Onesha mapenzi yako wazi wazi kwa umpendaye

kwa majibu ya andiko lako kwako ili uhisi unapendwa ni lazima mgandane kama kumbikumbi na ukipata mtu ambaye hamuwez kuganda kama kumbikumbi maana ake hupendwi safari yako itakua ndefu sana
 
Babu jamani si una simu lakini?
Mtumie Bibi meseji yenye hii emoj ❀
Nitakuelekeza taratibu Hadi utahamia digital
Napata shida sana kutumia simu janja kutokana na Uzee wangu 😜

Hata hivyo nipo tayari ukinirudisha darasani kunifundisha πŸ€—
 
Wavuta mjani toka lini wakawa na principle kwenye mapenzi?? 🀣🀣🀣
Ww sema unatega nyavu hapa uvue papa na sangara
 
Onyesha upendo ikiwa bado yupo hai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…