Ongezeko la bei ya mafuta: Je, Bunge lina meno ya kuiwajibisha EWURA?

Ongezeko la bei ya mafuta: Je, Bunge lina meno ya kuiwajibisha EWURA?

Sasa bunge linatakiwa kuiwajibisha vipi EWURA.

EWURA hawajiamikii tu na kuamua bei ya mafuta; wana-formula yao wanayotumia inayozingatia market variable kwenye kukotoa bei za soko. You must be very dumb, kama mpaka leo uelewi jinsi wanavyoamua bei.

EWURA hawapo hapo kwa sababu ya maslahi ya wafanyabiashara; wapo kwa sababu ya kumlinda mlaji.

Uchumi ni ‘social science’ kuna logics za kibiashara, na human behaviour kwenye maaamuzi ya wafanyabiashara based on their market knowledge.

Hakuna mfanyabiashara anaeweza fanya ‘hoarding ya bidhaa’ for profiteering purposes where supply outstrips demand.

Hata kama kweli kuna watu wana ficha mafuta (kitu ambacho sioni faida yake) even if information asymmetry is the factor nonetheless hali halisi inabaki kuwa uwepo mdogo wa mafuta katika maghala, higher purchase prices ya waagizaji kwenye kununua kutokana na shilling kuendelea kushuka thamani dhidi ya dollar na ukosefu wa dollar sokoni; unachangia kwa kiasi kikubwa.

Hayo matusi kwa EWURA wahusika are taking one for team government; but the situation is beyond their control. Wao wanapokea matusi kwasababu ndio wenye kutoa habari mbaya kwenye jamii.

Mengine ni uwezo mdogo tu wa watanzania kwenye kuelewa mambo.



Nakubaliana na wewe kote kasoro hapa [emoji116]

“Hakuna mfanyabiashara anaeweza fanya hoarding ya bidhaa for profiteering purposes where supply outstrips demand…”



Unless tunaishi dunia ya tofauti lakini the last time I checked it’s a Liberal world.


Majuzi tu hapa issue ya kukosekana kwa mahindi, ghala la chakula kuchomwa moto, mchele kupotea?
 
Ni vyema kwanza niwapongeze watakaoelewa mantiki ya huu uzi.

Katika mawanda ya sheria, kuna kitu kinaitwa mgongano wa maslahi. Ni kwamba Hakimu au Jaji au mtu yeyote anayesimama kwenye altare ya kutoa haki anapaswa kujiepusha na hiki kipengele. Huwezi ukasimama kusikiliza na kuhukumu kesi ambayo inakuhusu au inamhusu mhusika wa kesi mwenye mahusiano ya karibu nawe.

Je, Bunge letu linaweza kushughulikia kilio cha wananchi kuhusu huu upumbavu wa EWURA?

Je, mume akiwa Rais, anaruhusiwa kumteua mkewe kuwa jaji mkuu?

CC
Pascal Mayalla Erythrocyte Kiranja Mkuu Gwappo Mwakatobe FaizaFoxy Tate Mkuu mimiamadiwenani Lucas mwashambwa Ritz Joannah Mama Amon @Mamdenyi sifi leo Mdude_Nyagali Mwabukusi raraa reree kimsboy CHADEMA Ccm chama changu Napelel
Sisi kama bunge jukumu letu siyo kuhukumu wakosaji serikalini. Zipo mamlaka zenye jukumu la kufanya hilo.
Nakushauri utafute "ilimu" juu ya utenganisho wa mamlaka kati ya bunge, serikali na mahakama.
 
Msimamizi wa EWURA ni mume wa spika, what do you expect?
 
Ndio shida hilipo; mnafikiria upuuzi kwenye vichwa vyenu contrary to economic facts.

Hakuna mtu anaewajuhumu personally, shida ni poor macroeconomic policy za serikali.



Lazima watu wahisi kuhujumiwa personally maana huwezi kuitaja Serikali bila kumtaja Mzee Kikwete.


Kingine kinachofanya watu waamini kwamba wanahujumiwa kwa makusudi ni hao hao watunga hizo policy ndio wafanyabiashara wakubwa wa petroleum & diesel.

Hapa mtanzania wa chini mnunuzi wa lita 20-50 anakwepa vipi hii mitego ya kumkamua?
 
Hako kaspika kama ka kibwengo kataondoka very soon kwenye hicho kiti
Kwanza, mtake radhi Spika wetu, yeye siyo kibwengo.
Pili, Spika wetu hawezi kuondoka madarakani kwa sababu wewe unataka iwe hivyo.
Nikuhakikishie tu kwamba Spika wetu ataendelea kuwepo utake usitake Na kama itakukera, hamia burundi.
 
Sisi kama bunge jukumu letu siyo kuhukumu wakosaji serikalini. Zipo mamlaka zenye jukumu la kufanya hilo.
Nakushauri utafute "ilimu" juu ya utenganisho wa mamlaka kati ya bunge, serikali na mahakama.
Basi Bunge litoe azimio la kumuomba radhi Lowassa..... mlimhukumu badala ya kuachia mamlaka nyingine kufanya hivyo
 
Unasema huelewi mantiki ya kuficha mafuta? Mbona iko wazi, Kama unajua mafuta yanapanda kesho, Leo unaficha tu kusubiri bei mpya na hivyo kupata bei ya juu.

Tatizo kubwa ni leaks, inawezekanaje wauzaji wanajua fika kwamba bei itapanda hata kabla EWURA hawajatangaza?

EWURA abadili game plan Mwezi ujao atangaze bei katikati ya mwezi! Na ashughulikie taarifa za bei zisivuje!

Hapo kwenye taarifa za Bei kuvuja ndipo mtihani ulipo.


Si ajabu kwa Tanzania hii kukuta wafanyakazi tena wenye dhamana ya uongozi huko EWURA nao wanamiliki vituo vya mafuta ama hisa za vituo vya mafuta.


Na hizi taarifa za bei kuvuja ni lazima ziendelee kuvuja maana wafanyabiashara wa mafuta ni viongozi wakubwa serikalini na wengine ni wabunge wawakilishi wa wananchi.
 
Basi Bunge litoe azimio la kumuomba radhi Lowassa..... mlimhukumu badala ya kuachia mamlaka nyingine kufanya hivyo
Bunge halikukurupuka kumuondoa Mheshimiwa Lowasa Madarakani kama mleta mada anavyolitaka bunge likurupuke. Kwa Mh. Lowasa, hoja ya yeye kuhusika kwenye ufisadi Ililetwa hoja bungeni. Bunge kwa umoja wao likairidhia. spika akaunda tume kuchunguza hoja hiyo. Tume ikafanya kazi yake na ikaleta majibu ya uchunguzi wao. Tume ilidhibitisha Mh. Lowasa kuhusika na ufisadi wa Richmond. Kilichofuata ni Bunge lilimwadhibisha kwa kufuata taratibu
 
Bunge halikukurupuka kumuondoa Mheshimiwa Lowasa Madarakani kama mleta mada anavyolitaka bunge likurupuke. Kwa Mh. Lowasa, hoja ya yeye kuhusika kwenye ufisadi Ililetwa hoja bungeni. Bunge kwa umoja wao likairidhia. spika akaunda tume kuchunguza hoja hiyo. Tume ikafanya kazi yake na ikaleta majibu ya uchunguzi wao. Tume ilidhibitisha Mh. Lowasa kuhusika na ufisadi wa Richmond. Kilichofuata ni Bunge lilimwahibisha kwa kufuata taratibu
mkuu
Ni busara kukaa kimya kuliko kujimwambafai kuwa unajua taratibu na sheria.

Kwa hivyo EWURA ni mwiko kuundiwa tume ya kibunge na maamuzi kuchukuliwa?
 
Shida ni uelewa wenu wa maswala ya uchumi.

Hawali nimejaribu kuelezea maamuzi ya uchumi yanategemea uhalisia wa hesabu za kibiashara na psychology.

Psychologically ili mtu afiche mafuta it has to do with ‘information asymmetry’ ni dhana ya kiuchumi kufanya maamuzi ambayo mwingine hana. Based on that scenario ili mtu afiche mafuta na kusubiri bei ipande ndio auze propabity ni kwamba anaelewa supply ni ndogo ndio maana atafikiria mambo ya profiteering.

Iwapo kungekuwa na supply kubwa huo upuuzi usingekuwepo; bei ya mafuta EWURA imekuwa ikipinga kwa miaka mingi hadi watu kuamua kuyaficha kipindi hiki (kama kweli wanaficha) kuna sababu za supply shortages, macro economic reasons ambazo bei lazima ipande hadi mtu aone sababu za kufanya maamuzi ya kutokuuza haki subiri bei mpya.

Economy is science


Kwa maelezo haya ni wazi Kwa Tanzania wamiliki wa vituo vya kuuza mafuta ndio either importers ama wana affiliation na importers.

Inawezekana kwa Tanzania, Serikali mpaka sekta binafsi, vyote vinaendeshwa na Syndicate group?

Maana huu mtiririko unatia mashaka;

Rais mstaafu na mtoto wake wanahusishwa na umiliki wa vituo vingi vya mafuta nchini (?)

Mtoto wa Rais anazungumza na Rais wa Uganda (?)

Spouse wa Speaker wa Bunge la JMT ndio Mkurugenzi wa ‘chombo’ muhimu Nishati ya Mafuta (?)

Vituo asilimia 90 nchi nzima wamiliki ni wale wale (?)

Asilimia 99 wamiliki wa vituo vya mafuta ni watumishi wa ummah wenye dhamana ya uongozi Serikalini ama nasaba zao (?)

IMG_8032.jpg
 
Kwa maelezo haya ni wazi Kwa Tanzania wamiliki wa vituo vya kuuza mafuta ndio either importers ama wana affiliation na importers.

Inawezekana kwa Tanzania, Serikali mpaka sekta binafsi, vyote vinaendeshwa na Syndicate group?

Maana huu mtiririko unatia mashaka;

Rais mstaafu na mtoto wake wanahusishwa na umiliki wa vituo vingi vya mafuta nchini (?)

Mtoto wa Rais anazungumza na Rais wa Uganda (?)

Spouse wa Speaker wa Bunge la JMT ndio Mkurugenzi wa ‘chombo’ muhimu Nishati ya Mafuta (?)

Vituo asilimia 90 nchi nzima wamiliki ni wale wale (?)

Asilimia 99 wamiliki wa vituo vya mafuta ni watumishi wa ummah wenye dhamana ya uongozi Serikalini ama nasaba zao (?)

View attachment 2740648
Mkuu
Umeandika ukweli unaoishi.

Tatizo ni CCM
 
Sisi kama bunge jukumu letu siyo kuhukumu wakosaji serikalini. Zipo mamlaka zenye jukumu la kufanya hilo.
Nakushauri utafute "ilimu" juu ya utenganisho wa mamlaka kati ya bunge, serikali na mahakama.


Nadhani mtoa mada analizungumzia Bunge kwa tafsiri ya wawakilishi wa wananchi na hapa wanapaswa kusimama na kusema kwa ajili ya wananchi.
 
Ni vyema kwanza niwapongeze watakaoelewa mantiki ya huu uzi.

Katika mawanda ya sheria, kuna kitu kinaitwa mgongano wa maslahi. Ni kwamba Hakimu au Jaji au mtu yeyote anayesimama kwenye altare ya kutoa haki anapaswa kujiepusha na hiki kipengele. Huwezi ukasimama kusikiliza na kuhukumu kesi ambayo inakuhusu au inamhusu mhusika wa kesi mwenye mahusiano ya karibu nawe.

Je, Bunge letu linaweza kushughulikia kilio cha wananchi kuhusu huu upumbavu wa EWURA?

Je, mume akiwa Rais, anaruhusiwa kumteua mkewe kuwa jaji mkuu?

CC
Pascal Mayalla Erythrocyte Kiranja Mkuu Gwappo Mwakatobe FaizaFoxy Tate Mkuu mimiamadiwenani Lucas mwashambwa Ritz Joannah Mama Amon @Mamdenyi sifi leo Mdude_Nyagali Mwabukusi raraa reree kimsboy CHADEMA Ccm chama changu Napelel
Bunge lipi?
Lile dhaifu au Bunge la waitikiaji?
 
Nadhani mtoa mada analizungumzia Bunge kwa tafsiri ya wawakilishi wa wananchi na hapa wanapaswa kusimama na kusema kwa ajili ya wananchi.
Mwananchi yupi labdaa unamuongelea hapa??? Acha kujidai hujui Bunge hakuna linachofanya kwa manufaa ya wanancho yani Mafuta yanapandaa kila siku hakuna cha maana kinasemwaa.. Spika anapewa taarifa ya Ujanja ujanja wa kuchezesha tenda analetaa siasaa.. Ni upuuzi wa ovyoo sanaa taasisi kubwa wanapeana kwa kujuanaaa na bado msiojitambua mnashupaza shingo kutetea Madudu.
 
Mkuu
Umeandika ukweli unaoishi.

Tatizo ni CCM


Sio kwamba Tatizo ni wananchi wanaoendelea “kuikubali” CCM?


Maana kama hali halisi ni hivyo basi hata zile pande zote kuanzia kwa CHAUMA mpaka CHADEMA, hakuna pa kutokea ila kwa wananchi wenyewe.

Maana sioni kwa unono wa funza huyu hawa wengine wanakosaje kunyonya/kunyonyeshwa protein yote hiyo. Hata Kama ni kwa lazima (maridhiano?)
 
Mwananchi yupi labdaa unamuongelea hapa??? Acha kujidai hujui Bunge hakuna linachofanya kwa manufaa ya wanancho yani Mafuta yanapandaa kila siku hakuna cha maana kinasemwaa.. Spika anapewa taarifa ya Ujanja ujanja wa kuchezesha tenda analetaa siasaa.. Ni upuuzi wa ovyoo sanaa taasisi kubwa wanapeana kwa kujuanaaa na bado msiojitambua mnashupaza shingo kutetea Madudu.


Sasa kwa mfano hapa hizi Sentensi zetu mbili ndizo zimetufikisha mahakamani mbele ya hakimu, ukaulizwa kosa langu Mimi hapo kwenye hiyo Sentensi yangu liko wapi?

Unauelewa kiasi gani wa kusoma na kutambua alama za maandishi?

Una utulivu kiasi gani ndani na nje ya mwili wako?

Ubongo wako ulishawahi kutikiswa ukiwa mtoto?

Umetumwa?
 
Back
Top Bottom