Onesha mapenzi yako wazi wazi kwa umpendaye

Onesha mapenzi yako wazi wazi kwa umpendaye

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dada hatuliii kabisaa yeyee, heka heka mwanzo mwishoo.
We coca hizi speculation mnaonaje mkazifanyie pembeni maana dah
Sio vyedi bwana ... Kwa nia njema tu.
Kama amewaibia wa babu wenu msameheni. Mtakuwa mnavamia kila I'd mpya sasa.
 
Yupo mmoja namuelewaga sema Nawaza kumfungukia,anaway ngoja niendelee Kula kwa macho!
 
We coca hizi speculation mnaonaje mkazifanyie pembeni maana dah
Sio vyedi bwana ... Kwa nia njema tu.
Kama amewaibia wa babu wenu msameheni. Mtakuwa mnavamia kila I'd mpya sasa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie sina hata wa kuibiwa uduguu!!!
Relaaaaaaxxxx bhana
 
Back
Top Bottom