Achana na mbulula huyo,anajifanya yeye ndiyo kaelewq principles za Uchumi kuliko wengine!Unatumia "jargon" nyingi Sana, kwa hiyo, ni aidha elimu yako haikusaidii au unashindwa kujenga hoja vizuri?
Hilo tatizo mpaka waziri wa Nishati amebadilishwa halafu unatoa majibu mepesi tu?.
Tuambie kwanini wauza mafuta wanayaficha halafu siku chache mbele EWURA inatangaza ongezeko la bei ?Kama elimu yako ya uchumi haiwezi kukusaidia kujibu hili pia useme.
Ewuraaaa ni mbwa asiye na kichwaaNi vyema kwanza niwapongeze watakaoelewa mantiki ya huu uzi.
Katika mawanda ya sheria, kuna kitu kinaitwa mgongano wa maslahi. Ni kwamba Hakimu au Jaji au mtu yeyote anayesimama kwenye altare ya kutoa haki anapaswa kujiepusha na hiki kipengele. Huwezi ukasimama kusikiliza na kuhukumu kesi ambayo inakuhusu au inamhusu mhusika wa kesi mwenye mahusiano ya karibu nawe.
Je, Bunge letu linaweza kushughulikia kilio cha wananchi kuhusu huu upumbavu wa EWURA?
Je, mume akiwa Rais, anaruhusiwa kumteua mkewe kuwa jaji mkuu?
CC
Pascal Mayalla Erythrocyte Kiranja Mkuu Gwappo Mwakatobe FaizaFoxy Tate Mkuu mimiamadiwenani Lucas mwashambwa Ritz Joannah Mama Amon @Mamdenyi sifi leo Mdude_Nyagali Mwabukusi raraa reree kimsboy CHADEMA Ccm chama changu Napelel
Wenzenu wanachukua hatua sasa dhidi ya mafisadi hawa lakini nyie mnangoja mpaka mkifa mdio muende AHERA kulamba asali!!!Wenyewe wanafurahi na kuwacheka watanzania ,sisi watanzania tumekuwa wapole sana. Lakini Mwenyezi Mungu,anawaona wadhalimu wote, wanayo kesi ya kujibu siku ya hukumu,duniani ni mapito tu.
Kwa sasa sina muda wa kwenda kupoteza kutafuta link ya kukuwekea jinsi EWURA wanavyokokotoa na kupanga bei ya mafuta.
Hila hawajiamikii tu asubuhi moja na kusema wajameni tuongeze bei ya mafuta au tushushe. Wanafanya hayo maamuzi based on formatted formula which it’s inputs depends on evidence of factual market variables kuhakikisha kuna fair price. Muuzaji apati faida za anasa based on evidence na wanajaribu kumlinda mlaji. Huo ndio uhalisia.
Hakuna Janja yoyote ya kumnufaisha au kumuumiza mtu kwenye kupanga bei; isipokuwa ni facts tu.
Bei zinapangwa kwa kuzingatoa ‘cost-plus pricing’ kuanzia kwa mwagizaji mpaka retailers mikoani.Hizo variables wanazoweka kwenye hiyo model yao can be influenced by human acts like HORDING OF FUEL which can affect supply hence the price of fuel!!
Huko Njombe bei ya mafuta imefika mpaka shs 7000 kwa litre kwa sababu makampuni ya mafuta kama Lake Oil wameficha mafuta hence affecting supply na bei ya mafuta kupanda!!
Je hapo hakuna JANJA?
Ungetupa mtiririko wa bei yanapo agizwa hadi kufika ni shilingi ngapi then tuone mtiriko wa kodi hivi na ile 100 tayari imekua added per lita?Kwa sasa sina muda wa kwenda kupoteza kutafuta link ya kukuwekea jinsi EWURA wanavyokokotoa na kupanga bei ya mafuta.
Hila hawajiamikii tu asubuhi moja na kusema wajameni tuongeze bei ya mafuta au tushushe. Wanafanya hayo maamuzi based on formatted formula which it’s inputs depends on evidence of factual market variables kuhakikisha kuna fair price. Muuzaji apati faida za anasa based on evidence na wanajaribu kumlinda mlaji. Huo ndio uhalisia.
Hakuna Janja yoyote ya kumnufaisha au kumuumiza mtu kwenye kupanga bei; isipokuwa ni facts t
Bei zinapangwa kwa kuzingatoa ‘cost-plus pricing’ kuanzia kwa mwagizaji mpaka retailers mikoani.
Ideal ushahidi huo ndio ungefunga mjadala unfortunately mimi sio mwajiriwa huko.Ungetupa mtiririko wa bei yanapo agizwa hadi kufika ni shilingi ngapi then tuone mtiriko wa kodi hivi na ile 100 tayari imekua added per lita?
EWURA hawasuki na mambo ya tendering za mafuta, wao ni regulators wa sokoni. Na kwenye kupanga bei wanatumia ushahidi wa receipt za manunuzi from the refinery, shipping costs mpaka yanapofika kwenye maghala.Hakuna ubishi juu ya hivo " cost-plus- pricing" kitu kinachogomba na what is included in what you call costs!! Kwavile muagizaji wa mafuta katika costing yake anaweka pia RUSHWA anayowagawia ili apate Kibali cha kuagiza mafuta !! This cost is also passed to the consumer hence escalating fuel prices!
Whoever is involved in the cost calculations , the cost of CORRUPTION MUST BE IMPUTED right from the tendering process!!EWURA hawasuki na mambo ya tendering za mafuta, wao ni regulators wa sokoni. Na kwenye kupanga bei wanatumia ushahidi wa receipt za manunuzi from the refinery, shipping costs mpaka yanapofika kwenye maghala.
Duh!Kwa hali ilivyo sana Ewura inapangiwa bei na wafanyabiashara.
Rais mstaafu mwenye influence ni mfanyabiashara wa mafuta, anavituo vya rangi ya blue kila baada ya umbali mfupi unakutana na kituo chake cha mafuta
Nakumbuka waziri wa fedha alipokuwa akifafanua kodi ya sh 100/= kuwekwa kwenye mafuta haya ya magari alisema bei yake inazidi kushuka. Ajabu mwezi August baada tu ya bajeti bei ikapanda na mwezi huu pia.Kwa hali ilivyo sana Ewura inapangiwa bei na wafanyabiashara.
Rais mstaafu mwenye influence ni mfanyabiashara wa mafuta, anavituo vya rangi ya blue kila baada ya umbali mfupi unakutana na kituo chake cha mafuta
Wakifika room wanatucheka maboyaaa wakihesabuu vibunda walivyopigaa kwenye tendaaa walizosign za kununua kwa bei kubwaaa...!Hata kama familia hizo ni kansa ya Taifa?[emoji1787]
Mkuu umenena kwa hekima sana.Mkuu Msanii ,japo siungi mkono matumizi ya lugha kali ya machukizo na matukano kwa kutumia maneno "huu upumbavu wa EWURA", kwasababu whatever EWURA does ni kwa mujibu wa mamlaka yake, sio busara kumtukana mtu mpumbavu wakati anatimiza wajibu wa kwa mujibu wa mamlaka yake!, mtukane aliyetunga hayo mamlaka!.
Ila ume raises a very important issue ya kitu kinachoitwa the doctrine of Separation of powers check and balance kati ya mihimili ya serikali, Bunge na Mahakama.
Bunge ndio mhimili wa kutunga sheria na kuisimamia serikali, Mahakama ni mhimili wa kutafsiri sheria na kutoa haki, serikali ni mhimili wa kutekeleza sheria na kuzihudumia Bunge na Mahakama.
Lakini serikali kupitia by laws inatunga sheria na kupoka madaraka ya Bunge, na mamlaka za Udhibiti zina quasi judicial bodies ambazo zimepoka mamlaka ya Mahakama kwa kusikiliza mashauri na kutoa maamuzi final and conclusive kitu ambacho is not right!.
Huu ni ujinga, only Spika Sitta ndio aliwahi kuukemea, EWURA ilivifungia baadhi ya vituo vya mafuta kwa hoja ya kuuza mafuta machafu. Uamuzi huo ulikuwa ni final and conclusive. Wenye vituo wakalalamika Mahakama kuwa aliyewaletea mafuta machafu ndie awajibike na aadhibiwe, mahakama iamuru EWURA wavifungulie!, EWURA wakatia pamba Masikioni na kugoma kuvifungua. Spika Sitta akaingilia kati
kuwa ni Mahakama Kuu pekee ndio yenye mamlaka ya kutoa maamuzi final and conclusive!, ila kuvifungulia kuendelea kuuza mafuta machafu sio uamuzi wenye maslahi kwa taifa hivyo Spika Sitta akaikomelea Mahakama, Jaji Mkuu wa wakati huo, Jaji Agustino Ramadhan akasema Spika Sitta ameghafilika, Bunge lina uwezo wa kuisimamia serikali tuu na sio kuingilia Mahakama!, Spika Sitta akajibu mapigo kuwa ni Jaji Mkuu ndiye amefilisika, mamlaka Kuu ya nchi ni katiba, na katiba hiyo inapata mamlaka toka kwa wananchi ndio wenye katiba, hivyo Bunge ndilo wawakilishi wa wananchi, Mahakama inapotoa maamuzi ya ajabu ajabu ambayo hayana maslahi kwa taifa, Bunge haliwezi kunyamaza!. Spika Sitta alisema kati ya mihimili mitatu ya dola, mhimili wa Bunge ndio supremacy!.
Spika Sitta alishitakiwa kwenye chama ili anyanganywe kadi ya CCM!, JK akamnusuru, ila alipogombea tena uspika, CCM wakampiga chini kwa hoja ya kumjaribu Mwanamke!. Spika Sitta: Kelele za Kingunge hazininyimi usingizi
P