Ongezeko la ajali barabarani linahusiana na kauli ya kuondoa trafiki barabarani?

Ongezeko la ajali barabarani linahusiana na kauli ya kuondoa trafiki barabarani?

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Hivi karibuni kiongozi wetu mmoja "aliteleza" na akasema kwamba trafiki wamekuwa wengi barabarani. Watu wengi walishangilia. Ila militia shaka.

Naona ongezeko kubwa la ajali za barabarani baada ya tamko Hilo, nadhani kuna uwiano wa kauli hiyo na matukio ya ajali, trafiki wamepunguzwa barabarani, Sasa madereva wanajiachia bila woga, na wananchi wanakufa kwa ajali

Nadhani Polisi waachwe wafanye kazi yao kitaalamu, mapungufu yalikuwepo, lakini maisha yaliokolewa
 
Jaman traffic si wapo tu
Warudishwe barabarani hizo hela za kupigia viatu brash sio gharama kulikoni hali ilivyo sasa
Warudisheni vijana wapige kazi
Hata wakijqzana njia nzima sawa tu
 
Hivi karibuni kiongozi wetu mmoja "aliteleza" na akasema kwamba trafiki wamekuwa wengi barabarani. Watu wengi walishangilia. Ila militia shaka.

Naona ongezeko kubwa la ajali za barabarani baada ya tamko Hilo, nadhani kuna uwiano wa kauli hiyo na matukio ya ajali, trafiki wamepunguzwa barabarani, Sasa madereva wanajiachia bila woga, na wananchi wanakufa kwa ajali

Nadhani Polisi waachwe wafanye kazi yao kitaalamu, mapungufu yalikuwepo, lakini maisha yaliokolewa
Weka ushahidi wa ongezeko la ajali baada ya trafic kupunguzwa barabarani. Naona njaa imewakaba nyie polisi sasa mnaleta justifications za kitapeli.
 
Hili ni swali la kitafiti, wazee wa investigation research question tayari hapo, ukiwa na funding ingia kazini
 
Watu wanataka kuifananisha Tanzania na nchi zilizoendelea

♦️ Tanzania miundombinu ya barabara bado sana kulinganisha na nchi zilizoendelea, hata kama tumejitahidi kuwa na barabara za lami lakini hazina ukubwa kama za nje ambazo magari yatakuwa na njia nyingi

♦️ Nchi zilizoendelea wameweka mifumo ya CCTV barabara zote , na mifumo madhubuti ya taa za kuongozea magari hivyo sii lazima sana kwa askari kuwepo barabarani

♦️ Madereva wa nje tofauti na wabongo wanapimwa akili na vilevi hivyo sio rahihisi kwa mtu.anayetumia kitu ya Arusha ile ya WAJAKOYAH tofauti na bongo ambako madereva watumia mirungi, viroba ,kitu ya wajakoyah ni wengi na hata kuvaa mkanda tu ni mpaka amwone traffic sembuse akiwa huru high way?
 
Hivi karibuni kiongozi wetu mmoja "aliteleza" na akasema kwamba trafiki wamekuwa wengi barabarani. Watu wengi walishangilia. Ila militia shaka.

Naona ongezeko kubwa la ajali za barabarani baada ya tamko Hilo, nadhani kuna uwiano wa kauli hiyo na matukio ya ajali, trafiki wamepunguzwa barabarani, Sasa madereva wanajiachia bila woga, na wananchi wanakufa kwa ajali

Nadhani Polisi waachwe wafanye kazi yao kitaalamu, mapungufu yalikuwepo, lakini maisha yaliokolewa
Ajali zote,watu wanahojiwa wanadai Mabasi yalikuwa speed ila watu wako kimya..

Sasa hapo Polisi wanalaumiwa kwa lipi? Polisi hawezi kuwepo kila sehemu na Kwa hii tabia naona ngoja tuvunjwe miguu ndio akili itakaa sawa.
 
Makamu hakuhakiki vyema kauli yake.

It was a reckless statement.

Tuepuke kauli za kufurahishana tujali weledi.
 
Nadhani na kupiga marufuku wahubiri wanaoliombea basi kabla ya safari nako kumechangia ongezeko la ajali..
 
Hivi karibuni kiongozi wetu mmoja "aliteleza" na akasema kwamba trafiki wamekuwa wengi barabarani. Watu wengi walishangilia. Ila militia shaka.

Naona ongezeko kubwa la ajali za barabarani baada ya tamko Hilo, nadhani kuna uwiano wa kauli hiyo na matukio ya ajali, trafiki wamepunguzwa barabarani, Sasa madereva wanajiachia bila woga, na wananchi wanakufa kwa ajali

Nadhani Polisi waachwe wafanye kazi yao kitaalamu, mapungufu yalikuwepo, lakini maisha yaliokolewa
Hivi kupasuka kwa Tairi la basi kampuni ya Tanzanite kule kijijni Makutupora ni kwa sababu ya traffic hakuwepo? Inaamana traffic angeshikilia hilo tairi ili ajali istokee? Au kwa vile tu kaulaji/kautepeli kamepunguzwa?
Ila naombe msianze kuloga ili ajali zitokee na sababu iwe kwa sababu ya uchache wa traffic.
 
Weka ushahidi wa ongezeko la ajali baada ya trafic kupunguzwa barabarani. Naona njaa imewakaba nyie polisi sasa mnaleta justifications za kitapeli.
Ushahidi upi zaidi ya huo wa ajali kuongozeka baada ya wao kupunguzwa?
 
Watu wanataka kuifananisha Tanzania na nchi zilizoendelea

♦️ Tanzania miundombinu ya barabara bado sana kulinganisha na nchi zilizoendelea, hata kama tumejitahidi kuwa na barabara za lami lakini hazina ukubwa kama za nje ambazo magari yatakuwa na njia nyingi

♦️ Nchi zilizoendelea wameweka mifumo ya CCTV barabara zote , na mifumo madhubuti ya taa za kuongozea magari hivyo sii lazima sana kwa askari kuwepo barabarani

♦️ Madereva wa nje tofauti na wabongo wanapimwa akili na vilevi hivyo sio rahihisi kwa mtu.anayetumia kitu ya Arusha ile ya WAJAKOYAH tofauti na bongo ambako madereva watumia mirungi, viroba ,kitu ya wajakoyah ni wengi na hata kuvaa mkanda tu ni mpaka amwone traffic sembuse akiwa huru high way?
Yes mkuu ila mara nyingi tunazilinganisha na za jirani zetu hasa hizi za SADC, Zambia sasa inaijenga upya barabara ya Nakonde to Kapiri Mposhi(almost imefika Chinsali)sisi bado hii T1 yetu tunaitia viraka na Matuta (no speed bumps in freeways),zambia wameijenga vema barabara zinazokwenda kwenye borders zake za Zim na Botswana, sasa sisi mkuu inabidi nasi tuanze na sababu za ajali refers interview ya kamanda Haji pale Inyala, Mbeya
 
Nchi inaongozwa na Mapaka!

Baada ya tangazo la Bwana Kinana👇😁😁😁
16595299117110.jpg
 
Yes mkuu ila mara nyingi tunazilinganisha na za jirani zetu hasa hizi za SADC, Zambia sasa inaijenga upya barabara ya Nakonde to Kapiri Mposhi(almost imefika Chinsali)sisi bado hii T1 yetu tunaitia viraka na Matuta (no speed bumps in freeways),zambia wameijenga vema barabara zinazokwenda kwenye borders zake za Zim na Botswana, sasa sisi mkuu inabidi nasi tuanze na sababu za ajali refers interview ya kamanda Haji pale Inyala, Mbeya

Barabara mbovu siku zote, sasa nini kimebadilika na kufanya ajali ziongezeke?
 
Huyu aliyeleta made hii ni Moja wapi wa hao traffic au anakula nao au amelipwa kuanzisha uzi huu
 
Ajali zote,watu wanahojiwa wanadai Mabasi yalikuwa speed ila watu wako kimya..

Sasa hapo Polisi wanalaumiwa kwa lipi? Polisi hawezi kuwepo kila sehemu na Kwa hii tabia naona ngoja tuvunjwe miguu ndio akili itakaa sawa.
Mbona siku za nyuma hakukuwa na ajali nyingi namna hii?
 
Back
Top Bottom