Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Sipingi Watu kutengana kwa kukubaliana kutokukubaliana, LAKINI inafikirisha zaidi pale unapogundua kuwa "kuachanishwa" kwenu kulikua na nguvu flani nyuma yake.
Katika pita pita Zangu mara kadhaa nimeona kituo hiki kikitajwa kuwa na "Vishoka" kama ilivyo sehemu nyingine kama TANESCO ambao hufuatilia na kujua Mali zilizopo kwa huyo anayetakiwa "kupewa talaka" na wakishajua huwa wanajenga mazingira ambapo madalali wanakua standby kuuza Mali hizo ili mgawane.
Maana yake ni kwamba, Leo hii ukienda pale hata kama kuna namna ya kuokoa "Umoja" huo tayari kunakua na "ushawishi" mwingine WA kukujengea Tamaa ya kupata "mgao" mzuri mara baada ya talaka kupatikana! Kinachoumiza ni kwamba mara nyingi victims ni Wanaume ambao Mali hizo huzipata kwa gharama kubwa ya maisha Yao, na waathirika WA pili wakiwa ni Watoto.
Naomba Sana Serikali ichunguze Jambo hili, tusione fahari idadi ya ndoa zinazovunjwa kuongezeka.
Katika pita pita Zangu mara kadhaa nimeona kituo hiki kikitajwa kuwa na "Vishoka" kama ilivyo sehemu nyingine kama TANESCO ambao hufuatilia na kujua Mali zilizopo kwa huyo anayetakiwa "kupewa talaka" na wakishajua huwa wanajenga mazingira ambapo madalali wanakua standby kuuza Mali hizo ili mgawane.
Maana yake ni kwamba, Leo hii ukienda pale hata kama kuna namna ya kuokoa "Umoja" huo tayari kunakua na "ushawishi" mwingine WA kukujengea Tamaa ya kupata "mgao" mzuri mara baada ya talaka kupatikana! Kinachoumiza ni kwamba mara nyingi victims ni Wanaume ambao Mali hizo huzipata kwa gharama kubwa ya maisha Yao, na waathirika WA pili wakiwa ni Watoto.
Naomba Sana Serikali ichunguze Jambo hili, tusione fahari idadi ya ndoa zinazovunjwa kuongezeka.