Tetesi: Ongezeko la masharti ukitaka kufungua akaunti ya Benki lazima kuongezea kiapo cha mahakama licha ya kuwa na vitambulisho husika

Jamaa linabolonga na kutinyanga nchi yetu
 
Sasa ndio utelewa maana ya kufuata vicoba na saccos na vicoba
 
Wapongeze peke yako mkuu.
 
Aisee
 
Wakumbuke kuwa kuna ambao hawana fedha kwenye akanti lakini wanajenga na kumiliki majengo yenye gharama za mabilioni .
Na wengi wao ni wanasiasa. Siamini kuwa Mali zote zilizoko nchini hasa majumba na mahoteli ni ya watu kutoka nje!!
Kuna mbinu ya kuwawajibisha pia
 
Tatizo sio kuweka 40k, ni kutoa; tangu EPA mpaka escrow watu walitoa mabilioni wakagawana!
Sinema zingine tutapoteza senti ya popcorn bure!
 
Waulize waMarekan, kuna taass inaitwa IRS (inland revenue service)... Hao jamaa wakukute umefngua akaunti kinyemela au una dollars 1000 mknoni bila maelezo, cha moto utakiona!
Internal* revenue service under federal government sio inland
 
Itafika wakati woote tutaungana na kudai UHURU wa kweli
 
Mkuu Britannica, asante kwa taarifa hii, kwenye ukweli unaleta za kweli kabisa tena za Moto moto kutoka jikoni, ila pia ni mpishi mzuri, ukiamua kupika, na viungo unavyo pikia, pilau na biriani zitasubiri, kama ile ya kisiwa cha Guam.
P
....
...hahaha Pasco wa J4 Ngika
 
Uzuri hapa hata "wajeda" nao wataguswa pamoja na watu wa chama chake.

Ni swala la muda tu kila mtu atamchoka na wote tutaongea lugha moja.
.....
....Mkuu ukianza kubanguwa watoto wa kambo ipo siku utabanguwa WATOTOWAKO
 
Sio itafika sehemu...Imeshakua

Nimeshangaa sana wiki jana natoa kiwango kadhaa eti teller ananirudisha nikasainiwe na manager gani sijui

Upuuzi upo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…