Ongezeko la mishahara kwa walimu


ha!ha!ha! Mkuu unawaumiza roho sana walimu. subiri matusi yao sasa
 
Ushavurugwa na maisha uliyopitia sio kosa lako kama nilivyokwambia,na usiwalaumu walimu bali mlaumu aliyekukosesha bahati ya kufaulu wakati unasoma

afu jibu ulichouliza usilete bla bla
kuwa makini na kazi ya mtu,kwan mwalimu si mtu?nani asiyetoa maneno ya kukera endapo kaudhiwa?wat z busara?wewe unazo?hata ng'ombe anazo..
Uwezo wa kufikiri unapimwaje?na wew unauwezo wa kiasi gan?lazima utakuwa 0 tu.kama sio usingeandika uo upuuzi.
fikiria wanao alafu urudie kuandika iyo comment
 

ucipunguze ukali wa maneno kwa kusema eti maneno ya kejeli sema matusi na wewe mwenyewe umeyaona nfkiri anayetukana akikereka ni yule mwenye busara kama za ng'ombe majibu yote unayo wewe..jitazame mwenyewe na bahati mbaya enzi zangu sijawahi kufeli na hii ilitokana na walimu makini wenye wito ila nna wasiwasi na walimu wa sikuhizi la sivyo kusingekuwa na magraduate wasiojua kusoma,kipofu anamuongozaje kipofu?
 
graduate hajui kusoma wala kuandikaa...?hebu mnijuze jamani.kuna data za darasa la saba wamalizao shule na hawajui kusoma na kuandika ss standad 7 ni graduate?ni mimi MBURULA AU HUYU JAMAA?nisaidieni.
 
Ok!! Habari kutoka jikoni kabisa zinaeleza ya kuwa mshahara wa mwalimu utapanda compared to those rate ever occur,hii ni kutokana na sababu zifuatazo.1.Walimu wanachapa kazi sana kama unabisha angalia matokeo ya mwaka jana kuanzia primary hadi A level.2.walimu wanafanya kazi mda mrefu sana kwa siku,huwezi fananisha na madaktari wala wahandisi.3.walimu wengi ukicheki huwaga hawafoji vyeti kama kada zingine,hizo ndio sababu zilizosababisha serikali na wataalamu kawa ujumla kuongeza mishahara ya walimu hadi kufikia sh.965,580.
 
Ok!! Habari kutoka jikoni kabisa zinaeleza ya kuwa mshahara wa mwalimu utapanda compared to those rate ever occur,hii ni kutokana na sababu zifuatazo.1.Walimu wanachapa kazi sana kama unabisha angalia matokeo ya mwaka jana kuanzia primary hadi A level.2.walimu wanafanya kazi mda mrefu sana kwa siku,huwezi fananisha na madaktari wala wahandisi.3.walimu wengi ukicheki huwaga hawafoji vyeti kama kada zingine,hizo ndio sababu zilizosababisha serikali na wataalamu kawa ujumla kuongeza mishahara ya walimu hadi kufikia sh.965,580.
 
big Q unatabia ka za Fa mama ako na baba ako wote walimu
 
Ngoja ntulie na baed yangu vinginevyo ntajitafutia ban tu
 

ungejulia wapi jf wewe acha ushoga madaktari wenyewe walifunfwa na walimu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…