humu anaona abadilishe ID labda watamzingatia
🀣🀣🀣🀣
 
@ achiiachii
achiiachii
 
Hapa ni kama unapiga gita kwenye maji maana hapa Bongo hakuna mapenzi japo tunajitahidi kuiga lakini wapi, kazi bure tu. Si wanawake wala wanaume wote ni mahenga wa kuruka njia na kusalitiana na bahati mbaya siku hizi wanawake ndiyo wanaongoza kusaliti mahusiano yao.
 
Na mvua hizi unateseka ukiwa wapi?
Mabibi wanateseka jamani. Hivi inakuwaje mtu analazimisha kitu ambacho hakipo Hadi mishipa ya shingo imemkomaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Bakini na ujinga wenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…