witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
KumekuchaKwani yule uliyemrushaga ilikuwaje?
Lakini alikuwa na mtindi mtamu balaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Evelyn Salt
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KumekuchaKwani yule uliyemrushaga ilikuwaje?
Lakini alikuwa na mtindi mtamu balaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hee hivoo?[emoji848][emoji848][emoji849]Huyu kumuelewa ni kazi, hata yeye alimrusha mtu akiwa karibu uchi yaani kyupi peke yake
[emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Achana nalo hilo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]Dah itakuwa kipindi ambacho nilikuwa busy busy inaonekana kuna malaya walipostiwa humu wakaanza kubadili badili ID na baadae kukimbia kabisa jukwaa la mapenzi na mahusiano[emoji23] maana kuna mmoja aliwahi niuliza uliziona zile picha nikasema ndio ghafla akaanza kunikwepa hata kuchat na mm hataki!
lakini mara nyingi consequences za jambo lolote ni juu yako wewe mwenyeweNi shida sana na bahati mbaya watanzania majority kwa Sasa ni sadist hufurahia wengine wakiharibikiwa na wengine kukua mazingira ya kukosa Upendo na Utu huwafanya wawe wabinafsi so the only solution ya wao ku heal hyo hali wanafikiria kuumiza wengine.
Tuwe makini tusiwaamini watu na kujiachis kupitiliza Hadi watujue maana wengi huja kutuumiza
Aaah kumbe ushafika[emoji16][emoji16][emoji15][emoji15][emoji15]
[emoji23][emoji23][emoji16]Hahaha leo amejisahaulisha amegeuka mchungaji kumbe naye mwovu tu
Nimemkumbuka demisPicha inaanziaga hapa unakuta ndani ya Mahusiano hayo Mwanamke mmoja kutembea na Wanaume wengii ndani ya Huohuo mtandaojamii.
Au mwanaume mmoja kutembea na wanawake weeengi humohumo ndani ...
Hii kitu Athari yake huja hasa baada ya Kuachana na mtu yule au yule au huyu nambaya zaidi ukute YULE MTU NI MPUMBAVU,HANA AKILI KICHWANI....Utafedheheshwa sana, Utaumizwa sana, utalia sanaaa n.k !!.
Kwa Bahati mbaya Wahanga wa Mapenzi haya ya Mitandaoni huwa ni Wanawake !!! Ndio wanawake !!.
Inawezekana Umewah kua Mtendaji au Mtendwa wa mambo haya, au tu nishahidi kupitia kinachoendelea mitandaoni, Ukiingia kule Twita, aiseee watu wanaabishwaaa, wanafedheheshwa sanaaaaa .
Chanzo cha Haya yote nini?
[emoji117]Demu ameachwa, anaona atoke na jamaa mwengine ili amkomoe na zaidi anajiweka wazi aonekane kua amepata bwana... Anasahau kua Ex Boy wake ni Mpumbavu hana akili.
[emoji117]Jamaa ni Muhuni mtu wa madem na kuacha, sasa demu mmoja kaamua kumlipua ..... Ndio wakati mwingine hii inakujaga kuwakoa wengine ambao nao walikua kwa Foleni .
[emoji117]na Kwakua kila mmoja anamapicha ya utupu ya mwenzake, basi hapo ndio Radhi humwaga.( Zingatia). Hapa siwalaumu wanawake sana, Ni sababu tu wanawake wakishampenda mtu, hugeuka kua Vipofu nakufanya vile wanavyoagizwa, nasio kwamba Sijui Hajiheshim wala nn. Noooo ni sababu amekuamin.
Asilimia kubwa ya watu wa aina hii ya mahusiano, hukutana na kulana kimasihara tu, sijui km huwa kuna matumizi ya kondomu au kupima afya n.k ( wanajua wao )...
Sio kila kitu unachokifanya mitandaoni hasa maisha yako ya mahusiano lazima ukitafutie Attention kwa watu , et uwaonyeshe watu umepata Bwana fulani, umeachana na Fulani umepata Fulani, wacha watu wajue .
Kumbuka kuna watu wana mafaili yako ,wanakungoja uharibu tu .
[emoji117]Sema na wanaume tuache Upumbavu, ndio nasema niupumbavu kwa sababu, Unakuta mtu umemtongoza mwanamke kakukubalia, baada ya kwenda naye siku kadhaa, unamtema, unampotezea kabisaa, unamgeuza adui,, hiii kitu imefanya wanawake wengi wawe na mateso ya kihisia , Akikuhofia utakuja kumuharibiaa, basi Mdada wawatu inamlazimu kuishi miyon akiugulia.
#Self Respect ...ndio Ufunguo!.
#7 mchokozi sana asee[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]Hatimaye umetapika nyongo[emoji28]
Demis nimemkumbuka hapaAisee hio story ilitokeaga lini huwa naisikia tu humu juu juu ila inasemekana eti kuna watu waliuza utu humu na ni members[emoji1787][emoji23][emoji23]
HaahaaahaaIlikuwaje ulipewa ban ndefu sana E?
Ulikuwepo sanaMi sikuwepo aseee ndio naona hapa, irudiwe
Hivi kuanza kumtumia mwanaume mapicha ya uchi akili iko sawa kweli?[emoji848]Pia ni kutokujitambua inasababisha Sasa ukishampost hivo huyo mwanamke kumzalilisha kipi ambacho huwa Wana gain. Ni kuwa makini tu maana watu wengine wako so immature na kujiandaa kwa lolote tu maana kuzalilishana naona ni sifa na inabidi ndugu jamaa wazoee tu, pia wanawake yatupasa kuwa makini kutuma mipicha ya uchi waweza achana na mjuba akasambaza, ujue watu wengine kuharibia wengine huwapa faraja loh
Si umezama penzini dear[emoji848]Aise hali ni mbaya..hivi mtu unawezaje kuambiwa babe nitumie picha zako za utupuw nawe ukakubali jamani [emoji2296][emoji2296]Yatupasa tuwe makini zaidi
Hali inatisha hakika.[emoji17][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]
Hakika[emoji848]lakini mara nyingi consequences za jambo lolote ni juu yako wewe mwenyewe
katika vitu hunifanya nijichukie ni hicho..wakati mwengine, ndio maana ni ngumu kumpost mtu
Wee unapost kwa kujiachiaa...
Alafu njemba inakuandikia..."Nmechakata Jana" ..na picha hizi hapa[emoji23][emoji23][emoji23]
Ukute wee Ndo umeweka makazi ya kudumu mamaeeee!!!
Nimecheka sana yani hujamchelewesha mapema kabisa ukamkumbusha mapito. Ila kwa hali ya kawaida mtu kama the Jackal hawezi kosa mahusiano humu. Wengine ambao lazima wawe wamepitia hii ni yule mshambuliaji wa zamani wa Chelsea mwenye avatar ya bia.Asante kwa kukubali, nimeliacha
Kuna watu humu wanajionaga wajanja kumbe wanajichoresha tu, tatizo ujana na ujuaji mwingi kumbe ujinga anaofanya wengine tumestaafuNimecheka sana yani hujamchelewesha mapema kabisa ukamkumbusha mapito. Ila kwa hali ya kawaida mtu kama the Jackal hawezi kosa mahusiano humu. Wengine ambao lazima wawe wamepitia hii ni yule mshambuliaji wa zamani wa Chelsea mwenye avatar ya bia.
Unajua JF ya 2017 mpaka 2019 ilikuwa bomba tofauti na hii ya 2020 na 2021 ambazo wanaotamba ni kina Gsam kila kifo kikitokea wanasema ni corona. Mimi nammiss DemissIlikuwa kati ya 2018 na 2019 hivi, kipindi hicho mambo yalikuwa moto, akina ngabu, fisadi kuu, mamasabrina nk
Nae alihusishwa na huu mkasa 😂😂😂 simuonagi tena au kashabadili cheti cha kuzaliwa jfDemis nimemkumbuka hapa