Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
Why msingeenda na boda chato mkasikiliza hotuba mkiwa pembezoni mwa kaburi☹Jana nilikua Tunduma sehemu inaitwa Sogea nilikutana na bodaboda ameweka Kwa sauti ya juu hotuba ya DK JPM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Why msingeenda na boda chato mkasikiliza hotuba mkiwa pembezoni mwa kaburi☹Jana nilikua Tunduma sehemu inaitwa Sogea nilikutana na bodaboda ameweka Kwa sauti ya juu hotuba ya DK JPM
Kamfunika na nini huyo mamako? Labda kamfunika na msambwandaTuondolee kichefuchefu. Mama kamfunika jiwe vibaya sana
Kamuulize mboweFamily ya mawazo azory gwanda nao wanasikiliza hizo hotuba? Au wao sio wananchi Nini?
Ndio tunaskiliza, unasemaje? Tundu la choo sio msaliti tu, ni mtu asiyetii sharti la Allah la mwanaume kula kwa jasho sasa sijui tumuiteje, huko anakokula anawapa nini wanaomlisha?
Halafu unakuta wale wahuni waliyomuita magufuli mshamba Indio mama anawaamini.Kumekuwa na ongeseko la kusikika hotuba za Magufuli huko mitaani.
Katika maeneo niliyo shuhudia nimeona watu wakikusanyika na kutazama au kusikiliza hotuba zilizowahi kutolewa na hayati Magufuli.
Maeneo ya Baa, vijiweni, madukani na nyumbani. Maeneo yote inaposikika sauti ya Magufuli watu huonekana wenye hisia mchanganyiko na kitu Cha zaidi ni pale ambapo watu huanza kuchambua maneno ya hitu kama wanavyo chambua maoninya mechi za Moira.
Jambo la kushangaza ni pale wengi huishia kukubaliana huu ya uimara wa kiongozi huyo aliye tangulia mbele za Hali.
Ama kweli Magufuli Bado anaishi mioyoni mwa watu.
Naam! Tunasikiliza mkuuIle hotuba aliyosema TUNDU LISU ni msaliti apigwe risasi nayo mnasikiliza?
Ile hotuba aliyosema madiwani wa Dar hawakuchaguliwa na wananchi aliwachagua yeye nayo mnasikiliza?!
Daah! Aiseeee!Nyingine hii hapa. Sauti ya mamlaka na kiboko ya walanguzi na majitu nyoronyoro ya msoga na wapinzani feki. Wakiskia lazima wajifinye kwanza kuhakikisha sio ndoto, kwa msongo wa akili walioishi nao miaka 6 iliyopita nadhani wanaona muda wowote Rais wa kweli anaweza akafufuka hahahahh
View attachment 2410060
Upuuzi usiwe kwako wewe mlanguzi wa vyeti,?Wapuuzi tu hao
Ndio tunaelekea Chato kuhiji Kwa Mtakatifu.Why msingeenda na boda chato mkasikiliza hotuba mkiwa pembezoni mwa kaburi☹
mkuu kuna mabasi yanayotoka mikoani yanaonesha hotuba zake hadi mnafika daresalaam mbaya zaidi kuna wengine unakuta wanasikitika kwenye mabasi hayo[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]Kumekuwa na ongeseko la kusikika hotuba za Magufuli huko mitaani.
Katika maeneo niliyo shuhudia nimeona watu wakikusanyika na kutazama au kusikiliza hotuba zilizowahi kutolewa na hayati Magufuli.
Maeneo ya Baa, vijiweni, madukani na nyumbani. Maeneo yote inaposikika sauti ya Magufuli watu huonekana wenye hisia mchanganyiko na kitu Cha zaidi ni pale ambapo watu huanza kuchambua maneno ya hitu kama wanavyo chambua maoninya mechi za Moira.
Jambo la kushangaza ni pale wengi huishia kukubaliana huu ya uimara wa kiongozi huyo aliye tangulia mbele za Hali.
Ama kweli Magufuli Bado anaishi mioyoni mwa watu.
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]mkuu kuna mabasi yanayotoka mikoani yanaonesha hotuba zake hadi mnafika daresalaam mbaya zaidi kuna wengine unakuta wanasikitika kwenye mabasi hayo[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Kamanda alikataa kujiunga na Illuminati na freemasons family. Mapema tu wajanja walijua matamshi ya ku sacrifice yalitoa jibu la moja Kwa moja. Walijua ntakuwa miongoni mwao mimi hapana.Kumekuwa na ongeseko la kusikika hotuba za Magufuli huko mitaani.
Katika maeneo niliyo shuhudia nimeona watu wakikusanyika na kutazama au kusikiliza hotuba zilizowahi kutolewa na hayati Magufuli.
Maeneo ya Baa, vijiweni, madukani na nyumbani. Maeneo yote inaposikika sauti ya Magufuli watu huonekana wenye hisia mchanganyiko na kitu cha zaidi ni pale ambapo watu huanza kuchambua maneno ya hitu kama wanavyo chambua maoninya mechi za Moira.
Jambo la kushangaza ni pale wengi huishia kukubaliana huu ya uimara wa kiongozi huyo aliye tangulia mbele za Hali.
Ama kweli Magufuli Bado anaishi mioyoni mwa watu.
Unaenda kuhudhuria mkutano wa dunia 'COP27' huko Misri ukitokea Ughaibuni pia wakati unataarifa nyumbani kwako Simba amevunja zizi na kuchukua mifugo 19 na kuila bila utetezi wowote!!!!!Kumekuwa na ongeseko la kusikika hotuba za Magufuli huko mitaani.
Katika maeneo niliyo shuhudia nimeona watu wakikusanyika na kutazama au kusikiliza hotuba zilizowahi kutolewa na hayati Magufuli.
Maeneo ya Baa, vijiweni, madukani na nyumbani. Maeneo yote inaposikika sauti ya Magufuli watu huonekana wenye hisia mchanganyiko na kitu Cha zaidi ni pale ambapo watu huanza kuchambua maneno ya hitu kama wanavyo chambua maoninya mechi za Moira.
Jambo la kushangaza ni pale wengi huishia kukubaliana huu ya uimara wa kiongozi huyo aliye tangulia mbele za Hali.
Ama kweli Magufuli Bado anaishi mioyoni mwa watu.