Ongezeko la mfedhehesho wa Mahusiano ya Mitandaoni

Ongezeko la mfedhehesho wa Mahusiano ya Mitandaoni

Ok..Wewe pia unaweza kua mmoja ya WATU WAPUMBAVU.

Yule demu hakua mpenzi wangu..uzi huuu nmeandika kuhusu Watu wawili wapenzi wanaoachana kwa sababu zao nakuishia kufedheheshana.

Pia yule demu aliyafaham maisha yangu kiasi fulani.namm nikayafaham yake.

Hatukuwah kua wapenzi, ila kuna namna fulan ilitokea tu .

SIKU AKIWA NA WENZAKE, ALIVUKA MIPAKA..

[emoji117][emoji117]KUTUMIA MAISHA YANGU ANAVYOYAFAHAM ,KUYAWEKA WAZI KWA WATU AMBAO HAWATAKIWI KUYAJUA.

Nilijitahidi kumuonya, hakuelewa, nikamuonya ndokwanzaaa, analeta vmaneno mengi.

[emoji101]NIKAAMUA KUMNYAMAZISHA KWA ILE PIC , NA WALA SIJAWAH KUJUTIA KUFANYA VILE.
Nkm angeendelea maujinga ,namm ningefanya maujinga mengi yake.

Yeye hakua mwanamke wakwanza kufahamiana namm humu nanje..nahatokua wamwisho pia , nitaendelea kufahamiana nao sana .

Niliamua kumtreat kwa mizani sawa na Mwanaume yaan km ni Jamaa ndie ananiletea ujinga...( sasa maisha yangu huwa hayaruhusu mtu kunipa tabu, nimaisha binafsi ambayo UWE NI MWANAMKE, UWE NI MWANAUME, NI LAZIMA UYAHESHIMU ) ...kinyume nahapo tunaenda" Kichwa ---Kichwa"....... Huyo ndio Mimi, ndivyo Nilivyo.

Haya, Una lakusema ???.

na hao unawaonya wanaenda kichwa kichwa na wenzao,huwajibiki kuwaonya...since ushawahi kufanya hayo hayo unayokataza
 
Hakuna cha kutoka mazingiratofauti cariha..ni kutokuwa mstaarabu na pia mtu anakuwa hana cha kupoteza nakwambia tena.

Una familia,ndugu,unamarafiki wa maana wenye heshima zao..sidhani kama unaweza kufanya kitu bila kufikiria mara mbili aiseh
Mtandao watu Wana akili za ajabu sana Hadi unashangaa sijui vile tumetoka from different background
 
Mshikaji kaposti demu wake mwamba mwingine kaibuka kasema memkula a week ago, katuma selfie zao, chattings na video, kidumu kitengo cha ngono Afrika
Duh hatari sana ila huyo aliyetangaza kumla hajatumia busara ukute alipewa tunda kimasihara.
 
Huu mtandao wa Twitter huwa nausikia sikia tu,hapa najiuliza je upo kama huu wa jf au ? Inaonekana huko kujuana ni rahisi sana.
 
Mshikaji kaposti demu wake mwamba mwingine kaibuka kasema memkula a week ago, katuma selfie zao, chattings na video, kidumu kitengo cha ngono Afrika
wakati mwengine, ndio maana ni ngumu kumpost mtu

Wee unapost kwa kujiachiaa...

Alafu njemba inakuandikia..."Nmechakata Jana" ..na picha hizi hapa[emoji23][emoji23][emoji23]

Ukute wee Ndo umeweka makazi ya kudumu mamaeeee!!!
 
Hakuna cha kutoka mazingiratofauti cariha..ni kutokuwa mstaarabu na pia mtu anakuwa hana cha kupoteza nakwambia tena.

Una familia,ndugu,unamarafiki wa maana wenye heshima zao..sidhani kama unaweza kufanya kitu bila kufikiria mara mbili aiseh
Pia ni kutokujitambua inasababisha Sasa ukishampost hivo huyo mwanamke kumzalilisha kipi ambacho huwa Wana gain. Ni kuwa makini tu maana watu wengine wako so immature na kujiandaa kwa lolote tu maana kuzalilishana naona ni sifa na inabidi ndugu jamaa wazoee tu, pia wanawake yatupasa kuwa makini kutuma mipicha ya uchi waweza achana na mjuba akasambaza, ujue watu wengine kuharibia wengine huwapa faraja loh
 
Huu mtandao wa Twitter huwa nausikia sikia tu,hapa najiuliza je upo kama huu wa jf au ? Inaonekana huko kujuana ni rahisi sana.
Huko tunapost Mapicha yetu alaaaah

Kule hamna kujificha fichaa kama humu

Ila sasa, Watu wanapigana miti kulee, wakiachanaa sasa ni Vurugu


Kuna Mwamba, alivuruga mademu Tisa, alafu akaoa mwingine wa kumi[emoji23][emoji23][emoji23]

Na wote wakajijua wamevurugwa na muhun...ebwanaaaa hiyo vita yake sasa
 
Huko tunapost Mapicha yetu alaaaah

Kule hamna kujificha fichaa kama humu

Ila sasa, Watu wanapigana miti kulee, wakiachanaa sasa ni Vurugu


Kuna Mwamba, alivuruga mademu Tisa, alafu akaoa mwingine wa kumi[emoji23][emoji23][emoji23]

Na wote wakajijua wamevurugwa na muhun...ebwanaaaa hiyo vita yake sasa
Nimekuelewa uzuri.
 
Pia ni kutokujitambua inasababisha Sasa ukishampost hivo huyo mwanamke kumzalilisha kipi ambacho huwa Wana gain. Ni kuwa makini tu maana watu wengine wako so immature na kujiandaa kwa lolote tu maana kuzalilishana naona ni sifa na inabidi ndugu jamaa wazoee tu, pia wanawake yatupasa kuwa makini kutuma mipicha ya uchi waweza achana na mjuba akasambaza, ujue watu wengine kuharibia wengine huwapa faraja loh

umemalizia vyema Cariha,watu wengine kuharibia wengine ni faraja,its very sad watu wa hivi hawakulelewa kwa upendo,...wamekuwa wakiamini hakuna anayewapenda au atakayewapenda kujeruhi wengine ni anytime..sababu experience zao hasa utotoni zimewafanya wamekua less senstive.
 
umemalizia vyema Cariha,watu wengine kuharibia wengine ni faraja,its very sad watu wa hivi hawakulelewa kwa upendo,...wamekuwa wakiamini hakuna anayewapenda au atakayewapenda kujeruhi wengine ni anytime..sababu experience zao hasa utotoni zimewafanya wamekua less senstive.
Ni shida sana na bahati mbaya watanzania majority kwa Sasa ni sadist hufurahia wengine wakiharibikiwa na wengine kukua mazingira ya kukosa Upendo na Utu huwafanya wawe wabinafsi so the only solution ya wao ku heal hyo hali wanafikiria kuumiza wengine.
Tuwe makini tusiwaamini watu na kujiachis kupitiliza Hadi watujue maana wengi huja kutuumiza
 
Pia ni kutokujitambua inasababisha Sasa ukishampost hivo huyo mwanamke kumzalilisha kipi ambacho huwa Wana gain. Ni kuwa makini tu maana watu wengine wako so immature na kujiandaa kwa lolote tu maana kuzalilishana naona ni sifa na inabidi ndugu jamaa wazoee tu, pia wanawake yatupasa kuwa makini kutuma mipicha ya uchi waweza achana na mjuba akasambaza, ujue watu wengine kuharibia wengine huwapa faraja loh
Aise hali ni mbaya..hivi mtu unawezaje kuambiwa babe nitumie picha zako za utupuw nawe ukakubali jamani 🙆‍♀️🙆‍♀️Yatupasa tuwe makini zaidi

Hali inatisha hakika.😔😔😔😔😔
 
Back
Top Bottom