The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Siku za nyuma ndio siku zipi hizo? Mwisho magari yanaongezeka Sana kwa hiyo changamoto zinaongezeka pia.Mbona siku za nyuma hakukuwa na ajali nyingi namna hii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku za nyuma ndio siku zipi hizo? Mwisho magari yanaongezeka Sana kwa hiyo changamoto zinaongezeka pia.Mbona siku za nyuma hakukuwa na ajali nyingi namna hii?
Sikia!.Hakuna popote trafic wamekuwa wakizuia ajali za barabarani nchi hii badala ya kujikita kwenye rushwa barabarani.
Yani hayo magari yameongezeka sana mwezi huu?Siku za nyuma ndio siku zipi hizo? Mwisho magari yanaongezeka Sana kwa hiyo changamoto zinaongezeka pia.
Tukubali tusikubali hizi ajali zinavyoongezeka kuna uhusiana na mambo ya kiroho au Mungu. Kuna kitu viongozi wetu wa kitaifa wamefanya kikamchukiza Mungu. Na vifo vimeongezeka sio ajali kubwa kubwa tu. Hata mauaji yasiyodhaniwa tunayashuhudia. Kumbuka mauaji ya albino yalivyoshamiri. Sababu ni zile zile za hizi ajali. Mbona mauaji ya albino yaliisha viongozi wale walipoondoka? Walioingia wakati ule wameondoka wakaingia hawa wenye nchi yao tunashuhudia vifo vinatapakaa mara ajali mara ndugu kwa ndugu. Polisi, sheria nk havitakomesha. Tufahamu tulichomkasiridha Mungu tutubu kweli kweli. Hata hii hali ya hewa ni matokeo ya kumkosea Mungu.Barabara mbovu siku zote, sasa nini kimebadilika na kufanya ajali ziongezeke?
Sio mwezi huu,kama wewe ni mfuatiliaji mzuri ajalinzimeanza kuongezeka mwaka Jana.Yani hayo magari yameongezeka sana mwezi huu?
Kwa Nini wasiweke kamera za kudhibiti mwendo maeneo.mengi husika! Pesa ya kuiba wanayo na za kutembea kutizama kila Kona na safari. Tunashindwa Nini??Hivi karibuni kiongozi wetu mmoja "aliteleza" na akasema kwamba trafiki wamekuwa wengi barabarani. Watu wengi walishangilia. Ila militia shaka.
Naona ongezeko kubwa la ajali za barabarani baada ya tamko Hilo, nadhani kuna uwiano wa kauli hiyo na matukio ya ajali, trafiki wamepunguzwa barabarani, Sasa madereva wanajiachia bila woga, na wananchi wanakufa kwa ajali
Nadhani Polisi waachwe wafanye kazi yao kitaalamu, mapungufu yalikuwepo, lakini maisha yaliokolewa