Ongezeko la kuvunjika Ndoa, natoa RAI kituo Jumuishi cha Taifa cha Familia - Temeke kichunguzwe

Ongezeko la kuvunjika Ndoa, natoa RAI kituo Jumuishi cha Taifa cha Familia - Temeke kichunguzwe

Itungwe sheria mpya ya talaka na mirathi kama mwanandoa mmoja akiamua kuondoka ndoani aondoke tu bila kutaka kugawana mali. Mali zitabaki kwa mwanandoa anayebaki na watoto wake/mali zibaki kuwa ni za watoto tu. Kama ndoa haina watoto basi mali alizokuwa nazo mwanandoa kabla ya ndoa zibaki kwake, zile zilizopatikana wakiwa pamoja ndio wagawane.
 
Sheria ya ndoa inahitaji marekebisho, sijawahi sikia mali za mke kugawanywa ila zinagawanywa mali za mume pekee, huu ni wizi wa mchana kweupe.
Hapana nitarekebishwa kama nakosea

Malizote zinazochumwa au zilizochumwa kabla hamjaoana pandezote mbili haziingii kwenye mgao isipokuwa zilezote mlizoanza kuchuma kutoka siku mmetoka kanisani au vyovyote vile ,ilimradi mazingira yanathibitisha ni wanandoa
 
Itungwe sheria mpya ya talaka na mirathi kama mwanandoa mmoja akiamua kuondoka ndoani aondoke tu bila kutaka kugawana mali. Mali zitabaki kwa mwanandoa anayebaki na watoto wake/mali zibaki kuwa ni za watoto tu. Kama ndoa haina watoto basi mali alizokuwa nazo mwanandoa kabla ya ndoa zibaki kwake, zile zilizopatikana wakiwa pamoja ndio wagawane.
Polisi ndo wanatuchelewesha harafu wao ndowahanga namba moja ,badala wawambie serikali imetosha sheria hizi zimepitwa na wakati wao wapo tuuuuuu
 
Hapana nitarekebishwa kama nakosea

Malizote zinazochumwa au zilizochumwa kabla hamjaoana pandezote mbili haziingii kwenye mgao isipokuwa zilezote mlizoanza kuchuma kutoka siku mmetoka kanisani au vyovyote vile ,ilimradi mazingira yanathibitisha ni wanandoa
Unaamini mchango wa kuchuma hizo mali mkiwa ndani ya ndoa, huwa una uwiano wa 50/50 kwa pande zote?, kama sivyo kwa nini mgawane 50/50 baada ya ndoa kuvunjika?
 
Itungwe sheria mpya ya talaka na mirathi kama mwanandoa mmoja akiamua kuondoka ndoani aondoke tu bila kutaka kugawana mali. Mali zitabaki kwa mwanandoa anayebaki na watoto wake/mali zibaki kuwa ni za watoto tu. Kama ndoa haina watoto basi mali alizokuwa nazo mwanandoa kabla ya ndoa zibaki kwake, zile zilizopatikana wakiwa pamoja ndio wagawane.
Hizo taasisi za kutetea wanawake hili suala huwezi kuta wakijadili
 
Hapana nitarekebishwa kama nakosea

Malizote zinazochumwa au zilizochumwa kabla hamjaoana pandezote mbili haziingii kwenye mgao isipokuwa zilezote mlizoanza kuchuma kutoka siku mmetoka kanisani au vyovyote vile ,ilimradi mazingira yanathibitisha ni wanandoa
Hio ni Kenya, nasikia Bongo ni mali zote
 
Unaamini mchango wa kuchuma hizo mali mkiwa ndani ya ndoa, huwa una uwiano wa 50/50 kwa pande zote?, kama sivyo kwa nini mgawane 50/50 baada ya ndoa kuvunjika?
sheria,zimeundwa kukilinda kizazi chakike , kutokana na mfumedume wetu

Sawa
Tujiulize wakati wewe uko kusaidia fundi ujenzi huko ,ukirudi unakuta nyumba chafu ,watoto wachafu kama hapana nayeye kafanya kitu au kwamkunga kukushushia wanao nayo kazi mkuu
 
Sipingi Watu kutengana kwa kukubaliana kutokukubaliana, LAKINI inafikirisha zaidi pale unapogundua kuwa "kuachanishwa" kwenu kulikua na nguvu flani nyuma yake.

Katika pita pita Zangu mara kadhaa nimeona kituo hiki kikitajwa kuwa na "Vishoka" kama ilivyo sehemu nyingine kama TANESCO ambao hufuatilia na kujua Mali zilizopo kwa huyo anayetakiwa "kupewa talaka" na wakishajua huwa wanajenga mazingira ambapo madalali wanakua standby kuuza Mali hizo ili mgawane.

Maana yake ni kwamba, Leo hii ukienda pale hata kama kuna namna ya kuokoa "Umoja" huo tayari kunakua na "ushawishi" mwingine WA kukujengea Tamaa ya kupata "mgao" mzuri mara baada ya talaka kupatikana! Kinachoumiza ni kwamba mara nyingi victims ni Wanaume ambao Mali hizo huzipata kwa gharama kubwa ya maisha Yao, na waathirika WA pili wakiwa ni Watoto.

Naomba Sana Serikali ichunguze Jambo hili, tusione fahari idadi ya ndoa zinazovunjwa kuongezeka.

View attachment 2997566
Naonaga TU Lile jengo kwa mbali 😊😊
 
sheria,zimeundwa kukilinda kizazi chakike , kutokana na mfumedume wetu

Sawa
Tujiulize wakati wewe uko kusaidia fundi ujenzi huko ,ukirudi unakuta nyumba chafu ,watoto wachafu kama hapana nayeye kafanya kitu au kwamkunga kukushushia wanao nayo kazi mkuu
Kikubwa kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.
Ukichangia 5% basi ondoka na 5% yako usitake 50%.

Kwa sasa mnahimiza haki sawa kwa wote, iweje muendeleze sheria kandamizi kwa mwanaume wakati wote wana haki sawa?.
 
Pale sheria zinaporuhusu wahuni 'kushangilia' na kunufaika familia zinaposambaratika.
Ni ishara wazi kuwa hao wanaoitwa wasukuhishi, si wasukuhishi bali wanufaike wa migogoro ya ndoa
It's so sad!
 
Sipingi Watu kutengana kwa kukubaliana kutokukubaliana, LAKINI inafikirisha zaidi pale unapogundua kuwa "kuachanishwa" kwenu kulikua na nguvu flani nyuma yake.

Katika pita pita Zangu mara kadhaa nimeona kituo hiki kikitajwa kuwa na "Vishoka" kama ilivyo sehemu nyingine kama TANESCO ambao hufuatilia na kujua Mali zilizopo kwa huyo anayetakiwa "kupewa talaka" na wakishajua huwa wanajenga mazingira ambapo madalali wanakua standby kuuza Mali hizo ili mgawane.

Maana yake ni kwamba, Leo hii ukienda pale hata kama kuna namna ya kuokoa "Umoja" huo tayari kunakua na "ushawishi" mwingine WA kukujengea Tamaa ya kupata "mgao" mzuri mara baada ya talaka kupatikana! Kinachoumiza ni kwamba mara nyingi victims ni Wanaume ambao Mali hizo huzipata kwa gharama kubwa ya maisha Yao, na waathirika WA pili wakiwa ni Watoto.

Naomba Sana Serikali ichunguze Jambo hili, tusione fahari idadi ya ndoa zinazovunjwa kuongezeka.

View attachment 2997566
Pole sana mkuu. Yamekukuta nini? Nchi hii opportunists wapo kila kona. Chukua tahadhali.
 
Back
Top Bottom