Ongezeko la mfedhehesho wa Mahusiano ya Mitandaoni

Ongezeko la mfedhehesho wa Mahusiano ya Mitandaoni

Unajua JF ya 2017 mpaka 2019 ilikuwa bomba tofauti na hii ya 2020 na 2021 ambazo wanaotamba ni kina Gsam kila kifo kikitokea wanasema ni corona. Mimi nammiss Demiss
Wahuni wamemla wakaanza kusambaza picha akabadili id
 
Nimecheka sana yani hujamchelewesha mapema kabisa ukamkumbusha mapito. Ila kwa hali ya kawaida mtu kama the Jackal hawezi kosa mahusiano humu. Wengine ambao lazima wawe wamepitia hii ni yule mshambuliaji wa zamani wa Chelsea mwenye avatar ya bia.
Hazard [emoji3][emoji3][emoji3]

Hata mie nina majanga yangu ila respect kwa wote
 
imetosha sisi hatukupata iyo fursa tunakuwa desperate sana hadi akili zinakosa utulivu!!hahaha
Nilipata binti mbichi kabisa humu daah

Mdau wapo anza mashambulizi mdo mdo
 
Nilipata binti mbichi kabisa humu daah

Mdau wapo anza mashambulizi mdo mdo
hapana asee papaa,,nije nimuweke status afu unitumie picha zake amaekalia mhogo jangombe wako!!BIG FUCKN NO
 
Back
Top Bottom