Ongezeka la wanawake wasiopenda kuoga maji baridi inatisha hasa hawa GenZ

Ongezeka la wanawake wasiopenda kuoga maji baridi inatisha hasa hawa GenZ

Pisi safi sana nayo ni kero kuna kale ka harufu ka asili kanapotea , ndio jibu la kwanini beki tatu anaweza kumpindua mke wa ndoa.

😂😂Japo neno la harufu ndo kiswahili ila haraka inaweza kusound vibaya😂😂. Anyway hata kimvuto weka neno pleasant aroma ka asili. 😂😂😂 Sijui nisemeje🤣🤣🤣
 
Shida nini sasa tusipooga maji baridi?
Tunaoga maji vuguvugu, kipochi maji baridi. Hamna tuzo kwenye kuteseka asbh kuoga maji baridi
 
Wana mafuta mengi mwilini! Sasa fikiria mafuta yakikutana na baridi yanakuwaje?
 
Naomba niseme tu bila kificha hawa wanawake hasa mabinti ama wadada wa kizazi cha GenZ baadhi yao na idadi inaongezeka kwa kasi sana ni wavivu wa kuoga hasa maji baridi na wakithubutu wananawa chini tu kwenye samosa.

Inaogopesha sana hiki kizazi na pia hawa GenZ wengi ni wabovu wa vifua wengi hawataki AC na Feni ni kizazi cha ajabu sana.

Hizi nyakati za ajabu sana mwanamke pisi kali kwa kuumbwa ila mchafu hapendi kuoga ni aibu sana.

Yangu ni hayo nina uzoefu sijakurupuka.

Chief Wadiz
Kwani maji baridi kuoga ni sunna? Wewe upo moshi au arusha unaweza kuoga maji baridi msimu kama huu
 
Pisi safi sana nayo ni kero kuna kale ka harufu ka asili kanapotea , ndio jibu la kwanini beki tatu anaweza kumpindua mke wa ndoa.
Kila siku nazidi kujiaminisha kuwa wewe ni Pro!!!🤣
 
Hao ndio ukiwapeleka gheto wakat wa mechi inatakiwa madirisha yabaki wazi, maana unakuta kama unazibua chemba🤒
 
😂😂Japo neno la harufu ndo kiswahili ila haraka inaweza kusound vibaya😂😂. Anyway hata kimvuto weka neno pleasant aroma ka asili. 😂😂😂 Sijui nisemeje🤣🤣🤣
Uzungu mwingi nao unapoteza ladha 😁😁😁😁
 
Kaharufu ka asili mkuu🤣🤣🤣 hutaki usafi uliopitiliza, ukipiga kidogo unasikia kale kaharufu ka kuongeza genye🤣🤣
😄😄Kabisa mkuu, unakuta mtu analalamikia mume wake ,umekosa nini kwangu mpka uende kwa mchafu bila kujua yule ana kaharufu ka kike kike kuliko yeye😁😁😁
 
😄😄Kabisa mkuu, unakuta mtu analalamikia mume wake ,umekosa nini kwangu mpka uende kwa mchafu bila kujua yule ana kaharufu ka kike kike kuliko yeye😁😁😁
Dogo umekuwa legend !🤣
 
Back
Top Bottom