Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Ameshajitaja huelewi?njoo na ID yko ya zamani yaani 4 april unamjua uniki flawa? Mmmh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameshajitaja huelewi?njoo na ID yko ya zamani yaani 4 april unamjua uniki flawa? Mmmh
Hahaa... Nyie hamna maana hata kidogo, mkinogewa tu, mkianza kukaribia na mlima kilimanjaro huwa mnataka tuchochee UKUNI tupeleke moto wa kutosha..Babu nimekuelewa
Hukufi babu yangu
Nitakupeleka taratibu najua hali yako
🤣🤣🤣🤣 haki vile sitakukimbiza kilimani babuHahaa... Nyie hamna maana hata kidogo, mkinogewa tu, mkianza kukaribia na mlima kilimanjaro huwa mnataka tuchochee UKUNI tupeleke moto wa kutosha..
"Babu hapo hapo, tia yote, ongeza spidi, ahsante"
Hatimae kikongwe mie naangukia kifuani na kukoroma, 😂
SITAKI
Babu jamani si una simu lakini?Hii thread ni maalumu Kwa Vijana
Sisi Wazee tulisha maliza kupendana na Bibi zenu tangu Mwaka 47 🤗
Miaka ambapo hakukuwa na smartphone kusema utampigia simu ama kumtumia ujumbe mrefu wa maandishi Instagram kumwambia eti una mpenda ili kuwadorishia watu 😜
Ahahahah kwel siku hazigan, third floor mara hii???Third floor mchezo bro. Nimeanza kuiva role model😁
Heb tokaa hapaaKwaheri
MWananguuuuu. Mwandiko wako naujuaNinamfwatilia Sana before kujisajili.
Watu wanasoma kimya mbona
Usikariri life mzee baba
Trust me...I'm talking about the same thing you are talking about.Ushawahi kusikia zile kauli za
Huyu kwangu hapindui
Aniache Mimi ataenda wapi
Au ushawahi kuona situations mtu yupo free kumuoneshea dharau mpenzi wake consistently, na muda mwingine hadi kucheat wazi wazi bila hofu
Hiyo yote inasababishwa na "assurance"
Na tunapoongelea assurance haimaanishi kutokuwa presence au kuonesha care and love Ila kutomuonesha mtu OBSESSION au STRONG ATTACHMENT. Kwa sababu hivyo ni vitu tofauti na upendo japo kwa mtu anaevifanya huona kama ni upendo Ila kiuhalisia hata anaeupokea huuona kama abnormality flani ambayo inampa uhalali wa kumtesa mwenzie