Ongezeko la mfedhehesho wa Mahusiano ya Mitandaoni

Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Aisee hio story ilitokeaga lini huwa naisikia tu humu juu juu ila inasemekana eti kuna watu waliuza utu humu na ni members[emoji1787][emoji23][emoji23]
Wengi tu humu wanajulikana
 
Bandiko lako halina usawa kama mwanaume anakuwa ni mpumbavu je huyo mwanamke anekomoa kwa kujionyesha ili jamaa aumie. Mimi nafikiri kila mmoja anastaili yake ya kukomoa na lengo nikutuma maumivu. Hivyo kila mmoja anatumia nyenzo aliyo nayo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kimeumanaaaaaaaaah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…