Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumekuwa na ongeseko la kusikika hotuba za Magufuli huko mitaani.
Katika maeneo niliyo shuhudia nimeona watu wakikusanyika na kutazama au kusikiliza hotuba zilizowahi kutolewa na hayati Magufuli.
Maeneo ya Baa, vijiweni, madukani na nyumbani. Maeneo yote inaposikika sauti ya Magufuli watu huonekana wenye hisia mchanganyiko na kitu cha zaidi ni pale ambapo watu huanza kuchambua maneno ya hitu kama wanavyo chambua maoninya mechi za Moira.
Jambo la kushangaza ni pale wengi huishia kukubaliana huu ya uimara wa kiongozi huyo aliye tangulia mbele za Hali.
Ama kweli Magufuli Bado anaishi mioyoni mwa watu.
Mbona mimi sijasikiaKumekuwa na ongeseko la kusikika hotuba za Magufuli huko mitaani.
Katika maeneo niliyo shuhudia nimeona watu wakikusanyika na kutazama au kusikiliza hotuba zilizowahi kutolewa na hayati Magufuli.
Maeneo ya Baa, vijiweni, madukani na nyumbani. Maeneo yote inaposikika sauti ya Magufuli watu huonekana wenye hisia mchanganyiko na kitu cha zaidi ni pale ambapo watu huanza kuchambua maneno ya hitu kama wanavyo chambua maoninya mechi za Moira.
Jambo la kushangaza ni pale wengi huishia kukubaliana huu ya uimara wa kiongozi huyo aliye tangulia mbele za Hali.
Ama kweli Magufuli Bado anaishi mioyoni mwa watu.
JPM hakua Rais wa kawaida. Li-nchi la mazezeta kama hili letu halikua tayari kwa rais kama huyu na wala halikumstahili. Ndio mana wabaya wake walifanikiwa kumuwinda. Mungu amrehemu, soon atakuja wa kufanana nae kidogo.[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]View attachment 2410229
kiongozi aliyetangulia kuzimu. Haki ya nani, ningekuwa karibu na lile kaburi ningejisaidia haja kubwa juu ya kaburi lake.Kumekuwa na ongeseko la kusikika hotuba za Magufuli huko mitaani.
Katika maeneo niliyo shuhudia nimeona watu wakikusanyika na kutazama au kusikiliza hotuba zilizowahi kutolewa na hayati Magufuli.
Maeneo ya Baa, vijiweni, madukani na nyumbani. Maeneo yote inaposikika sauti ya Magufuli watu huonekana wenye hisia mchanganyiko na kitu cha zaidi ni pale ambapo watu huanza kuchambua maneno ya hitu kama wanavyo chambua maoninya mechi za Moira.
Jambo la kushangaza ni pale wengi huishia kukubaliana huu ya uimara wa kiongozi huyo aliye tangulia mbele za Hali.
Ama kweli Magufuli Bado anaishi mioyoni mwa watu.
kiongozi aliyetangulia kuzimu. Haki ya nani, ningekuwa karibu na lile kaburi ningejisaidia haja kubwa juu ya kaburi lake.
Mimi namkumbuka kwa kufunga watu hovyo, kuua, kufungia akaunti za benki kwa uonevu, kuteka nyara,kufilisiKumekuwa na ongeseko la kusikika hotuba za Magufuli huko mitaani.
Katika maeneo niliyo shuhudia nimeona watu wakikusanyika na kutazama au kusikiliza hotuba zilizowahi kutolewa na hayati Magufuli.
Maeneo ya Baa, vijiweni, madukani na nyumbani. Maeneo yote inaposikika sauti ya Magufuli watu huonekana wenye hisia mchanganyiko na kitu cha zaidi ni pale ambapo watu huanza kuchambua maneno ya hitu kama wanavyo chambua maoninya mechi za Moira.
Jambo la kushangaza ni pale wengi huishia kukubaliana huu ya uimara wa kiongozi huyo aliye tangulia mbele za Hali.
Ama kweli Magufuli Bado anaishi mioyoni mwa watu.
Alikuwa mzalendo sana. Pamoja na kuwa wanaendelea kupigana naye vita wakati yeye hayupo, ila mpaka sasa wameshindwa kabisa. Na kibaya Dkt Magufuli hakuwahi kusimamia jambo likashindikana alipokuwa hai na mpaka sasa pmoja na kutokuwepo kwake falsafa zake zinaishi na watanzania wengi wanaamini ndiyo muelekeo sahihi kiasi kwamba tutegemee kuja kupata kiongozi kama Dkt Magufuli.Kumekuwa na ongeseko la kusikika hotuba za Magufuli huko mitaani.
Katika maeneo niliyo shuhudia nimeona watu wakikusanyika na kutazama au kusikiliza hotuba zilizowahi kutolewa na hayati Magufuli.
Maeneo ya Baa, vijiweni, madukani na nyumbani. Maeneo yote inaposikika sauti ya Magufuli watu huonekana wenye hisia mchanganyiko na kitu cha zaidi ni pale ambapo watu huanza kuchambua maneno ya hitu kama wanavyo chambua maoninya mechi za Moira.
Jambo la kushangaza ni pale wengi huishia kukubaliana huu ya uimara wa kiongozi huyo aliye tangulia mbele za Hali.
Ama kweli Magufuli Bado anaishi mioyoni mwa watu.
Kaonyesha kwamba sio kila kitu ni kutumia nguvuKamfunika na nini huyo mamako? Labda kamfunika na msambwanda
Hivi ile hotuba ya kutaka kumpanua mama wa watu kule Morogoro pia wana sikiliza?Ile hotuba aliyosema TUNDU LISU ni msaliti apigwe risasi nayo mnasikiliza?
Ile hotuba aliyosema madiwani wa Dar hawakuchaguliwa na wananchi aliwachagua yeye nayo mnasikiliza?!
Wamechoka tu kuwa wa viongozi wanaohudhuria makongamano wakati nyumbani wameacha msiba.