Ongezeko la Mshahara la 23.3% Serikali itoe ufafanuzi

Ongezeko la Mshahara la 23.3% Serikali itoe ufafanuzi

Hakuna kitu kibaya kama kutoa taarifa nusunusu au taarifa tata kwa malengo maalum

Watu jana wameshangilia na kufurahi kuwa ongezeko la mshahara la asilimia 23.3 ni kwa watu wote , lakini leo asubuhi tunaamka na uelewa tofauti kuwa ongezeko hilo ni kwa Wafanyakazi wanaopata kima cha chini , Tunaitaka serikali itoe ufafanuzi.

Isitoshe taarifa kubwa na nyeti kama hiyo kwa nini itolewe na kurugenzi ya Habari Ikulu kwa maandishi na si kwa sauti ya kiongozi mwenye dhamana ya Watumishi ambaye ama ni rais au waziri wa Utumishi?-WANAKWEPA MASWALI?.

Tunataka clarification ya hili suala ili kama kupongeza tupongeze kwa haki siyo kupewa taarifa yenye utata halafu kumbe watawala walichomaanisha ni tofauti!
Mei Mosi hapa mlipongeza sana Uhuru Kenyatta kuongeza mshahara na mkafuahia kam vile nanyi ni Wakenya. Ikaja kwa Mwinyi kuongeza 15% napo mkamlaumu sana Samia.
Samia kaweka 23.3% imekuwa nongwa daaah[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Lile tangazo limefafanua vizuri kabisa. Serikali imesema "Rais ameridhia mapendekezoya ongezeko la mshahara kwa watumishi ikiwemo kima cha chini kwa asilimia 23.3%" sasa hapo pagumu wapi kueleweka?
Ugumu haupo ila kuna UTATA
 
Hakuna kitu kibaya kama kutoa taarifa nusunusu au taarifa tata kwa malengo maalum

Watu jana wameshangilia na kufurahi kuwa ongezeko la mshahara la asilimia 23.3 ni kwa watu wote , lakini leo asubuhi tunaamka na uelewa tofauti kuwa ongezeko hilo ni kwa Wafanyakazi wanaopata kima cha chini , Tunaitaka serikali itoe ufafanuzi.

Isitoshe taarifa kubwa na nyeti kama hiyo kwa nini itolewe na kurugenzi ya Habari Ikulu kwa maandishi na si kwa sauti ya kiongozi mwenye dhamana ya Watumishi ambaye ama ni rais au waziri wa Utumishi?-WANAKWEPA MASWALI?.

Tunataka clarification ya hili suala ili kama kupongeza tupongeze kwa haki siyo kupewa taarifa yenye utata halafu kumbe watawala walichomaanisha ni tofauti!
Wewe hujasoma, hufanyikazi za umma unataka ufafanuzi iweje.

Wacha sie tujimwayemwaye july jambo letu liko fresh
 
Hakuna kitu kibaya kama kutoa taarifa nusunusu au taarifa tata kwa malengo maalum

Watu jana wameshangilia na kufurahi kuwa ongezeko la mshahara la asilimia 23.3 ni kwa watu wote , lakini leo asubuhi tunaamka na uelewa tofauti kuwa ongezeko hilo ni kwa Wafanyakazi wanaopata kima cha chini , Tunaitaka serikali itoe ufafanuzi.

Isitoshe taarifa kubwa na nyeti kama hiyo kwa nini itolewe na kurugenzi ya Habari Ikulu kwa maandishi na si kwa sauti ya kiongozi mwenye dhamana ya Watumishi ambaye ama ni rais au waziri wa Utumishi?-WANAKWEPA MASWALI?.

Tunataka clarification ya hili suala ili kama kupongeza tupongeze kwa haki siyo kupewa taarifa yenye utata halafu kumbe watawala walichomaanisha ni tofauti!
Taarifa ya ikulu ipo sawa kwa upande wangu ila uelewa wa watu wengi umekuwa tofauti kidogo kwenye hii issue ya ongezeko la mshahara.
Taarifa inasema wazi kabisa,ongeza la 23.3% kwa watu wa kima cha chini,na wengine wameongezezwa pia ila hawajasema wazi wazi wameongezewa kwa asilimia ngapi. Issue ya hapo siyo 23.3%,issue ni watu wengine wameongezwa kwa asilimia ngapi.
 
Kwanini taarifa isitolewe moja kwa moja sio mpaka waje wafafanue ?
 
Taarifa ya ikulu ipo sawa kwa upande wangu ila uelewa wa watu wengi umekuwa tofauti kidogo kwenye hii issue ya ongezeko la mshahara.
Taarifa inasema wazi kabisa,ongeza la 23.3% kwa watu wa kima cha chini,na wengine wameongezezwa pia ila hawajasema wazi wazi wameongezewa kwa asilimia ngapi. Issue ya hapo siyo 23.3%,issue ni watu wengine wameongezwa kwa asilimia ngapi.

Sawa mtaalam,nikweli iko sawa Ila nadhani wangeweka hata jedwali kuondoa utata huu.
 
Lile tangazo limefafanua vizuri kabisa. Serikali imesema "Rais ameridhia mapendekezoya ongezeko la mshahara kwa watumishi ikiwemo kima cha chini kwa asilimia 23.3%" sasa hapo pagumu wapi kueleweka?
Ninaamini hoja ya mleta Uzi imekupita kushoto.
 
Taarifa ya ikulu ipo sawa kwa upande wangu ila uelewa wa watu wengi umekuwa tofauti kidogo kwenye hii issue ya ongezeko la mshahara.
Taarifa inasema wazi kabisa,ongeza la 23.3% kwa watu wa kima cha chini,na wengine wameongezezwa pia ila hawajasema wazi wazi wameongezewa kwa asilimia ngapi. Issue ya hapo siyo 23.3%,issue ni watu wengine wameongezwa kwa asilimia ngapi.
Umeandika nini sasa?
Naona unazunguka mlemle kwenye hoja ya mleta Uzi.
 
Hata hivyo kwakweli Awamu ya 6 Chini Rais Mama Samia inapaswa ipongezwe sana kwa hatua hii ya kuwaongezea masilahi watumishi wa Umma.
kimekuwa ni kilio cha muda mrefu sana kwa ndgu zetu watumishi.

Mama kaaamua
Hakuna haja ya kupongeza maana kapandisha kila kitu no faida ya kuwa na hela inayoishia Kula tu
 
Miaka yote tangia nimeanza kuliona jua na kufuatilia upandishwaji wa mishahara hasa wakati ule ikitangazwa wakati wa sherehe za May Day, sijawahi kusikia mtangazaji akidadavua kupandisha mshahara kuanzia kima cha chini hadi cha juu. Siku zooooote huwa inasemwa tunapandisha kima cha chini kutoka shilingi kadhaa hadi shilingi kadhaa ama tunapandisha kima cha chini kwa asilimia kadhaa. Baada ya hapa watu wa utumishi wanaenda kufanya ukokotozi kulingana na taratibu zao na kutoa mkeka wa mishahara mipya kulingana na salary scales.
Siku hizi mishahara haianikwi wazi kama zamani. Sasahivi mshahara ni Siri ya mwajiriwa na mwajiri wake
 
Hakuna haja ya kupongeza maana kapandisha kila kitu no faida ya kuwa na hela inayoishia Kula tu
kwa hiyo ulitaka awapunguziwe au?
punguza wivu mkuu.

Sasa angalu tutapumzika kukopwa na watumishi........maana kila kukicha walikuwa wanatusumbua kuomba tuwakopeshe.
 
Ile taarifa haina utata ila uelewa wenu tu ndiyo una utata.
 
Boss wa tucta kasema walio na mshahara kuanzia milioni mbili wataongezewa asilimia 1%
 
Back
Top Bottom