Ongezeko la hotuba za Hayati Magufuli mtaani, nini maana yake?

Ongezeko la hotuba za Hayati Magufuli mtaani, nini maana yake?

Justine Marack

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2014
Posts
612
Reaction score
1,698
Kumekuwa na ongeseko la kusikika hotuba za Magufuli huko mitaani.

Katika maeneo niliyo shuhudia nimeona watu wakikusanyika na kutazama au kusikiliza hotuba zilizowahi kutolewa na hayati Magufuli.

Maeneo ya Baa, vijiweni, madukani na nyumbani. Maeneo yote inaposikika sauti ya Magufuli watu huonekana wenye hisia mchanganyiko na kitu cha zaidi ni pale ambapo watu huanza kuchambua maneno ya hitu kama wanavyo chambua maoninya mechi za Moira.

Jambo la kushangaza ni pale wengi huishia kukubaliana huu ya uimara wa kiongozi huyo aliye tangulia mbele za Hali.

Ama kweli Magufuli Bado anaishi mioyoni mwa watu.
 
Hakuna baya, maana yake inategemea na wanasikiliza kwa sababu ipi. Kuna waliompenda na kuna wasiompenda.

Machinga watampenda kwa uhuru wa kuuza popote na mhanga wa tetemeko atamkumbuka kwa majibu yake alipohitaji msaada.
 
Kumekuwa na ongeseko la kusikika hotuba za Magufuli huko mitaani.

Katika maeneo niliyo shuhudia nimeona watu wakikusanyika na kutazama au kusikiliza hotuba zilizowahi kutolewa na hayati Magufuli.

Maeneo ya Baa, vijiweni, madukani na nyumbani. Maeneo yote inaposikika sauti ya Magufuli watu huonekana wenye hisia mchanganyiko na kitu Cha zaidi ni pale ambapo watu huanza kuchambua maneno ya hitu kama wanavyo chambua maoninya mechi za Moira.

Jambo la kushangaza ni pale wengi huishia kukubaliana huu ya uimara wa kiongozi huyo aliye tangulia mbele za Hali.

Ama kweli Magufuli Bado anaishi mioyoni mwa watu.
naomba ufafanuzi kidogo
Lengo lako la kutembelea hayo maeneo lilikuwa nini?
umetembelea maeneo/na vijiwe vingapi mpaka unakuja kuandika hapa (kama ni bar ngapi, vijiwe vingapi)
ulivichaguaje hivy vijiwe/ sample uliipataje?
uliokuta wana sikiliza ni watu wa rika gani hasa? jinsia, elimu na shughuli zao
ukiyajibu hayo tuendelee na mjadala sasa
 
Mleta mada sijui ni chizi au ni usukuma gang unamsumbua, nani apoteze muda wake kusikiliza hotuba ya Jiwe. Pole mkuu yawezekana umesikiliza wewe na familia yako then unaleta hitimisho kuwa watu kwenye bar wasikiliza hotuba za Jiwe. Hivi unajua bar wanaenda watu wa aina gani?
 
Hakuna baya, maana yake inategemea na wanasikiliza kwa sababu ipi. Kuna waliompenda na kuna wasiompenda.

Machinga watampenda kwa uhuru wa kuuza popote na mhanga wa tetemeko atamkumbuka kwa majibu yake alipohitaji msaada.
Kuna wengine ni wahanga watetemeko na vile vile ni wamachinga au wanategemea wamachinga
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kumekuwa na ongeseko la kusikika hotuba za Magufuli huko mitaani.

Katika maeneo niliyo shuhudia nimeona watu wakikusanyika na kutazama au kusikiliza hotuba zilizowahi kutolewa na hayati Magufuli.

Maeneo ya Baa, vijiweni, madukani na nyumbani. Maeneo yote inaposikika sauti ya Magufuli watu huonekana wenye hisia mchanganyiko na kitu Cha zaidi ni pale ambapo watu huanza kuchambua maneno ya hitu kama wanavyo chambua maoninya mechi za Moira.

Jambo la kushangaza ni pale wengi huishia kukubaliana huu ya uimara wa kiongozi huyo aliye tangulia mbele za Hali.

Ama kweli Magufuli Bado anaishi mioyoni mwa watu.
Weka video tuone. Nimezunguka maeneo mengi sana sijasikia hata sehemu moja watu wakisikiliza hotuba hizo
 
Kumekuwa na ongeseko la kusikika hotuba za Magufuli huko mitaani.

Katika maeneo niliyo shuhudia nimeona watu wakikusanyika na kutazama au kusikiliza hotuba zilizowahi kutolewa na hayati Magufuli.

Maeneo ya Baa, vijiweni, madukani na nyumbani. Maeneo yote inaposikika sauti ya Magufuli watu huonekana wenye hisia mchanganyiko na kitu Cha zaidi ni pale ambapo watu huanza kuchambua maneno ya hitu kama wanavyo chambua maoninya mechi za Moira.

Jambo la kushangaza ni pale wengi huishia kukubaliana huu ya uimara wa kiongozi huyo aliye tangulia mbele za Hali.

Ama kweli Magufuli Bado anaishi mioyoni mwa watu.
Mkuu kuna hotuba mpya?, Tafadhali weka hapa tusikie.....
 
Jana nilikua Tunduma sehemu inaitwa Sogea nilikutana na bodaboda ameweka Kwa sauti ya juu hotuba ya DK JPM
 
Wamechoka tu kuwa wa viongozi wanaohudhuria makongamano wakati nyumbani wameacha msiba.
 
naomba ufafanuzi kidogo
Lengo lako la kutembelea hayo maeneo lilikuwa nini?
umetembelea maeneo/na vijiwe vingapi mpaka unakuja kuandika hapa (kama ni bar ngapi, vijiwe vingapi)
ulivichaguaje hivy vijiwe/ sample uliipataje?
uliokuta wana sikiliza ni watu wa rika gani hasa? jinsia, elimu na shughuli zao
ukiyajibu hayo tuendelee na mjadala sasa
Wahamiaji haramu ndio wasikilizaji wakuu wa j,mizi.
 
Kumekuwa na ongeseko la kusikika hotuba za Magufuli huko mitaani.

Katika maeneo niliyo shuhudia nimeona watu wakikusanyika na kutazama au kusikiliza hotuba zilizowahi kutolewa na hayati Magufuli.

Maeneo ya Baa, vijiweni, madukani na nyumbani. Maeneo yote inaposikika sauti ya Magufuli watu huonekana wenye hisia mchanganyiko na kitu Cha zaidi ni pale ambapo watu huanza kuchambua maneno ya hitu kama wanavyo chambua maoninya mechi za Moira.

Jambo la kushangaza ni pale wengi huishia kukubaliana huu ya uimara wa kiongozi huyo aliye tangulia mbele za Hali.

Ama kweli Magufuli Bado anaishi mioyoni mwa watu.
Anaishi had leo
 
Kumekuwa na ongeseko la kusikika hotuba za Magufuli huko mitaani.

Katika maeneo niliyo shuhudia nimeona watu wakikusanyika na kutazama au kusikiliza hotuba zilizowahi kutolewa na hayati Magufuli.

Maeneo ya Baa, vijiweni, madukani na nyumbani. Maeneo yote inaposikika sauti ya Magufuli watu huonekana wenye hisia mchanganyiko na kitu Cha zaidi ni pale ambapo watu huanza kuchambua maneno ya hitu kama wanavyo chambua maoninya mechi za Moira.

Jambo la kushangaza ni pale wengi huishia kukubaliana huu ya uimara wa kiongozi huyo aliye tangulia mbele za Hali.

Ama kweli Magufuli Bado anaishi mioyoni mwa watu.
Tuondolee kichefuchefu. Mama kamfunika jiwe vibaya sana
 
Ile hotuba aliyosema TUNDU LISU ni msaliti apigwe risasi nayo mnasikiliza?

Ile hotuba aliyosema madiwani wa Dar hawakuchaguliwa na wananchi aliwachagua yeye nayo mnasikiliza?!
Ndio tunaskiliza, unasemaje? Tundu la choo sio msaliti tu, ni mtu asiyetii sharti la Allah la mwanaume kula kwa jasho sasa sijui tumuiteje, huko anakokula anawapa nini wanaomlisha?
 
Back
Top Bottom