makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Ngoja kuna wajuba huku wanasubiri wadada kama nyinyi.. mie nafasi ishajaa, moyo wa kupenda mara mbili mbili sina.Naomba unipende Mimi
😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja kuna wajuba huku wanasubiri wadada kama nyinyi.. mie nafasi ishajaa, moyo wa kupenda mara mbili mbili sina.Naomba unipende Mimi
Binadamu yoyote ukishampa assurance kuwa huwezi kuishi bila yeye. Mvuto juu yako huwa unaporomoka na unaonekana boring na unatabirika. Kwa hiyo hatoweka efforts zozote juu yako hadi pale atakapokupoteza na kuona gap unaloliacha kwenye maisha yake. Huwa ipo hivyoMimi sioneshi waziwazi, na principle yangu ni hiyo, yaani hata nipende vipi, mwanamke wangu hawezi jua kiasi nimpendacho haswa, maana sieleweki eleweki, muda wa kujali naonesha kujali kuliko maelezo, kucare nina care kuliko babycare😂, muda wa kubembeleza kuliko MARLAW, kuna muda kama KALAPINA, yaani ye hajui yuko upande upi, anajihisi anapendwa lakini anahisi pia anaweza kuachwa muda wowote na sipungukiwi kitu.
Na bila soft life nimeishaaa 😁Love for money
Naipenda hii pia
Maisha yanakuwa softy ukiwa nayo
labda anaeza nsaidia😂😂,,yan njemba hii uku naiambia nna msiba mwenzie yenyewe haijali inataka shoo😂😂 ngoj ntafte mwingine🤣🤣🤣🤣🙌🏿
Ni kweli unasemaje huwezi kuishi bila mtu.Binadamu yoyote ukishampa assurance kuwa huwezi kuishi bila yeye. Mvuto juu yako huwa unaporomoka na unaonekana boring na unatabirika. Kwa hiyo hatoweka efforts zozote juu yako hadi pale atakapokupoteza na kuona gap unaloliacha kwenye maisha yake. Huwa ipo hivyo
So ulivyo ndivyo inatakiwa mtu awe especially kwa mwanaume ili kulinda manhood yake kwenye macho ya mwanamke 📌
ebu toka nawewe sasa,,unawezaje yan ukitoka apo unarud kulia na wafiwa wenzio kam kawaida!?😁Sasa si anakupunguzia machungu ya msiba jaman. Mpe tu
Naamini bado upo level ya sekondari ndiyo maana umedata na huyo mchizi wako ambaye hana majukumu yoyote zaidi ya kupewa matumizi na wazazi then anakupasishia japo buku mbili.Shikamooni wote maana ninajua wote mmenizidi umri (hii sio hoja ya huu Uzi kwa hiyo ma anko na ma aunty msifanye kesi).
Mapenzi ni matamu Sana pale unapopendwa na unapompenda mtu wako kwa dhati bila mipaka.
Yani ni kwamba mjiachie mjipe nafasi ya kutosha kufurahia kila wakati ambao nyie wawili mmejipatia kwa ajili ya kila mmoja.
Kama bado mwenzi wako abakuwekea mipaka na kukuficha kama arv basi kuna namna.
Raha ya kupendana wote muwe huru sio mnapita mtaa flani mwenza wako anakuambia tangulia kwanza me ndo Nije. A see huu sio mpango kabisa.
Kama una mtu wako unampenda na mmeshibana iwe hapa JF au nje ya JF mtaje kwa majina yake au kwa I'd yake ya JF ili kuonesha kwamba mahaba yamejaa Hadi yanamwagika.
Kama unaye wa hapa jf alafu hata kumtaja huwezi jua iko namna. Naskia wa JF kwa kugonganisha magari ndo wenyewe. Kuna haja ya siku za usoni kuweka taa ili kuepusha magari kugongana hapa JF.
Haya vibabu na vibibi, wajomba na ma aunty mje...
Unique Flower 🌺🌻🌹🌷 njoo dadangu umlete shemeji na maua yake.
Nawewe umekubali??Mimi wangu hataki nimtaje anasema italeta shida eti😔😔😔
Heshima yako bro 👏Binadamu yoyote ukishampa assurance kuwa huwezi kuishi bila yeye. Mvuto juu yako huwa unaporomoka na unaonekana boring na unatabirika. Kwa hiyo hatoweka efforts zozote juu yako hadi pale atakapokupoteza na kuona gap unaloliacha kwenye maisha yake. Huwa ipo hivyo
So ulivyo ndivyo inatakiwa mtu awe especially kwa mwanaume ili kulinda manhood yake kwenye macho ya mwanamke 📌
Ndio nawaza hapa we mjinga sijui kwann unapenda kuwa na ma id mengi mengiWewe yani
Badala uwaze mada unaniwaza mm nani. Mimi ni cacutee
Sasa nitafanyaje na ameshasema itamletea shidaN
Nawewe umekubali??
Hiyo inaitwa PENZI MIXTURE, yaani mapenzi yote duniani unapata hapa, kuchi kuchi hotae unaoata hapa, penzi la Brazil lipo, penzi la kiniga(amerika) lipo mpaka la wasambaa..Kibabe au sio?
Mdogo angu mbona kama umeanza kuelewa busara zangu, au umeshaniibia manual guide yangu? 😂Binadamu yoyote ukishampa assurance kuwa huwezi kuishi bila yeye. Mvuto juu yako huwa unaporomoka na unaonekana boring na unatabirika. Kwa hiyo hatoweka efforts zozote juu yako hadi pale atakapokupoteza na kuona gap unaloliacha kwenye maisha yake. Huwa ipo hivyo
So ulivyo ndivyo inatakiwa mtu awe especially kwa mwanaume ili kulinda manhood yake kwenye macho ya mwanamke 📌