ndivo mnavyowafanyia watoto wetu pindi wasiponunua maandazi yenu,mnawatukana matusi ya nguoni mnasema mmekereka,kama mshahara hautoshi ungeenda fani nyingine na kuacha kulalamika,ukibaki kuwa mwalimu inabidi ukubali mambo mawili,1 ufaulu wako haukuruhusu kwenda fani nyingine,2 ualimu ni wito huo ndo uhalisia msipige kelele kila siku mshahara fanyeni kazi ionekane sio kutuzalishia maziro na graduate wasiojua kusoma hutaki nenda fani nyingine la sivyo umekubali ualimu ni wito
Ushavurugwa na maisha uliyopitia sio kosa lako kama nilivyokwambia,na usiwalaumu walimu bali mlaumu aliyekukosesha bahati ya kufaulu wakati unasomandivo mnavyowafanyia watoto wetu pindi wasiponunua maandazi yenu,mnawatukana matusi ya nguoni mnasema mmekereka,kama mshahara hautoshi ungeenda fani nyingine na kuacha kulalamika,ukibaki kuwa mwalimu inabidi ukubali mambo mawili,1 ufaulu wako haukuruhusu kwenda fani nyingine,2 ualimu ni wito huo ndo uhalisia msipige kelele kila siku mshahara fanyeni kazi ionekane sio kutuzalishia maziro na graduate wasiojua kusoma hutaki nenda fani nyingine la sivyo umekubali ualimu ni wito
wewe unacheka badala ya kujenga hoja?nenda kwenye jokes usilete tabia za kinani apaha!ha!ha! Mkuu unawaumiza roho sana walimu. subiri matusi yao sasa
nisameeeeeeeeee Mwaaaaaaaaaalim!wewe unacheka badala ya kujenga hoja?nenda kwenye jokes usilete tabia za kinani apa
Ushavurugwa na maisha uliyopitia sio kosa lako kama nilivyokwambia,na usiwalaumu walimu bali mlaumu aliyekukosesha bahati ya kufaulu wakati unasoma
afu jibu ulichouliza usilete bla bla
kuwa makini na kazi ya mtu,kwan mwalimu si mtu?nani asiyetoa maneno ya kukera endapo kaudhiwa?wat z busara?wewe unazo?hata ng'ombe anazo..
Uwezo wa kufikiri unapimwaje?na wew unauwezo wa kiasi gan?lazima utakuwa 0 tu.kama sio usingeandika uo upuuzi.
fikiria wanao alafu urudie kuandika iyo comment
shikamooooo mwaaalimu! we ndo mwalimu wangu!Yawezekana ww ndio unachora mazombi kwenye paper
Bora umwambie huenda akasikiaKichwa chako ni papai lisilokuwa na mbegu mbulula we.
Bora umwambie huenda akasikia
big Q unatabia ka za Fa mama ako na baba ako wote walimu
Huyo ni tahira tu na hajitambui.
Hu
Muongezewe mshahara kwa kazi gani mnayofanya,au kwa elimu gani mlionayo vilaza wakubwa nyie?mmekalia kuuza kashata na mandazi huko mashuleni huku mkiwaacha wadogo zetu wakifeli mitihani halafu bado mnataka muongezewe mishahara!acheni tabia za kiliberali bana.