Ongezeko la mfedhehesho wa Mahusiano ya Mitandaoni

Ongezeko la mfedhehesho wa Mahusiano ya Mitandaoni

Hahaha leo amejisahaulisha amegeuka mchungaji kumbe naye mwovu tu
Ok..Wewe pia unaweza kua mmoja ya WATU WAPUMBAVU.

Yule demu hakua mpenzi wangu..uzi huuu nmeandika kuhusu Watu wawili wapenzi wanaoachana kwa sababu zao nakuishia kufedheheshana.

Pia yule demu aliyafaham maisha yangu kiasi fulani.namm nikayafaham yake.

Hatukuwah kua wapenzi, ila kuna namna fulan ilitokea tu .

SIKU AKIWA NA WENZAKE, ALIVUKA MIPAKA..

[emoji117][emoji117]KUTUMIA MAISHA YANGU ANAVYOYAFAHAM ,KUYAWEKA WAZI KWA WATU AMBAO HAWATAKIWI KUYAJUA.

Nilijitahidi kumuonya, hakuelewa, nikamuonya ndokwanzaaa, analeta vmaneno mengi.

[emoji101]NIKAAMUA KUMNYAMAZISHA KWA ILE PIC , NA WALA SIJAWAH KUJUTIA KUFANYA VILE.
Nkm angeendelea maujinga ,namm ningefanya maujinga mengi yake.

Yeye hakua mwanamke wakwanza kufahamiana namm humu nanje..nahatokua wamwisho pia , nitaendelea kufahamiana nao sana .

Niliamua kumtreat kwa mizani sawa na Mwanaume yaan km ni Jamaa ndie ananiletea ujinga...( sasa maisha yangu huwa hayaruhusu mtu kunipa tabu, nimaisha binafsi ambayo UWE NI MWANAMKE, UWE NI MWANAUME, NI LAZIMA UYAHESHIMU ) ...kinyume nahapo tunaenda" Kichwa ---Kichwa"....... Huyo ndio Mimi, ndivyo Nilivyo.

Haya, Una lakusema ???.
 
Dah itakuwa kipindi ambacho nilikuwa busy busy inaonekana kuna malaya walipostiwa humu wakaanza kubadili badili ID na baadae kukimbia kabisa jukwaa la mapenzi na mahusiano[emoji23] maana kuna mmoja aliwahi niuliza uliziona zile picha nikasema ndio ghafla akaanza kunikwepa hata kuchat na mm hataki!
Duuuuh!
 
Back
Top Bottom