Pisi safi sana nayo ni kero kuna kale ka harufu ka asili kanapotea , ndio jibu la kwanini beki tatu anaweza kumpindua mke wa ndoa.
Kwani maji baridi kuoga ni sunna? Wewe upo moshi au arusha unaweza kuoga maji baridi msimu kama huuNaomba niseme tu bila kificha hawa wanawake hasa mabinti ama wadada wa kizazi cha GenZ baadhi yao na idadi inaongezeka kwa kasi sana ni wavivu wa kuoga hasa maji baridi na wakithubutu wananawa chini tu kwenye samosa.
Inaogopesha sana hiki kizazi na pia hawa GenZ wengi ni wabovu wa vifua wengi hawataki AC na Feni ni kizazi cha ajabu sana.
Hizi nyakati za ajabu sana mwanamke pisi kali kwa kuumbwa ila mchafu hapendi kuoga ni aibu sana.
Yangu ni hayo nina uzoefu sijakurupuka.
Chief Wadiz
Kila siku nazidi kujiaminisha kuwa wewe ni Pro!!!๐คฃPisi safi sana nayo ni kero kuna kale ka harufu ka asili kanapotea , ndio jibu la kwanini beki tatu anaweza kumpindua mke wa ndoa.
Hahahahha kwani bro?๐๐๐Kila siku nazidi kujiaminisha kuwa wewe ni Pro!!!๐คฃ
Uzungu mwingi nao unapoteza ladha ๐๐๐๐๐๐Japo neno la harufu ndo kiswahili ila haraka inaweza kusound vibaya๐๐. Anyway hata kimvuto weka neno pleasant aroma ka asili. ๐๐๐ Sijui nisemeje๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Kaharufu ka asili mkuu๐คฃ๐คฃ๐คฃ hutaki usafi uliopitiliza, ukipiga kidogo unasikia kale kaharufu ka kuongeza genye๐คฃ๐คฃHahahahha kwani bro?๐๐๐
๐๐Kabisa mkuu, unakuta mtu analalamikia mume wake ,umekosa nini kwangu mpka uende kwa mchafu bila kujua yule ana kaharufu ka kike kike kuliko yeye๐๐๐Kaharufu ka asili mkuu๐คฃ๐คฃ๐คฃ hutaki usafi uliopitiliza, ukipiga kidogo unasikia kale kaharufu ka kuongeza genye๐คฃ๐คฃ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hao ndio ukiwapeleka gheto wakat wa mechi inatakiwa madirisha yabaki wazi, maana unakuta kama unazibua chemba[emoji855]
Hao ndio ukiwapeleka gheto wakat wa mechi inatakiwa madirisha yabaki wazi, maana unakuta kama unazibua chemba๐ค
Dogo umekuwa legend !๐คฃ๐๐Kabisa mkuu, unakuta mtu analalamikia mume wake ,umekosa nini kwangu mpka uende kwa mchafu bila kujua yule ana kaharufu ka kike kike kuliko yeye๐๐๐
Sio kwel mkuu ,nasoma tu vitabuni๐ ๐ ๐ ๐Dogo umekuwa legend !๐คฃ