Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Kama wake wenyewe ndio type ya Anita Makirita ndoa lazima zivunjike sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana nitarekebishwa kama nakoseaSheria ya ndoa inahitaji marekebisho, sijawahi sikia mali za mke kugawanywa ila zinagawanywa mali za mume pekee, huu ni wizi wa mchana kweupe.
Polisi ndo wanatuchelewesha harafu wao ndowahanga namba moja ,badala wawambie serikali imetosha sheria hizi zimepitwa na wakati wao wapo tuuuuuuItungwe sheria mpya ya talaka na mirathi kama mwanandoa mmoja akiamua kuondoka ndoani aondoke tu bila kutaka kugawana mali. Mali zitabaki kwa mwanandoa anayebaki na watoto wake/mali zibaki kuwa ni za watoto tu. Kama ndoa haina watoto basi mali alizokuwa nazo mwanandoa kabla ya ndoa zibaki kwake, zile zilizopatikana wakiwa pamoja ndio wagawane.
Unaamini mchango wa kuchuma hizo mali mkiwa ndani ya ndoa, huwa una uwiano wa 50/50 kwa pande zote?, kama sivyo kwa nini mgawane 50/50 baada ya ndoa kuvunjika?Hapana nitarekebishwa kama nakosea
Malizote zinazochumwa au zilizochumwa kabla hamjaoana pandezote mbili haziingii kwenye mgao isipokuwa zilezote mlizoanza kuchuma kutoka siku mmetoka kanisani au vyovyote vile ,ilimradi mazingira yanathibitisha ni wanandoa
Mambo magumu Sana hayaNaona hata kama baba yu hai heri anifirisi yeye lkn sio mwanamke wangu inauma mno.. Imagine Boss wangu mke wako anaolewa ukiwa bado upo hai na anaishi kwenye nyumba uliyojenga wewe. Inauma inauma inauma mnoo
Uko Sahihi kabisa Ndugu yanguUnaamini mchango wa kuchuma hizo mali mkiwa ndani ya ndoa, huwa una uwiano wa 50/50 kwa pande zote?, kama sivyo kwa nini mgawane 50/50 baada ya ndoa kuvunjika?
Hizo taasisi za kutetea wanawake hili suala huwezi kuta wakijadiliItungwe sheria mpya ya talaka na mirathi kama mwanandoa mmoja akiamua kuondoka ndoani aondoke tu bila kutaka kugawana mali. Mali zitabaki kwa mwanandoa anayebaki na watoto wake/mali zibaki kuwa ni za watoto tu. Kama ndoa haina watoto basi mali alizokuwa nazo mwanandoa kabla ya ndoa zibaki kwake, zile zilizopatikana wakiwa pamoja ndio wagawane.
Hio ni Kenya, nasikia Bongo ni mali zoteHapana nitarekebishwa kama nakosea
Malizote zinazochumwa au zilizochumwa kabla hamjaoana pandezote mbili haziingii kwenye mgao isipokuwa zilezote mlizoanza kuchuma kutoka siku mmetoka kanisani au vyovyote vile ,ilimradi mazingira yanathibitisha ni wanandoa
sheria,zimeundwa kukilinda kizazi chakike , kutokana na mfumedume wetuUnaamini mchango wa kuchuma hizo mali mkiwa ndani ya ndoa, huwa una uwiano wa 50/50 kwa pande zote?, kama sivyo kwa nini mgawane 50/50 baada ya ndoa kuvunjika?
Naonaga TU Lile jengo kwa mbali 😊😊Sipingi Watu kutengana kwa kukubaliana kutokukubaliana, LAKINI inafikirisha zaidi pale unapogundua kuwa "kuachanishwa" kwenu kulikua na nguvu flani nyuma yake.
Katika pita pita Zangu mara kadhaa nimeona kituo hiki kikitajwa kuwa na "Vishoka" kama ilivyo sehemu nyingine kama TANESCO ambao hufuatilia na kujua Mali zilizopo kwa huyo anayetakiwa "kupewa talaka" na wakishajua huwa wanajenga mazingira ambapo madalali wanakua standby kuuza Mali hizo ili mgawane.
Maana yake ni kwamba, Leo hii ukienda pale hata kama kuna namna ya kuokoa "Umoja" huo tayari kunakua na "ushawishi" mwingine WA kukujengea Tamaa ya kupata "mgao" mzuri mara baada ya talaka kupatikana! Kinachoumiza ni kwamba mara nyingi victims ni Wanaume ambao Mali hizo huzipata kwa gharama kubwa ya maisha Yao, na waathirika WA pili wakiwa ni Watoto.
Naomba Sana Serikali ichunguze Jambo hili, tusione fahari idadi ya ndoa zinazovunjwa kuongezeka.
View attachment 2997566
😊😊😊Em ngoja tuone kwanza wenye ndoa zilizojishikiza wanasemaje☹️
Wewe msenge baridi koma, hunijui sikujui usitake kunizoea.Kama wake wenyewe ndio type ya Anita Makirita ndoa lazima zivunjike sana
hizo taasisi ni za kishetani. Ndizo zinazobomoa maadili ya ndoaHizo taasisi za kutetea wanawake hili suala huwezi kuta wakijadili
Kikubwa kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.sheria,zimeundwa kukilinda kizazi chakike , kutokana na mfumedume wetu
Sawa
Tujiulize wakati wewe uko kusaidia fundi ujenzi huko ,ukirudi unakuta nyumba chafu ,watoto wachafu kama hapana nayeye kafanya kitu au kwamkunga kukushushia wanao nayo kazi mkuu
Pole sana mkuu. Yamekukuta nini? Nchi hii opportunists wapo kila kona. Chukua tahadhali.Sipingi Watu kutengana kwa kukubaliana kutokukubaliana, LAKINI inafikirisha zaidi pale unapogundua kuwa "kuachanishwa" kwenu kulikua na nguvu flani nyuma yake.
Katika pita pita Zangu mara kadhaa nimeona kituo hiki kikitajwa kuwa na "Vishoka" kama ilivyo sehemu nyingine kama TANESCO ambao hufuatilia na kujua Mali zilizopo kwa huyo anayetakiwa "kupewa talaka" na wakishajua huwa wanajenga mazingira ambapo madalali wanakua standby kuuza Mali hizo ili mgawane.
Maana yake ni kwamba, Leo hii ukienda pale hata kama kuna namna ya kuokoa "Umoja" huo tayari kunakua na "ushawishi" mwingine WA kukujengea Tamaa ya kupata "mgao" mzuri mara baada ya talaka kupatikana! Kinachoumiza ni kwamba mara nyingi victims ni Wanaume ambao Mali hizo huzipata kwa gharama kubwa ya maisha Yao, na waathirika WA pili wakiwa ni Watoto.
Naomba Sana Serikali ichunguze Jambo hili, tusione fahari idadi ya ndoa zinazovunjwa kuongezeka.
View attachment 2997566
unaonekana ni mstaarabu ila una matusi balaaWewe msenge baridi koma, hunijui sikujui usitake kunizoea.
Ndio linatumika kuharibu familia za watu kwa Tamaa Yao ya pesaNaonaga TU Lile jengo kwa mbali 😊😊
Nimeona mwenendo wa ndoa kwa statistics zao zilizo tolewa sio Siri Hali Ni mbaya mno inatisha kwa KWELI..Ndio linatumika kuharibu familia za watu kwa Tamaa Yao ya pesa