chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Hivi karibuni kiongozi wetu mmoja "aliteleza" na akasema kwamba trafiki wamekuwa wengi barabarani. Watu wengi walishangilia. Ila militia shaka.
Naona ongezeko kubwa la ajali za barabarani baada ya tamko Hilo, nadhani kuna uwiano wa kauli hiyo na matukio ya ajali, trafiki wamepunguzwa barabarani, Sasa madereva wanajiachia bila woga, na wananchi wanakufa kwa ajali
Nadhani Polisi waachwe wafanye kazi yao kitaalamu, mapungufu yalikuwepo, lakini maisha yaliokolewa
Naona ongezeko kubwa la ajali za barabarani baada ya tamko Hilo, nadhani kuna uwiano wa kauli hiyo na matukio ya ajali, trafiki wamepunguzwa barabarani, Sasa madereva wanajiachia bila woga, na wananchi wanakufa kwa ajali
Nadhani Polisi waachwe wafanye kazi yao kitaalamu, mapungufu yalikuwepo, lakini maisha yaliokolewa