Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hahahah mwamba unasema? Ale kiringi 😀😂😂Kula ndogo mdau inasaidia kupunguza machungu ya kutafuniwa....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah mwamba unasema? Ale kiringi 😀😂😂Kula ndogo mdau inasaidia kupunguza machungu ya kutafuniwa....
Wahuni wamemla wakaanza kusambaza picha akabadili idUnajua JF ya 2017 mpaka 2019 ilikuwa bomba tofauti na hii ya 2020 na 2021 ambazo wanaotamba ni kina Gsam kila kifo kikitokea wanasema ni corona. Mimi nammiss Demiss
Nahisi alihisi nimemjua kiundani dah kumbe hata sijawahi ona connection yake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]
Haaaaahaaaa
Evelyn Salt
Nshapitwa na mambo mengi sana...Demis nimemkumbuka hapa
Hebu njoo matakko bar hapa nimekaa kaunta
Mwishoni kabisa picha zake zikapostiwa alafu alikuwa main wa mzee wa kilingeni. Sema walimkosea sana hakuwa na shida na mtu, alikuwa anafanya mambo yake bila kuumiza watuWahuni wamemla wakaanza kusambaza picha akabadili id
Kabisa[emoji3][emoji3]Hahahah mwamba unasema? Ale kiringi [emoji3][emoji23][emoji23]
Dhambi sanaKabisa[emoji3][emoji3]
Id yake mpya siijuiWahuni wamemla wakaanza kusambaza picha akabadili id
Annasea amka🤣Nimekuta Twita kule, kumechafuka sana.
chaneli 0Hahahah mwamba unasema? Ale kiringi 😀😂😂
Hazard [emoji3][emoji3][emoji3]Nimecheka sana yani hujamchelewesha mapema kabisa ukamkumbusha mapito. Ila kwa hali ya kawaida mtu kama the Jackal hawezi kosa mahusiano humu. Wengine ambao lazima wawe wamepitia hii ni yule mshambuliaji wa zamani wa Chelsea mwenye avatar ya bia.
imetosha sisi hatukupata iyo fursa tunakuwa desperate sana hadi akili zinakosa utulivu!!hahahaId yake mpya siijui
Nimekumbuka kile kipini daah mrembo yule
Atafune division 0chaneli 0
P[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hahahahahaha nmechekaaaKula ndogo mdau inasaidia kupunguza machungu ya kutafuniwa....
hahahah wanatuoshea sana humu ambao hatukuona zile mambo...hahahaAtafune division 0
Nilipata binti mbichi kabisa humu daahimetosha sisi hatukupata iyo fursa tunakuwa desperate sana hadi akili zinakosa utulivu!!hahaha
hapana asee papaa,,nije nimuweke status afu unitumie picha zake amaekalia mhogo jangombe wako!!BIG FUCKN NONilipata binti mbichi kabisa humu daah
Mdau wapo anza mashambulizi mdo mdo
[emoji3][emoji3]hayupo humu tenahapana asee papaa,,nije nimuweke status afu unitumie picha zake amaekalia mhogo jangombe wako!!BIG FUCKN NO
Sema mzee wa kilinge naye alichemsha, aliuza file kwa mwanamtandao wa jf vitu vikavuja. UtotoMwishoni kabisa picha zake zikapostiwa alafu alikuwa main wa mzee wa kilingeni. Sema walimkosea sana hakuwa na shida na mtu, alikuwa anafanya mambo yake bila kuumiza watu