Ongezeko la hotuba za Hayati Magufuli mtaani, nini maana yake?

Ongezeko la hotuba za Hayati Magufuli mtaani, nini maana yake?

Mhumbili na moi kichaka cha mafisadi ndio maana pale pesa mbele hata maiti wanaidai malipo, na pale mhumbili kuna kichaka cha walimuua mpendwa JPM
 
Kumekuwa na ongeseko la kusikika hotuba za Magufuli huko mitaani.

Katika maeneo niliyo shuhudia nimeona watu wakikusanyika na kutazama au kusikiliza hotuba zilizowahi kutolewa na hayati Magufuli.

Maeneo ya Baa, vijiweni, madukani na nyumbani. Maeneo yote inaposikika sauti ya Magufuli watu huonekana wenye hisia mchanganyiko na kitu cha zaidi ni pale ambapo watu huanza kuchambua maneno ya hitu kama wanavyo chambua maoninya mechi za Moira.

Jambo la kushangaza ni pale wengi huishia kukubaliana huu ya uimara wa kiongozi huyo aliye tangulia mbele za Hali.

Ama kweli Magufuli Bado anaishi mioyoni mwa watu.

Hotuba ipi, ile ya watu wabaki na mavi yao nyumbani?
 
Hata mimi ukinitengenezea video clips nikiwa nacheza mpira utaniona bonge la mchezaji.
 
Kumekuwa na ongeseko la kusikika hotuba za Magufuli huko mitaani.

Katika maeneo niliyo shuhudia nimeona watu wakikusanyika na kutazama au kusikiliza hotuba zilizowahi kutolewa na hayati Magufuli.

Maeneo ya Baa, vijiweni, madukani na nyumbani. Maeneo yote inaposikika sauti ya Magufuli watu huonekana wenye hisia mchanganyiko na kitu cha zaidi ni pale ambapo watu huanza kuchambua maneno ya hitu kama wanavyo chambua maoninya mechi za Moira.

Jambo la kushangaza ni pale wengi huishia kukubaliana huu ya uimara wa kiongozi huyo aliye tangulia mbele za Hali.

Ama kweli Magufuli Bado anaishi mioyoni mwa watu.
Mbona mimi sijasikia
 
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]View attachment 2410229
JPM hakua Rais wa kawaida. Li-nchi la mazezeta kama hili letu halikua tayari kwa rais kama huyu na wala halikumstahili. Ndio mana wabaya wake walifanikiwa kumuwinda. Mungu amrehemu, soon atakuja wa kufanana nae kidogo.
 
Kumekuwa na ongeseko la kusikika hotuba za Magufuli huko mitaani.

Katika maeneo niliyo shuhudia nimeona watu wakikusanyika na kutazama au kusikiliza hotuba zilizowahi kutolewa na hayati Magufuli.

Maeneo ya Baa, vijiweni, madukani na nyumbani. Maeneo yote inaposikika sauti ya Magufuli watu huonekana wenye hisia mchanganyiko na kitu cha zaidi ni pale ambapo watu huanza kuchambua maneno ya hitu kama wanavyo chambua maoninya mechi za Moira.

Jambo la kushangaza ni pale wengi huishia kukubaliana huu ya uimara wa kiongozi huyo aliye tangulia mbele za Hali.

Ama kweli Magufuli Bado anaishi mioyoni mwa watu.
kiongozi aliyetangulia kuzimu. Haki ya nani, ningekuwa karibu na lile kaburi ningejisaidia haja kubwa juu ya kaburi lake.
 
Mi nimeshuhudia sehemu moja watu wanatoa 500 kwa hotuba kuwekewa kwenye flash na memory card. Zinazouzika zaidi ni alizoongelea umeme
 
Kasome uboreshe cheti chako sio unamchukia alie kutumbua kwa cheti cha magumashi
kiongozi aliyetangulia kuzimu. Haki ya nani, ningekuwa karibu na lile kaburi ningejisaidia haja kubwa juu ya kaburi lake.
 
Kumekuwa na ongeseko la kusikika hotuba za Magufuli huko mitaani.

Katika maeneo niliyo shuhudia nimeona watu wakikusanyika na kutazama au kusikiliza hotuba zilizowahi kutolewa na hayati Magufuli.

Maeneo ya Baa, vijiweni, madukani na nyumbani. Maeneo yote inaposikika sauti ya Magufuli watu huonekana wenye hisia mchanganyiko na kitu cha zaidi ni pale ambapo watu huanza kuchambua maneno ya hitu kama wanavyo chambua maoninya mechi za Moira.

Jambo la kushangaza ni pale wengi huishia kukubaliana huu ya uimara wa kiongozi huyo aliye tangulia mbele za Hali.

Ama kweli Magufuli Bado anaishi mioyoni mwa watu.
Mimi namkumbuka kwa kufunga watu hovyo, kuua, kufungia akaunti za benki kwa uonevu, kuteka nyara,kufilisi
 
Maana yake wanatukumbusha kua kakufa awezi kafufuka tena.
 
Kumekuwa na ongeseko la kusikika hotuba za Magufuli huko mitaani.

Katika maeneo niliyo shuhudia nimeona watu wakikusanyika na kutazama au kusikiliza hotuba zilizowahi kutolewa na hayati Magufuli.

Maeneo ya Baa, vijiweni, madukani na nyumbani. Maeneo yote inaposikika sauti ya Magufuli watu huonekana wenye hisia mchanganyiko na kitu cha zaidi ni pale ambapo watu huanza kuchambua maneno ya hitu kama wanavyo chambua maoninya mechi za Moira.

Jambo la kushangaza ni pale wengi huishia kukubaliana huu ya uimara wa kiongozi huyo aliye tangulia mbele za Hali.

Ama kweli Magufuli Bado anaishi mioyoni mwa watu.
Alikuwa mzalendo sana. Pamoja na kuwa wanaendelea kupigana naye vita wakati yeye hayupo, ila mpaka sasa wameshindwa kabisa. Na kibaya Dkt Magufuli hakuwahi kusimamia jambo likashindikana alipokuwa hai na mpaka sasa pmoja na kutokuwepo kwake falsafa zake zinaishi na watanzania wengi wanaamini ndiyo muelekeo sahihi kiasi kwamba tutegemee kuja kupata kiongozi kama Dkt Magufuli.
 
Ile hotuba aliyosema TUNDU LISU ni msaliti apigwe risasi nayo mnasikiliza?

Ile hotuba aliyosema madiwani wa Dar hawakuchaguliwa na wananchi aliwachagua yeye nayo mnasikiliza?!
Hivi ile hotuba ya kutaka kumpanua mama wa watu kule Morogoro pia wana sikiliza?
Na ile ya kumuozesha mama yake mzazi baada ya kupewa kajogoo?
Na ile ya kumtumbua mtu kisha kapata kitete kuapa?

That guy had no moral audacity!! Na wanaomshabikia nao wapo hivyo!
🚮🚮❌❌
 
Back
Top Bottom