Tetesi: Ongezeko la masharti ukitaka kufungua akaunti ya Benki lazima kuongezea kiapo cha mahakama licha ya kuwa na vitambulisho husika

Hata Mahakamani form zile watu wanatengeneza hata mihuri ya Mahakamani watu wanachonga
 
Subira Huvuta Heri Ila Ivumayo Haidumu
Mbaazi Ukikosa Maua Husingizia Jua


Sasa Watanzania
Kusikia Kwa Kenge Hadi Atoke Damu Puani Na Masikioni
 

Safi sana kaka nadhani ndivyo wanataiwa kufanya kama watu wote watakuwa kwenye data base ya NIDA. Nashukuru sana bila. shaka wahusika watalifanyia kazi.
 
Hata Mahakamani form zile watu wanatengeneza hata mihuri ya Mahakamani watu wanachonga

Nikweli kaka, nadhani labda barua iwe inatumwa moja kwa moja na mahakama kwenda kwa benki pasipo mhusika kujua ili kuepusha watu kugushi. Nashukuru sana kwa mchango wako mkuu.
 
Bitcoin ipo kusolve hizo adha zote.
 
TANGAZO TANGAZO Nauza vibubu vyenye ukubwa mbalimbali unaletewa popote ulipo Hata mikoani,bei nafuu wahi chako mapema
 
Huu siyo ujamaa ila ndivyo inavyotakiwa. Umewahi kufika Ulaya? Unajua masharti ya kufungua account ya benki au ku-deposit fedha nyingi ukiwa Ulaya? Sisi tumechelewa sana.
Ulaya if you have your proper id ama social security number, unafungua account kirahisi sana, ni muda wa saa moja tuu, pia unaweza kupokea any amout of funds hata mlions lakini lazima ziwe ma proper trackable records na zilingane na buashara yako.

Anything more than 10,000 usd in USA lazima utatakiwa kujieleza, na Europe nadahani more than 5000 BP ama Euros.

Hakuna cha kwenda kuhakisha kitambulisho mahakamani
 
Ila siyo deni siyo kesi,tunahamia kwenye Mobile Money labda waje na huku waseme mtu akitaka weka hela lazima akathibitishwe
 
Ujamaa huu unaharibu nchii na kuturudisha nyuma kimaendeleo.

Siujui ni wawekezaji gani watakuja kuwekeza kwenye nchi yenye sera mbovu kama hizi za ujamaa uchwara!
Huu sio ujamaa bali sheria za kipumbavu na ubinafsi wa wazizwazi.kwenye maswala ya uwekezaji huwezi kumzui mwwkezaji kutokuwa na akaunti mbili.huu ni uthibitisho kwamba serikali ya magufuli imeshindwa kubuni mbinu mbadala namna ya kuvutia investors.
 
Of course ukiwa na Social Security Number Ulaya ina maana unajulika . Sasa mazingira ya huku Bongo siyo kama Ulaya. Nchi haijui raia wake ni kina nani na wako wapi. Kila ukitaka huduma lazima ujitambulishe kulingana na unyeti wa huduma. Kuhusu ku-deposit: Nchi nilizoishi HUWEZI ku deposit hata euros 1000 bila kueleza umezitoa wapi. Kuhusu fedha kuingia nyingi kwenye account: Of course kama unajulikana ni mtu mwenye shughuli ya kuingiza fedha nyingi hakuna doubt. Lakini kama fedha zilizoingia haziendani na shughuli zako ni lazima kutakuwa na kufuatilia. Tusichanganye mazingira ya nchi ambazo zinajua raia wake wote na zina-control ya mipaka yake na nchi kama zetu ambazo watu hawajulikani na wanaweza kuingia na kutoka kama chooni.
 
Siyo sasa hiyo ilikuwa zamani ndugu.!
 
Wakumbuke kuwa kuna ambao hawana fedha kwenye akanti lakini wanajenga na kumiliki majengo yenye gharama za mabilioni .
Na wengi wao ni wanasiasa. Siamini kuwa Mali zote zilizoko nchini hasa majumba na mahoteli ni ya watu kutoka nje!!
 
Itafika wakati serikali itataifisha pesa za watu zilizo benki. Kama unafikiri tuko kwenye light tlack unajidanganya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…